Capital Hill,
Samahani mkuu labda sijakuelewa vizuri ktk hoja yako hapo juu...
Nachoshindwa kuelewa ni pale uliposema wazungu hutumia scare tactics ku potray Africa vibaya.. sawa nakubaliana na hilo lakini ikiwa watu hawa hawana kazi na wanahitaji kazi kuja Africa ku volunteer ama vyovyote tutakavyo ita inakuwaje wayafanye hayo hali mchango wa mawazo kama hayo unaweza katisha kabisa na kuwakosesha wao kazi?
I mean ikiwa mimi ni mtoa msaada nitaogopa kutoa msaada huo ama nitamuuliza huyo mtu ikiwa huko ndivyo wanavyoishi inakuwaje wewe uwe interested kwenda fanya kazi huko ambako wanakula watu?... Hii imenipa shida kidogo.
Nadhani ndugu yangu ni bora zaidi tuachane na jinsi wao wanavyotusema ila sisi kuudhirihishia Ulimwengu kuwa tunafuta historia hizo kwa vitendo..
Binafsi naamini kuwa dunia ya leo ni kubwa sana kimawazo na Internet ni kiungo kikubwa sana kwa kila mtaalam anayetaka kufanya jambo nchini. Mtandao nyumbani ni shida wala haina kificho, kwanza ghali sana - Umeme kama ulivyoona kanyaboya la Mzee Richmonduli, Je, hao wazungu kama walitembelea Tanzania wakati ule tutasema nini..Kila nyumba Tanzania ni lazima ijengwe na Pipa la kuhifadhi maji...Generator zinawaka 24 hours kuvuta maji na pengine swala la Umeme tena mji mkuu...Mkuu infrastructure yetu mbovu sana!..
Pia, tujiulize yawezekana kuwa hawa watu wanazungumzia sehemu ambazo wanataka kuwekesha kwa mfano wako kujenga shule... Ni kweli kabisa kuna baadhi ya sehemu hazina maji wala Umeme na hakika watu wanaishi kama vile hawapo ktk dunia hii!...na ukitazama mikakati ya serikali ni ahadi za kufikia mwaka 2015...
Tanzania ya leo sio kabisa sawa na ile niliyoiacha miaka 20 iliyopita.. Kuna Visma vya maji vilijengwa na Wasweden miaka ileee ya Nyerere leo hii hayafanyi kazi kabisa, Ni sehemu kubwa ya vitongoji vya miji yetu havina Umeme hadi leo hii tena ktk miji mikubwa..
Yes, ni kweli kuwa hawa wazungu wanaongeza sana chunvi lakini Je sisi tunafanya nini kubadilisha hali kama hiyo...nafikiri ni kidogo sana!
Kilichobaki sisi tunalalamika na Wazungu tu of what they say about us!..
Mimi naamini kuwa unapoambiwa na watu kuwa wewe mchafu unanuka domo mara nyingi kuna ukweli zaidi ya uongo pamoja na kwamba ni tusi kwa aloambiwa, mtu huyo atachukia na mara zote atakosekana mtu wa karibu kumwambia mjomba kweli domo lako linatoa... Kwa hali hiyo ataendelea kuamini kuwa hanuki, Mjomba Afrika inanuka na hasa tunapojaribu kutumia deodorant bila kuoga jasho...Sasa basi maadam tunaandika ktk lugha yetu ebu tupitie machache hapa!
Maghorofa yanajengwa Dar kila siku, tena sehemu kama Kariakoo ndio zinapendeza sana machoni lakini hakuna underground sewerage system ambayo ina divert waste toka sehemu hiyo... Sasa mzungu akija sema kunanuka tunapiga makelele..hali tuhahitaji misaada mikubwa kuuzuia magonjwa kama Cholera na Maleria. Sasa kama hatutaweza kubali kuwa tunafuga maradhi hayo kwa kuambiwa kuwa sisi ni wachafu, tutaweza vipi kuamini?....Ndio majengo yanajengwa lakini with disastrous consequences kwa wananchi. Haya tazama hizo nguo - Mitumba imejaa hali ilikubaliwa kuwa ni dharura leo hii imekuwa hali halisi sasa wakitusema kweli tunaweza ficha vibanda vya Machinga vilivyojaa nchini?
Mambo mengi nyumbani yanaendeshwa kienyeji na mara nyingi tunasingizia kuwa Ati Inatosha kulingana na hali yetu!.. Hivi ni kipimo kipi hawa watu hutumia kusema Mtanzania ama mwafrika anahitaji kiasi fulani cha maendleo kuliko mzungu?...I mean kuna chakula ama nutriation za mzungu na Mwafrika!.
Mkuu, Tanzania ina mambo mengi sana ambayo ONLY in Tanzania kwa ubaya wake....we have to change na wakati ndio huu - Mimi naamini kabisa kuwa mzungu huyo alosema ni ya kweli na labda atokee mtu ku prove otherwise!...Kwani anapata kitu gani haswa kwa kusema uongo?... atawafukuza wazungu ama ndio kuwaambia matapeli wengine kuwa wajinga wapo Tanzania...
Tukubali Ujinga, na huo utakuwa mwanzo mzuri wa kutafuta tiba ya maradhi yetu.
