Bora hata ingekuwa kidato cha nne sema form nyoko🤣Hatoshi kuwa mkuu wa mkoa kama bado ana michezo ya kidato cha nne ...
Inawezekana mtongozaji akavukq mipaka akawa anafanya harassment na stalking.Hata kama sijasoma kuhusu sheria, ila kumtongoza mtu aliyevuka miaka 18 na sio mwanafunzi haiwezi kuwa jinai..
Mikwara ipi ina mana mke haeelewi kua huyo Binti ni msumbufu si unampa namba wanapambana wenyewe, halaf huyo demu hawezi kaza kiasi hicho unaeza Kuta nyuma ya milango anamfaham MUHESHIMIWA ni mtu wa totozKama mke kampiga mikwara je 😂😂
Inawezekana ni msumbufu lakini mpaka akashitaki?Mikwara ipi ina mana mke haeelewi kua huyo Binti ni msumbufu si unampa namba wanapambana wenyewe, halaf huyo demu hawezi kaza kiasi hicho unaeza Kuta nyuma ya milango anamfaham MUHESHIMIWA ni mtu wa totoz