Hii ni siku ambayo nilidhalilishwa sana kwenye Kadamnasi. Sikuwahi isahau

Nliacha kabisa kucheza draft.kipindi cha nyuma uncle wangu mmoja alinifundisha draft nikawa vizuri sana.kiukweli niliweza kuwagonga gonga baadhi ya watu kiroho mbaya.

Maeneo flani Kino clan kulikuwa na bench nje ya nyumbani kwa jamaa yangu.siku hiyo nikaona nami ni socialize na wananzengo.walikuwepo wazee na vijana na kakijana kamoja kana ulumbi wa maneno.

Baada ya kumfunga mtu super kakaanza maneno ya shombo "mi sijaona mtu hapa...naona tu mnapuyanga puyanga hakuna anayejua draft"

Wale wengine wakawa wanajiuma uma.nikaomba nikae kwenye bench...kajamaa kakacheka sana...mpaka machozi yakakatoka.tena kwa kebehi.

"Daaah yaani wewe poyoyo ndo unataka kuja kupakaza makamasi na udenda kwenye kete?" Nlikwazika maana kajamaa kenyewe ni namba moja hasa.

Tukaanza, kakanambia nichague kuanza kusukuma kete au kaanze kenyewe.nikasukuma...kakatikisa kichwa kwa huzuni.

"Kweli akili si mwili, unacheza kibwege sana kama ndondocha...we unajua draft kweli?au unasukuma tu kete kama ulivyokuwa unamwona huyo mzee aliyetoka?"

Kalinikwaza sana kajamaa ila nikanyamaza.nikataka sukuma kete flani kakanishika mkono.

" Hiyo usisukume...ntakupiga super" nikakaambia "please dont touch me huku nmekunja sura..."

"Aaah wakusoma usiwe mkali...simba mkali na anazaa utakuwa wewe" hapo kweli kalinila kete mbili.huku kanacheka kwa kebehi.

Nikataka sukuma nyingine kakanambia..."big usisukume hiyo ntakupiga super ujue" nikasukuma.kakanila tatu... Hapo hasira zinakipanda kiasi.maana nikawa sielewi inakuaje nacheza kama boya.

Tumecheza kidogo nikataka sukuma nyingine....kakatikisa kichwa..."kweli nmeamini ukubwa wa mwili si wingi wa akili...yaani nyie wote ndo mmeniletea huyu ndondocha ananuka maziwa aje kucheza na mwanaume?kwa nini mnanikosea heshima?oneni anavyo bong'oa kwa furaha kabisa nifanye yangu"

Hapo sikuvumilia nilimgonga kichwa akaanguka chini akawa kama amezima hivi.jamaa wakaniwahi....nlikuwa natetemeka kwa hasira na ghadhabu.wazee wakanishika na kunisihi niwe mvumilivu. kama dk moja kajamaa kakawa kanakohoa wakakamsha na kukakalisha kwenye kiti...kametoa macho kama ngumi.

"Amenigonga na nini?" Wakaanza kucheka kwa lile swali...mzee mmoja akajibu " ndoo hiyo fala wewe unadhani wote wnapenda maneno ya shombo...tunakwambia kila siku acha shombo huelewi"

Kajamaa kakatikisa kichwa ili ubongo urudi sehemu yake nadhani ulishake kidogo.halafu kakasikilizia kakaona bado ubongo haujakaa sawa.kakatikisa na kugonga gonga pembeni ya kichwa.halafu kakanicheck na kukenua meno.

" Huu mchezo hautaki hasira...unataka akili" hapo jamaa waliniwahi kunikamata...na kuniondoa maana waliniona kabisa naanza kuchemka...

mpaka leo nahisi kale kajamaa kalikuwa kachawi kangeweza nitafutia kesi ya kijinga tu.

