Hivi ni kweli hii pisi iko bize na kazi haina muda kuwa nami au ndo nikatafute hela kwanza?

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Apr 20, 2008
277
548
Wakuu Umuofia,

Kuna pisi nimeielewa kiaina nimejaribu kuiimbisha walau tuonane uso kwa macho.

Lakini mara zote napata kizuizi kutoka kwa hii pisi. Mara zote pisi inadai iko bize sana kiasi hana muda kabisa wa kuonana namimi.

Sasa nimerudi humu Jf kuwalilia wakuu wangu. Najua humu kuna mafataki wazoefu wa sasa na wastaafu/ma Mr. luv/ makungwi wabobevu/ mafuska wa sasa na wenzao wastaafu/ mashangingi vijogoo wakushauri kitu.

Hivi wakuu hiki kisingizio cha ubize cha hii pisi kina ukweli au ndo nikatafute hela kwanza?
 
Mwanamke kama hataki basi muache aende zake-Afande Sele

Unafanya kosa kubwa sana, huyo hakutaki na ukiendelea kuforce utapata hasara za kijinga. Muombe mara ya mwisho muonane, akisema yupo busy mjibu "okay", then futa namba, sms na kila kinachomhusu, hamia kwa pisi nyingine!
 
Wakuu Umuofia,

Kuna pisi nimeielewa kiaina nimejaribu kuiimbisha walau tuonane uso kwa macho.

Lakini mara zote napata kizuizi kutoka kwa hii pisi. Mara zote pisi inadai iko bize sana kiasi hana muda kabisa wa kuonana namimi.

Sasa nimerudi humu Jf kuwalilia wakuu wangu. Najua humu kuna mafataki wazoefu wa sasa na wastaafu/ma Mr. luv/ makungwi wabobevu/ mafuska wa sasa na wenzao wastaafu/ mashangingi vijogoo wakushauri kitu.

Hivi wakuu hiki kisingizio cha ubize cha hii pisi kina ukweli au ndo nikatafute hela kwanza?
Naukipata hela usi itafute, nayenyewe iki kutafuta iambie uko busy.
 
Back
Top Bottom