Polen na hasira za kusafishwa kwa jairo wakuu!ebana,nlikuwa na gf wangu mmoja hv,miez ka mitano hv 2lipgana chini{2liachana},tangu hapo mwenzangu ananiambia eti ameokoka,hii ni kwel au 2 njia ya kujiweka mbali na min.
Polen na hasira za kusafishwa kwa jairo wakuu!ebana,nlikuwa na gf wangu mmoja hv,miez ka mitano hv 2lipgana chini{2liachana},tangu hapo mwenzangu ananiambia eti ameokoka,hii ni kwel au 2 njia ya kujiweka mbali na min.
Me nlimpotezeaga,nkafuta na numbr zake,bt cha kushangaza juzi kati kanipgia,ktk maongez ye2 akawa anancctizia kwamba ye kaamua kuokoka na ananshaur na mie niokoke...sa cjui ndo anataka kuniingza king tena au vp!
Polen na hasira za kusafishwa kwa jairo wakuu!ebana,nlikuwa na gf wangu mmoja hv,miez ka mitano hv 2lipgana chini{2liachana},tangu hapo mwenzangu ananiambia eti ameokoka,hii ni kwel au 2 njia ya kujiweka mbali na min.
sasa kama mwenzako kaokoka we huamini nini? kama huamini shauri lako, ila kama ni mimi hapo hakuna tena ubishi,,,,,,,,,,, kama mlipigana chini sidhani kama kuna umuhimu wa kufuatlia maamuzi yake.
kiufupi anamilikiwa na mwenye kufuatilia maamuzi yake yupo!!!!!!!!