Sikuwahi cheza tena draft hadharani. Nmepita sehemu nmekuta watu wanacheza nikasimama tu kutizama nmemkuta mzee ambaye anaweza kuwa baba yake yule jamaa....ana maneno machafu.nmesimama anauliza "na wewe unataka kufirwah?" Hawa wengine wote tayari hawana marinda nmewachana chana" niligeuka na kuondoka nisije pata murder case bure.
Sijawahi kucheka kwa kiwango kama nilicho cheka leo kiasi kwamba watu wamehisi pengine nimechanganyikiwa ghafla ndani ya daladala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI KWASABABU WANACHEZA WANAUME KWA WANAUME ZAIDI, NA NIA KUBWA YA MPINZANI WAKO KWENYE DRAFT NI KUKUUDHI ILI UPANIC NA UTOKE MCHEZONI, NA UKITAKA KUMUUDHI MWANAUME NI HAPO KWENYE KEJELI ZA MATUSI YA SODOMISATION.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mshkaji mmoja hivi alimkuta mzee na kijana wanacheza draft, ye akawa anawacheki huku akiendelea kugonga fegi pembeni.

Yule mzee akacheza draft halafu mwisho wa siku likawa sare, wakati wanakubaliana kupanga upya lingine yule mtazamaji akasema hilo draft sio sare mwenye kete za blue anashinda. Ambapo hizo kete za blue ni za yule kijana

Yule mzee akabisha kua hakuna goli kwa upande wowote ule, yule mtazamaji akasema weka fungu mezani nishike hizo kete za blue halafu wewe utoe sare.

Mzee alikua ni mwalimu wa sekondary akasema poa naweka elfu 10 endapo utanifunga, kijana akasema poa akaingia mchezoni.

Yule mzee akafurukuta furukuta dakika ya mwisho akajikuta kafungwa, kijana akaanza maneno. "Aah nilijua joka kubwa kumbe kia tu" yule kijana aliyeshindwa kumfunga mzee kwa kutoa naye sare akadakia "we unampata vipi mbona kiulaini tu?"

Jamaa akamjibu kua "mi nilikua nakushangaa wewe unavyo hangaika kutongoza mademu wa kijijini mara sijui uwape chips kuku ili upate penzi wakati mimi napiga mtama tu akianguka namaliza haja zangu nafunga zipu natembea"

Kijana akaendelea na maneno yake ya shombo "Halafu huyu mzee si anafundisha shule flani hapo juu?" yule kijana mwenzake akajibu "ndio", "sasa kama akili ya draft hana anapata wapi akili ya kufundisha wadogo zetu" eti we pimbi unafundisha somo gani huko? Serikali inaweka wepesi kwenye mitihani kwa kuweka machagulio kwa wanafunzi ili angalau wafaulu wengi huku wakijua kua wanafunzi hawaelewi kumbe mapimbi kama nyie ndio mnashika chaki mbele ya ubao" Unajua boss wako akiona nilichokufanyia hapa ataniajiri mimi halafu we utafukuzwa kazi?
 
Nliacha kabisa kucheza draft.kipindi cha nyuma uncle wangu mmoja alinifundisha draft nikawa vizuri sana.kiukweli niliweza kuwagonga gonga baadhi ya watu kiroho mbaya.

Maeneo flani Kino clan kulikuwa na bench nje ya nyumbani kwa jamaa yangu.siku hiyo nikaona nami ni socialize na wananzengo.walikuwepo wazee na vijana na kakijana kamoja kana ulumbi wa maneno.

Baada ya kumfunga mtu super kakaanza maneno ya shombo "mi sijaona mtu hapa...naona tu mnapuyanga puyanga hakuna anayejua draft"

Wale wengine wakawa wanajiuma uma.nikaomba nikae kwenye bench...kajamaa kakacheka sana...mpaka machozi yakakatoka.tena kwa kebehi.

"Daaah yaani wewe poyoyo ndo unataka kuja kupakaza makamasi na udenda kwenye kete?" Nlikwazika maana kajamaa kenyewe ni namba moja hasa.

