Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Nikiwa kama mchambuzi wa soka la kimataifa niliyebobea na pia muangalizi wa kimataifa (INTERNATIONAL OBSERVER) katika masuala ya soka nisiye na upendeleo wala ushabiki wa timu yoyote, huu ndio uchambuzi wangu wa hii ligi bora zaidi hapa duniani baada ya kufanyika kwa draw siku ya ijumaa.
Hapa napanga magame kwa kufuata urahisi wa matokeo kama ifuatavyo.
Game 1. Inter Milan vs Shakle 04
Hili ndio game jepesi zaidi kati ya magame hayo manne, na ni jepesi kwa kuzingatia uwiano wa uwezo wa hizi timu mbili. Shakle 04 imekuwa katika kiwango kibovu sana, na hata kufika hapo imekuwa ni kama bahati kubwa sana. Kwenye table ya Bundesliga, Shakle ni timu ya 10 na ikiwa na point 5 tu zaidi kutoka ukanda wa kushuka daraja. Inter Milan imekuwa inaimarika kadri siku zinavyoenda baada ya kumtimua kocha wao Raphael Benitez na kumuweka Leonardo. Kwa siku kadhaa zilizopita ilikuwa point 10 nyuma ya vinara wa serie A ila mpaka sasa wamepunguza gap na kubaki point 2. Samuel Etoo Fils pia amekuwa katika kiwango bora sana na mwiba mkali kwa wapinzani, na ndiye atakayekuwa tishio kubwa kwa Shakle 04.
Tathmini: Inter Milan watavuka kwenda nusu fainali.
Game 2. Chelsea FC v Manchester United
Wakati kiwango cha Chelsea kikizidi kuimarishwa na usajili walioufanya mwezi wa kwanza especially usajili wa David Luiz, ambaye amefill vema kabisa gap la beki wa kati lililokuwa limeitatiza sana Chelsea baada ya kumuuza Ricardo Calvarho na kuumia kwa Alex, kiwango cha Manchester United kimekuwa kikiporomoka kwa siku za karibuni na hii ikichagizwa zaidi na idadi kubwa ya wachezaji muhimu kuwa majeruhi. Bila ya kuwa na central defenders wenye udhoefu mkubwa Nemanja Vidic na Rio Ferdinand, hakika Man U wapo katika hali tete sana especially kuweza kuwazuia killing strikers wa Chelsea.
Tathmini: Chelsea FC itavuka kwenda nusu fainali.
Game 3. FC Barcelona v Shaktah Donetsk
Naamini watu wengi mtakuwa mnashangaa kwa nini hili game ni gumu kuliko la Manchester United v Chelsea. Asilimia kubwa ya wapenda soka wanaona Shaktah ni kama ashatoka, lakini binafsi nawaambia unapocheza na timu ambayo ipo katika hali ya kwamba they have nothing to loose, hapo tegemea upinzani wa hali ya juu mno. Shaktah imekuwa katika kiwango bora sana katika siku za karibuni ikiwa inaongoza ligi ya nyumbani mbele ya Dynamo Kiev kwa pointi 12, na huku msimu huu ikiwa imefungwa game moja tu katika Champions league huku ikiwa haijadraw mchezo hata mmoja katika mechi 8 ilizocheza, kumbuka ilimaliza ikiongoza kundi la Arsenal. Itakuwa ni mechi ngumu sana hasa ukizingatia poor performance ya Barcelona kwenye away games katika Champs League na kiwango bora kabisa cha Shaktah katika mechi za nyumbani. Kosa pekee Shaktah ambalo wakifanya litawacost ni kwenda Camp Nou na mentality ya kudefence zaidi.
Tathmini: Kwa uwepo wa Leonel Messi, Xavi Hernandez na andes Iniesta, natoa nafasi kwa Barcelona FC kuvuka kwenda nusu fainali.
Game 4: Real Madrid v Totenham Hotspurs
Hii ndio the best counter katika hizi mechi za robo fainali. Kiwango bora kabisa cha Totenham katika msimu huu sana sana wanapocheza na timu kubwa ndio ogopesho kubwa kwa Madrid. Wakiwa na play maker anayeaminika kuwa ni bora zaidi kwa sasa katika ligi ya Uingereza Luka Modric, pia wakiwa na the rising star Gareth Bale, pamoja na attacking midfielder bora zaidi Mdutch, Rafael Van Der Vart ambaye Madrid ilimdrop huku wakichagizwa na winga tereza Aaron Lennon na Msauzi Steven Pieneer. Huku holding midfielder ikishikiliwa vyema kabisa na Mbrazil Ranieri Sandro, Madrid watakuwa na kazi sana kuweza kuvuka hiki kikwazo. Upungufu mkubwa wa Totenham ni ukosefu wa killing striker. Tegemeo kubwa kwa Madrid ni uwepo wa the special one, Jose Morinho katika benchi la ufundi. Hapa lolote linaweza kutokea, hii ni 50/50 game.
Tathmini: Kukiwa na uwezekano mkubwa wa Christiano Ronaldo kukosa game la kwanza ndani ya Santiago Bernabeu baada ya kuumia harmstring, Madrid watakuwa na wakati mgumu sana. Natoa nafasi kwa Totenham Hotspurs kuvuka kwenda nusu fainali.
Baada ya huo uchambuzi, katika nusu fainali magame yatakuwa kama ifuatavyo.
Game 1. Inter Milan v Chelsea FC
Tathmini: Hapa Chelsea FC itavuka kuelekea fainali.
Game 2. Barcelona FC v Totenham Hotspurs
Tathmini: Barcelona itavuka kuelekea fainali
Hivyo basi mechi ya fainali itakayopigwa katika uwanja wa Wembley tarehe 25 May 2011 itakuwa ni kati ya,
FC BARCELONA v FC CHELSEA
Na hivyo basi, bingwa atakuwa ni :behindsofa::behindsofa::behindsofa: !
Hapa napanga magame kwa kufuata urahisi wa matokeo kama ifuatavyo.
Game 1. Inter Milan vs Shakle 04
Hili ndio game jepesi zaidi kati ya magame hayo manne, na ni jepesi kwa kuzingatia uwiano wa uwezo wa hizi timu mbili. Shakle 04 imekuwa katika kiwango kibovu sana, na hata kufika hapo imekuwa ni kama bahati kubwa sana. Kwenye table ya Bundesliga, Shakle ni timu ya 10 na ikiwa na point 5 tu zaidi kutoka ukanda wa kushuka daraja. Inter Milan imekuwa inaimarika kadri siku zinavyoenda baada ya kumtimua kocha wao Raphael Benitez na kumuweka Leonardo. Kwa siku kadhaa zilizopita ilikuwa point 10 nyuma ya vinara wa serie A ila mpaka sasa wamepunguza gap na kubaki point 2. Samuel Etoo Fils pia amekuwa katika kiwango bora sana na mwiba mkali kwa wapinzani, na ndiye atakayekuwa tishio kubwa kwa Shakle 04.
Tathmini: Inter Milan watavuka kwenda nusu fainali.
Game 2. Chelsea FC v Manchester United
Wakati kiwango cha Chelsea kikizidi kuimarishwa na usajili walioufanya mwezi wa kwanza especially usajili wa David Luiz, ambaye amefill vema kabisa gap la beki wa kati lililokuwa limeitatiza sana Chelsea baada ya kumuuza Ricardo Calvarho na kuumia kwa Alex, kiwango cha Manchester United kimekuwa kikiporomoka kwa siku za karibuni na hii ikichagizwa zaidi na idadi kubwa ya wachezaji muhimu kuwa majeruhi. Bila ya kuwa na central defenders wenye udhoefu mkubwa Nemanja Vidic na Rio Ferdinand, hakika Man U wapo katika hali tete sana especially kuweza kuwazuia killing strikers wa Chelsea.
Tathmini: Chelsea FC itavuka kwenda nusu fainali.
Game 3. FC Barcelona v Shaktah Donetsk
Naamini watu wengi mtakuwa mnashangaa kwa nini hili game ni gumu kuliko la Manchester United v Chelsea. Asilimia kubwa ya wapenda soka wanaona Shaktah ni kama ashatoka, lakini binafsi nawaambia unapocheza na timu ambayo ipo katika hali ya kwamba they have nothing to loose, hapo tegemea upinzani wa hali ya juu mno. Shaktah imekuwa katika kiwango bora sana katika siku za karibuni ikiwa inaongoza ligi ya nyumbani mbele ya Dynamo Kiev kwa pointi 12, na huku msimu huu ikiwa imefungwa game moja tu katika Champions league huku ikiwa haijadraw mchezo hata mmoja katika mechi 8 ilizocheza, kumbuka ilimaliza ikiongoza kundi la Arsenal. Itakuwa ni mechi ngumu sana hasa ukizingatia poor performance ya Barcelona kwenye away games katika Champs League na kiwango bora kabisa cha Shaktah katika mechi za nyumbani. Kosa pekee Shaktah ambalo wakifanya litawacost ni kwenda Camp Nou na mentality ya kudefence zaidi.
Tathmini: Kwa uwepo wa Leonel Messi, Xavi Hernandez na andes Iniesta, natoa nafasi kwa Barcelona FC kuvuka kwenda nusu fainali.
Game 4: Real Madrid v Totenham Hotspurs
Hii ndio the best counter katika hizi mechi za robo fainali. Kiwango bora kabisa cha Totenham katika msimu huu sana sana wanapocheza na timu kubwa ndio ogopesho kubwa kwa Madrid. Wakiwa na play maker anayeaminika kuwa ni bora zaidi kwa sasa katika ligi ya Uingereza Luka Modric, pia wakiwa na the rising star Gareth Bale, pamoja na attacking midfielder bora zaidi Mdutch, Rafael Van Der Vart ambaye Madrid ilimdrop huku wakichagizwa na winga tereza Aaron Lennon na Msauzi Steven Pieneer. Huku holding midfielder ikishikiliwa vyema kabisa na Mbrazil Ranieri Sandro, Madrid watakuwa na kazi sana kuweza kuvuka hiki kikwazo. Upungufu mkubwa wa Totenham ni ukosefu wa killing striker. Tegemeo kubwa kwa Madrid ni uwepo wa the special one, Jose Morinho katika benchi la ufundi. Hapa lolote linaweza kutokea, hii ni 50/50 game.
Tathmini: Kukiwa na uwezekano mkubwa wa Christiano Ronaldo kukosa game la kwanza ndani ya Santiago Bernabeu baada ya kuumia harmstring, Madrid watakuwa na wakati mgumu sana. Natoa nafasi kwa Totenham Hotspurs kuvuka kwenda nusu fainali.
Baada ya huo uchambuzi, katika nusu fainali magame yatakuwa kama ifuatavyo.
Game 1. Inter Milan v Chelsea FC
Tathmini: Hapa Chelsea FC itavuka kuelekea fainali.
Game 2. Barcelona FC v Totenham Hotspurs
Tathmini: Barcelona itavuka kuelekea fainali
Hivyo basi mechi ya fainali itakayopigwa katika uwanja wa Wembley tarehe 25 May 2011 itakuwa ni kati ya,
FC BARCELONA v FC CHELSEA
Na hivyo basi, bingwa atakuwa ni :behindsofa::behindsofa::behindsofa: !