Jchris14
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 1,078
- 2,537
Wakuu salamu popote mlipo, pia poleni na heka heka za kila siku maana kwa ground mambo ni magumu sana, tuendelee kujitafta.
Nirudi kwenye key, kwa ufupi sana:......
"wewe legendary kama uliweza kujinasua na kutoka kabisa kwenye mfumo wa kujichukulia sheria mkononi, hakika siti yako ipo mbele kabisa na kuanzia sasa, umeingizwa kwenye baraza kuu na kongwe la kutatua migogoro sugu ya ardhi.....".
Mwisho wa kunukuu, tukutane kwenye ile kesi kubwa na nzito ya ardhi ya bwana Kuchoka na Masumbuko.
NB: Tuelewane Mimi sipo kabisa kwenye huo mfumo📌🔨
Nirudi kwenye key, kwa ufupi sana:......
"wewe legendary kama uliweza kujinasua na kutoka kabisa kwenye mfumo wa kujichukulia sheria mkononi, hakika siti yako ipo mbele kabisa na kuanzia sasa, umeingizwa kwenye baraza kuu na kongwe la kutatua migogoro sugu ya ardhi.....".
Mwisho wa kunukuu, tukutane kwenye ile kesi kubwa na nzito ya ardhi ya bwana Kuchoka na Masumbuko.
NB: Tuelewane Mimi sipo kabisa kwenye huo mfumo📌🔨