Tukaanza, kakanambia nichague kuanza kusukuma kete au kaanze kenyewe.nikasukuma...kakatikisa kichwa kwa huzuni.

"Kweli akili si mwili, unacheza kibwege sana kama ndondocha...we unajua draft kweli?au unasukuma tu kete kama ulivyokuwa unamwona huyo mzee aliyetoka?"

Kalinikwaza sana kajamaa ila nikanyamaza.nikataka sukuma kete flani kakanishika mkono.

" Hiyo usisukume...ntakupiga super" nikakaambia "please dont touch me huku nmekunja sura..."

"Aaah wakusoma usiwe mkali...simba mkali na anazaa utakuwa wewe" hapo kweli kalinila kete mbili.huku kanacheka kwa kebehi.

Nikataka sukuma nyingine kakanambia..."big usisukume hiyo ntakupiga super ujue" nikasukuma.kakanila tatu... Hapo hasira zinakipanda kiasi.maana nikawa sielewi inakuaje nacheza kama boya.

Tumecheza kidogo nikataka sukuma nyingine....kakatikisa kichwa..."kweli nmeamini ukubwa wa mwili si wingi wa akili...yaani nyie wote ndo mmeniletea huyu ndondocha ananuka maziwa aje kucheza na mwanaume?kwa nini mnanikosea heshima?oneni anavyo bong'oa kwa furaha kabisa nifanye yangu"

Hapo sikuvumilia nilimgonga kichwa akaanguka chini akawa kama amezima hivi.jamaa wakaniwahi....nlikuwa natetemeka kwa hasira na ghadhabu.wazee wakanishika na kunisihi niwe mvumilivu. kama dk moja kajamaa kakawa kanakohoa wakakamsha na kukakalisha kwenye kiti...kametoa macho kama ngumi.

"Amenigonga na nini?" Wakaanza kucheka kwa lile swali...mzee mmoja akajibu " ndoo hiyo fala wewe unadhani wote wnapenda maneno ya shombo...tunakwambia kila siku acha shombo huelewi"

Kajamaa kakatikisa kichwa ili ubongo urudi sehemu yake nadhani ulishake kidogo.halafu kakasikilizia kakaona bado ubongo haujakaa sawa.kakatikisa na kugonga gonga pembeni ya kichwa.halafu kakanicheck na kukenua meno.

" Huu mchezo hautaki hasira...unataka akili" hapo jamaa waliniwahi kunikamata...na kuniondoa maana waliniona kabisa naanza kuchemka...

mpaka leo nahisi kale kajamaa kalikuwa kachawi kangeweza nitafutia kesi ya kijinga tu.

Sikuwahi cheza tena draft hadharani. Nmepita sehemu nmekuta watu wanacheza nikasimama tu kutizama nmemkuta mzee ambaye anaweza kuwa baba yake yule jamaa....ana maneno machafu.nmesimama anauliza "na wewe unataka kufirwah?" Hawa wengine wote tayari hawana marinda nmewachana chana" niligeuka na kuondoka nisije pata murder case bure.
huyo ndo kaka yake Zero IQ.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Nlishawahi kuona jamaa kamng'ang'ania mtu shingo watu wanapambana kumwachanisha....nakuja ambiwa chanzo ni draft jamaa aliambiwa anapenda sana kufumuliwa malinda maana anapigwa mabao hakati tamaa anategesha tena makalio kama anavyofanyaga mkewe...hapo jamaa alishindwa vumilia.maana mshindi alikuwa anasema mimi ndo dume la mbegu ntawapanda familia yako yote ....mkeo na leo wewe nakuona ulivyo mtamu. Hapo jamaa alimrukia jamaa shingoni....
Unaweza kupata kesi ya mauaji


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mshkaji mmoja hivi alimkuta mzee na kijana wanacheza draft, ye akawa anawacheki huku akiendelea kugonga fegi pembeni.

