Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,385
MIE NIKITEMBEA NA MWANAMKE HAUISHI MWAKA ANAOLEWA
hahhhaaaaaado us a favor tembea na maccm mkuu...
Mimi usiniweke hukoHatari...........nilisikia sehemu watu wazima walikua wanaongea wakasema kuna watu wana mikosi,au Gundu ukiwa nae
kama Biashara ita kufa kama pesa itaisha,sasa yako sijui niipi manake ndio kwanza nisikie ya kuhama nyumba..
Una nusksi ndio maana, sasa dawa yake upate mwenye nuksi mwenzako, hiyo kitu ipo sawa kwa watu wengi,
Mbona mnashindwa kuelewa nilichouliza? Hakuna niliposema wananikimbiaUna gundu, au ni mawazo yako tuuuu, pengine wewe ni msumbufu wanaamua kukukimbia
Amini nakwambia, kuwa makini watoto nao wasije kukukimbia.Hapana ila nina watoto
Ha ha haaaaaItakuwa mbegu zako zina uhusiano na Vasco Da Gama mkuu wakizipata tu wanawaza safari.... ILA WACHA UZINZI! Tulia.
Mmh sasa maziwa yakuku atayapata wapi jamaniHilo ni gundu, una kimavi. Itafikia wakati kila mtu atakukumbia sio wanawake tu. Katafute machozi ya samaki na maziwa ya kuku uogee mara 3 kwa siku wataacha kukukimbia.