Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,927
Huyu mwalimu(sina hakika kama ni mwalimu kweli) katika tangazo hili sijui ni la HakiElimu ananifurahisha sana kwa jinsi anavyofikisha ujumbe wake kwa hadhira. Ni zaidi ya macomedians kama akina Masanja na wenzake. Matangazo anayohusika nayo yanabeba ujumbe unaosikitisha lakini kwa jinsi anavyoufikisha ujumbe badala ya kusikitisha, yeye anachekesha...!!
1) Can somebody..........which...eeeh.....eeeh.....what globally warming is...............English please....
2) Hii ni sipiyu........ndio nini hicho....kipo kama video.........msijali...
1) Can somebody..........which...eeeh.....eeeh.....what globally warming is...............English please....
2) Hii ni sipiyu........ndio nini hicho....kipo kama video.........msijali...