Yule mzee akacheza draft halafu mwisho wa siku likawa sare, wakati wanakubaliana kupanga upya lingine yule mtazamaji akasema hilo draft sio sare mwenye kete za blue anashinda. Ambapo hizo kete za blue ni za yule kijana

Yule mzee akabisha kua hakuna goli kwa upande wowote ule, yule mtazamaji akasema weka fungu mezani nishike hizo kete za blue halafu wewe utoe sare.

Mzee alikua ni mwalimu wa sekondary akasema poa naweka elfu 10 endapo utanifunga, kijana akasema poa akaingia mchezoni.

Yule mzee akafurukuta furukuta dakika ya mwisho akajikuta kafungwa, kijana akaanza maneno. "Aah nilijua joka kubwa kumbe kia tu" yule kijana aliyeshindwa kumfunga mzee kwa kutoa naye sare akadakia "we unampata vipi mbona kiulaini tu?"

Jamaa akamjibu kua "mi nilikua nakushangaa wewe unavyo hangaika kutongoza mademu wa kijijini mara sijui uwape chips kuku ili upate penzi wakati mimi napiga mtama tu akianguka namaliza haja zangu nafunga zipu natembea"

Kijana akaendelea na maneno yake ya shombo "Halafu huyu mzee si anafundisha shule flani hapo juu?" yule kijana mwenzake akajibu "ndio", "sasa kama akili ya draft hana anapata wapi akili ya kufundisha wadogo zetu" eti we pimbi unafundisha somo gani huko? Serikali inaweka wepesi kwenye mitihani kwa kuweka machagulio kwa wanafunzi ili angalau wafaulu wengi huku wakijua kua wanafunzi hawaelewi kumbe mapimbi kama nyie ndio mnashika chaki mbele ya ubao" Unajua boss wako akiona nilichokufanyia hapa ataniajiri mimi halafu we utafukuzwa kazi?
Ningekuwa huyo mzee ningerusha ngumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mshkaji mmoja hivi alimkuta mzee na kijana wanacheza draft, ye akawa anawacheki huku akiendelea kugonga fegi pembeni.

Yule mzee akacheza draft halafu mwisho wa siku likawa sare, wakati wanakubaliana kupanga upya lingine yule mtazamaji akasema hilo draft sio sare mwenye kete za blue anashinda. Ambapo hizo kete za blue ni za yule kijana

Yule mzee akabisha kua hakuna goli kwa upande wowote ule, yule mtazamaji akasema weka fungu mezani nishike hizo kete za blue halafu wewe utoe sare.

Mzee alikua ni mwalimu wa sekondary akasema poa naweka elfu 10 endapo utanifunga, kijana akasema poa akaingia mchezoni.

Yule mzee akafurukuta furukuta dakika ya mwisho akajikuta kafungwa, kijana akaanza maneno. "Aah nilijua joka kubwa kumbe kia tu" yule kijana aliyeshindwa kumfunga mzee kwa kutoa naye sare akadakia "we unampata vipi mbona kiulaini tu?"

Jamaa akamjibu kua "mi nilikua nakushangaa wewe unavyo hangaika kutongoza mademu wa kijijini mara sijui uwape chips kuku ili upate penzi wakati mimi napiga mtama tu akianguka namaliza haja zangu nafunga zipu natembea"

Kijana akaendelea na maneno yake ya shombo "Halafu huyu mzee si anafundisha shule flani hapo juu?" yule kijana mwenzake akajibu "ndio", "sasa kama akili ya draft hana anapata wapi akili ya kufundisha wadogo zetu" eti we pimbi unafundisha somo gani huko? Serikali inaweka wepesi kwenye mitihani kwa kuweka machagulio kwa wanafunzi ili angalau wafaulu wengi huku wakijua kua wanafunzi hawaelewi kumbe mapimbi kama nyie ndio mnashika chaki mbele ya ubao" Unajua boss wako akiona nilichokufanyia hapa ataniajiri mimi halafu we utafukuzwa kazi?
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom