mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 277
- 548
Wakuu Umuofia,
Kuna pisi nimeielewa kiaina nimejaribu kuiimbisha walau tuonane uso kwa macho.
Lakini mara zote napata kizuizi kutoka kwa hii pisi. Mara zote pisi inadai iko bize sana kiasi hana muda kabisa wa kuonana namimi.
Sasa nimerudi humu Jf kuwalilia wakuu wangu. Najua humu kuna mafataki wazoefu wa sasa na wastaafu/ma Mr. luv/ makungwi wabobevu/ mafuska wa sasa na wenzao wastaafu/ mashangingi vijogoo wakushauri kitu.
Hivi wakuu hiki kisingizio cha ubize cha hii pisi kina ukweli au ndo nikatafute hela kwanza?
Kuna pisi nimeielewa kiaina nimejaribu kuiimbisha walau tuonane uso kwa macho.
Lakini mara zote napata kizuizi kutoka kwa hii pisi. Mara zote pisi inadai iko bize sana kiasi hana muda kabisa wa kuonana namimi.
Sasa nimerudi humu Jf kuwalilia wakuu wangu. Najua humu kuna mafataki wazoefu wa sasa na wastaafu/ma Mr. luv/ makungwi wabobevu/ mafuska wa sasa na wenzao wastaafu/ mashangingi vijogoo wakushauri kitu.
Hivi wakuu hiki kisingizio cha ubize cha hii pisi kina ukweli au ndo nikatafute hela kwanza?