Samahani mkuu labda sijakuelewa vizuri ktk hoja yako hapo juu...
Nachoshindwa kuelewa ni pale uliposema wazungu hutumia scare tactics ku potray Africa vibaya.. sawa nakubaliana na hilo lakini ikiwa watu hawa hawana kazi na wanahitaji kazi kuja Africa ku volunteer ama vyovyote tutakavyo ita inakuwaje wayafanye hayo hali mchango wa mawazo kama hayo unaweza katisha kabisa na kuwakosesha wao kazi?
I mean ikiwa mimi ni mtoa msaada nitaogopa kutoa msaada huo ama nitamuuliza huyo mtu ikiwa huko ndivyo wanavyoishi inakuwaje wewe uwe interested kwenda fanya kazi huko ambako wanakula watu?... Hii imenipa shida kidogo.
Nadhani ndugu yangu ni bora zaidi tuachane na jinsi wao wanavyotusema ila sisi kuudhirihishia Ulimwengu kuwa tunafuta historia hizo kwa vitendo..
Binafsi naamini kuwa dunia ya leo ni kubwa sana kimawazo na Internet ni kiungo kikubwa sana kwa kila mtaalam anayetaka kufanya jambo nchini. Mtandao nyumbani ni shida wala haina kificho, kwanza ghali sana - Umeme kama ulivyoona kanyaboya la Mzee Richmonduli, Je, hao wazungu kama walitembelea Tanzania wakati ule tutasema nini..Kila nyumba Tanzania ni lazima ijengwe na Pipa la kuhifadhi maji...Generator zinawaka 24 hours kuvuta maji na pengine swala la Umeme tena mji mkuu...Mkuu infrastructure yetu mbovu sana!..
Pia, tujiulize yawezekana kuwa hawa watu wanazungumzia sehemu ambazo wanataka kuwekesha kwa mfano wako kujenga shule... Ni kweli kabisa kuna baadhi ya sehemu hazina maji wala Umeme na hakika watu wanaishi kama vile hawapo ktk dunia hii!...na ukitazama mikakati ya serikali ni ahadi za kufikia mwaka 2015...
Tanzania ya leo sio kabisa sawa na ile niliyoiacha miaka 20 iliyopita.. Kuna Visma vya maji vilijengwa na Wasweden miaka ileee ya Nyerere leo hii hayafanyi kazi kabisa, Ni sehemu kubwa ya vitongoji vya miji yetu havina Umeme hadi leo hii tena ktk miji mikubwa..
Yes, ni kweli kuwa hawa wazungu wanaongeza sana chunvi lakini Je sisi tunafanya nini kubadilisha hali kama hiyo...nafikiri ni kidogo sana!
Kilichobaki sisi tunalalamika na Wazungu tu of what they say about us!..
Mimi naamini kuwa unapoambiwa na watu kuwa wewe mchafu unanuka domo mara nyingi kuna ukweli zaidi ya uongo pamoja na kwamba ni tusi kwa aloambiwa, mtu huyo atachukia na mara zote atakosekana mtu wa karibu kumwambia mjomba kweli domo lako linatoa... Kwa hali hiyo ataendelea kuamini kuwa hanuki, Mjomba Afrika inanuka na hasa tunapojaribu kutumia deodorant bila kuoga jasho...Sasa basi maadam tunaandika ktk lugha yetu ebu tupitie machache hapa!
Maghorofa yanajengwa Dar kila siku, tena sehemu kama Kariakoo ndio zinapendeza sana machoni lakini hakuna underground sewerage system ambayo ina divert waste toka sehemu hiyo... Sasa mzungu akija sema kunanuka tunapiga makelele..hali tuhahitaji misaada mikubwa kuuzuia magonjwa kama Cholera na Maleria. Sasa kama hatutaweza kubali kuwa tunafuga maradhi hayo kwa kuambiwa kuwa sisi ni wachafu, tutaweza vipi kuamini?....Ndio majengo yanajengwa lakini with disastrous consequences kwa wananchi. Haya tazama hizo nguo - Mitumba imejaa hali ilikubaliwa kuwa ni dharura leo hii imekuwa hali halisi sasa wakitusema kweli tunaweza ficha vibanda vya Machinga vilivyojaa nchini?
Mambo mengi nyumbani yanaendeshwa kienyeji na mara nyingi tunasingizia kuwa Ati Inatosha kulingana na hali yetu!.. Hivi ni kipimo kipi hawa watu hutumia kusema Mtanzania ama mwafrika anahitaji kiasi fulani cha maendleo kuliko mzungu?...I mean kuna chakula ama nutriation za mzungu na Mwafrika!.
Mkuu, Tanzania ina mambo mengi sana ambayo ONLY in Tanzania kwa ubaya wake....we have to change na wakati ndio huu - Mimi naamini kabisa kuwa mzungu huyo alosema ni ya kweli na labda atokee mtu ku prove otherwise!...Kwani anapata kitu gani haswa kwa kusema uongo?... atawafukuza wazungu ama ndio kuwaambia matapeli wengine kuwa wajinga wapo Tanzania...
Tukubali Ujinga, na huo utakuwa mwanzo mzuri wa kutafuta tiba ya maradhi yetu.