Hii ni nguvu gani?

Hii ni nguvu gani?

Imetokea si mara moja mbili au hata kumi, imekuwa ni kama uchawi sasa mwanamke yeyote nitakayetembea naye kama ni mpangaji mwenzangu hamalizi miezi mitatu lazima ahame nyumba kwasababu yeyote ile
kama ni barmaid hivyo hivyo kama ni house girl mule mule kama ni mfanyakazi ofisini ndio usiseme.

Nakaa na kujiuliza sana hii ni nguvu gani? Ni nzuri au mbaya?
Una gundu,nenda kwa KARUMANZIRA lakini ujiangalie maana siku hizi amegeuka ,amekuwa kama wale wachungaji wenye kutafuna kondoo wao.
 
Una gundu,nenda kwa KARUMANZIRA lakini ujiangalie maana siku hizi amegeuka ,amekuwa kama wale wachungaji wenye kutafuna kondoo wao.
Hebu soma kwa makini nilichoandika wengi wamefikiri tofauti... Hao wanawake sio kuwa linatokea tatizo la hasha bali hutokea tu kuondoka na wengi wao tunaagana vizuri kabisa
 
Imetokea si mara moja mbili au hata kumi, imekuwa ni kama uchawi sasa mwanamke yeyote nitakayetembea naye kama ni mpangaji mwenzangu hamalizi miezi mitatu lazima ahame nyumba kwasababu yeyote ile
kama ni barmaid hivyo hivyo kama ni house girl mule mule kama ni mfanyakazi ofisini ndio usiseme.

Nakaa na kujiuliza sana hii ni nguvu gani? Ni nzuri au mbaya?
acha uzinzi mkuu. acha kabisa. zibuka na usikie sasa, acha usharati
 
Mbona mnashindwa kuelewa nilichouliza? Hakuna niliposema wananikimbia
Swali lako limeeleweka vizuri kama ulivyo uliza, na unatakiwa uelewe kwamba nuksi sio lazima ugombane na mpenzi wako, kwanza anaye pata majanga ni mwenzako na sio wewe, kwako mambo yanakuwa poa tu ila mwenzako ndio anakuwa anapata majanga kila siku au baada ya muda fulani
 
Naamini wengi mmekurupuka kuchangia nimesema wanaondoka kwa sababu zozote zile na si kwamba wananiacha au tunagombana
Umeshakua jiongeze,unafikiri watakwambia wamekukimbia?wanahisi wakikuambia shida yako utajidharau
 
Jf kuna mambo makubwa saaana!!! Mkuu achana na masemu hao,tafuta mke utulie na hapo ndo utajitathimin nn tatzo
 
Nauliza ni nguvu gani majibu ninayopata ni ya chekechea duuu
 
Back
Top Bottom