Lingine ile Fomu ya Mali zake aliyoisaini mbona mpaka Leo haionekani?
ww unataka zitto aanguke kama gwajiii
Pia tunaomba kujuzwa yafuatayo:
1.yale magari mabovu ya mbowe aliyokiuzia chama yaligharimu kiasi gan?
2.kwanini chadema inaogopa kukaguliwa na CAG?
3.zile pesa za chama alizojikopesha dr slaa amezirudisha?
Pia tunaulizia zile pikipiki za M4C zilizouziwa CHADEMA kwa milioni 3 TOYO moja,Pia tunaomba kujuzwa yafuatayo:
1.yale magari mabovu ya mbowe aliyokiuzia chama yaligharimu kiasi gan?
2.kwanini chadema inaogopa kukaguliwa na CAG?
3.zile pesa za chama alizojikopesha dr slaa amezirudisha?
Pia tunaomba kujuzwa yafuatayo:
1.yale magari mabovu ya mbowe aliyokiuzia chama yaligharimu kiasi gan?
2.kwanini chadema inaogopa kukaguliwa na CAG?
3.zile pesa za chama alizojikopesha dr slaa amezirudisha?
Lingine ile Fomu ya Mali zake aliyoisaini mbona mpaka Leo haionekani?
Mkuu MAHORO wakikujibu hayo maswali, nahama nchi. Pili, usiporidhika na majibu yao unaweza pata ufafanuzi wa hayo maswali toka kwa Juliana Shonza anajua source of fund ya ACT-Wazalendo.
sleep walking,,,,, never argue from the vacuum you will loose your energy for nothing
Tunakushukuru kwa kuupenda utaratibu huu nenda tovuti ya chama utaipata muda si mrefu, jitahid nawe uwashawish viongoz wako wawekewaz malizao ujue
Nani tena huyo?
Tunakushukuru kwa kuupenda utaratibu huu nenda tovuti ya chama utaipata muda si mrefu, jitahid nawe uwashawish viongoz wako wawekewaz malizao ujue
Tunakushukuru kwa kuupenda utaratibu huu nenda tovuti ya chama utaipata muda si mrefu, jitahid nawe uwashawish viongoz wako wawekewaz malizao ujue
Pia tunaomba kujuzwa yafuatayo:
1.yale magari mabovu ya mbowe aliyokiuzia chama yaligharimu kiasi gan?
2.kwanini chadema inaogopa kukaguliwa na CAG?
3.zile pesa za chama alizojikopesha dr slaa amezirudisha?
Mngejibu maswali juu ya uwazi wa act mnaohubiri.
Kuwa mfuasi wa mtu flani badala ya kuwa mfuasi wa itikadi flani imeanza kuwagharimu watetezi wa act, mnakosa hoja na itikadi za kuzieneza kwasababu nyie itikadi is not your priority, kipaumbele chenu kilichowasukuma kuwepo huko ACT ni hisia zenu na mahaba yenu juu ya mtu fulani.
Bila kujijua mnajikuta mnabaki dilemma kwasababu huyo aliyewafanya mjumuike hapo act anahubiri utopian thinking so mnajikuta hamna cha kutetea kwasababu mmemfanya dreamer kuwa nuru ya chama chenu.
Pia tunaomba kujuzwa yafuatayo:
1.yale magari mabovu ya mbowe aliyokiuzia chama yaligharimu kiasi gan?
2.kwanini chadema inaogopa kukaguliwa na CAG?
3.zile pesa za chama alizojikopesha dr slaa amezirudisha?
Juliana Shonza aliwahi kujibu hili swali km sikoseiNdugu Wazalendo Wenzangu, Naomba Kujuzwa Mawili Matatu Juu Ya Uzinduzi Wa Chama Chetu Jumapili Iliyopita. Kama Chama Chetu Kinavyoitwa Chama Cha Uwazi, Hivi Gharama Za Kukodi Ukumbi Ilikua Shng Ngapi?
Zile Takeaway Na Maji Viligarimu Kiasi Gani? Na Matangazo Ya Itv Yaligharimu Kiasi Gani? Na Gharama Zote Hizo Zimelipwa Na Nani Wakati Chama Chetu Hakina Ruzuku Na Sijawahi Ona Tukichangishana? Naomba Kujua Na Wafadhili Pia. Act Chama Cha Wazalendo, Tanzania Kwanza.
Mfalme.Nani tena huyo?
Mfalme.