Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we bwana wee kwani si mlishaachana? Au We ulitaka muwe mnaendelea kuwa karibu? Kwa nini ikutouch kama kuokoka kwake kunamaanisha umbali kati yenuPolen na hasira za kusafishwa kwa jairo wakuu!ebana,nlikuwa na gf wangu mmoja hv,miez ka mitano hv 2lipgana chini{2liachana},tangu hapo mwenzangu ananiambia eti ameokoka,hii ni kwel au 2 njia ya kujiweka mbali na min.
sasa kama mwenzako kaokoka we huamini nini? kama huamini shauri lako, ila kama ni mimi hapo hakuna tena ubishi,,,,,,,,,,, kama mlipigana chini sidhani kama kuna umuhimu wa kufuatlia maamuzi yake.Polen na hasira za kusafishwa kwa jairo wakuu!ebana,nlikuwa na gf wangu mmoja hv,miez ka mitano hv 2lipgana chini{2liachana},tangu hapo mwenzangu ananiambia eti ameokoka,hii ni kwel au 2 njia ya kujiweka mbali na min.