Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Ivi watu wanao wabeza wanawake wakichaga kwa bidii yao ya kufanya kazi wanawaza vizuri? Au ndio wale wanaopenda kuwa na wanawake omba omba au wivu wa maendeleo. Nilidhani tutawapongeza kwa kuwa na mapenzi ya kweli. Hizi ni dalili za uvivu na kutopenda maendeleo. Thanks