Hii ni nini?

Hii ni nini?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,451
Reaction score
9,771
Wale wa born town sidhani kama mnaijua...

attachment.php
 
Hii kule Uchagani Enzi hizo ilikuwa ni ghala la kuhifadhia chakula hasa mahindi yanapovunwa, huwekwa bila kumenywa na kubakia katika hali hiyo hata msimu mwingine wa kulima hutolewa na kumenywa kupukusuliwa na hatimae kupelekwa mashineni kusagwa na wakati huo kata nzima ina mashine moja ya diseli, inaitwa IKUMBI hii ni kwa kichagga, nawasilisha.
 
Hii kule Uchagani Enzi hizo ilikuwa ni ghala la kuhifadhia chakula hasa mahindi yanapovunwa, huwekwa bila kumenywa na kubakia katika hali hiyo hata msimu mwingine wa kulima hutolewa na kumenywa kupukusuliwa na hatimae kupelekwa mashineni kusagwa na wakati huo kata nzima ina mashine moja ya diseli, inaitwa IKUMBI hii ni kwa kichagga, nawasilisha.

Ukisema kichaga bila kufafanua kichaga cha wapi,unaacha swali,Kichaga cha kule kwetu SIHA tunakiita KIHENGE,sasa hii yako ni kichaga cha wapi?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom