Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Yupo Zitto Kabwe. ..amesha acumulate utajiri wa kutosha as of now. I wish to call him MAMVI Jr
Ndugu Wazalendo Wenzangu, Naomba Kujuzwa Mawili Matatu Juu Ya Uzinduzi Wa Chama Chetu Jumapili Iliyopita. Kama Chama Chetu Kinavyoitwa Chama Cha Uwazi, Hivi Gharama Za Kukodi Ukumbi Ilikua Shng Ngapi?
Zile Takeaway Na Maji Viligarimu Kiasi Gani? Na Matangazo Ya Itv Yaligharimu Kiasi Gani? Na Gharama Zote Hizo Zimelipwa Na Nani Wakati Chama Chetu Hakina Ruzuku Na Sijawahi Ona Tukichangishana? Naomba Kujua Na Wafadhili Pia. Act Chama Cha Wazalendo, Tanzania Kwanza.
Yeye mwenyewe Muuza Urembo mtaani utapata wapi pesa wewe.?. Si unajua kazi za waha ni urembo na kuuza matunda kwenye vitoroli Kariakoo?.
Ni MFALME ACT.
Alipewa Vuvuzela Nape.Maana sauti yake inafaa kuwa Dalali.
Pia tunaulizia zile pikipiki za M4C zilizouziwa CHADEMA kwa milioni 3 TOYO moja,
Tenda ya kussuply alipewa nani?
Swali wameulizwa ACT Wazalendo, lakini wanaojibu ni CCM!
Pia tunaomba kujuzwa yafuatayo:
1.yale magari mabovu ya mbowe aliyokiuzia chama yaligharimu kiasi gan?
2.kwanini chadema inaogopa kukaguliwa na CAG?
3.zile pesa za chama alizojikopesha dr slaa amezirudisha?
ACT inakuwasha sana kwenye masaburi yako
Ndio kwani wewe uliona wapi wanachangishana?. Au mlichangishana usiku kwenye giza km Mfalme wenu alivyopewa Kadi ya Kikundi Chenu Usiku wa Manane?.
Humu ndani watetezi na wasemaji wakuu wakuu wa ACT ni vijana wa ccm na ndo watetezi wakubwa