Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,587
- 2,102
Draft nalijua haswa kulicheza ila pakitokea mtu anayeongea sana huwa nabakia kuwa mtazamaji maana uvumilivu kwangu ni ziro..... By the way mliokutana na shombo za draft mmenifanya nicheke kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app