SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
- Thread starter
- #81
Labda wengine umauti umewakuta amebaki Tino pekee,hakuna namna wengine kuzawadiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Idi Pazi alikuwa ni reserve golie, jana tu katoa tweet yake kwamba kilichofanyika siyo haki. TEna inaelekea wote walikuwepo kuwapa moyo hawa wachezaji lakini ameitwa Peter Tino peke yake.