kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,663
Enyi wafanya biashara wa secondhand | Used | Mtumba
Nguo | Viatu | Mikoba/School bags nk.
Ni wapi unanunua bidhaa zako kati ya Tanzania | Kenya | Uganda?
Sababu zipi zinakushawishi kununua bidhaa point A badala ya Point B au C?
Vitu gani unazingatia hasa unapoamua kununua kati ya nchi hizo?
Kumekuwa na aina ya mitumba kutoka nchi mbalimbali kama China | Canada | Dubai | Uturuki nk
Je ni nchi gani inatoa mitumba mizuri kuliko nyingine?
Kila biashara zina sign zake kwenye kuchagua wengine wanajua kulingana na label ya belo husika mfano CCR nakadhalika..
Kuna belo nyingine zinaitwa Cream, nyingine grade A nk. Je hizo zote zinakuwaje?
NB: KUMBUKA MCHANGO WAKO JUU YA BIASHARA HII UTMSAIDIA MTU KUANZA BIASHARA HII AKIJUA NINI AFANYE.
Nawasilisha
Nguo | Viatu | Mikoba/School bags nk.
Ni wapi unanunua bidhaa zako kati ya Tanzania | Kenya | Uganda?
Sababu zipi zinakushawishi kununua bidhaa point A badala ya Point B au C?
Vitu gani unazingatia hasa unapoamua kununua kati ya nchi hizo?
Kumekuwa na aina ya mitumba kutoka nchi mbalimbali kama China | Canada | Dubai | Uturuki nk
Je ni nchi gani inatoa mitumba mizuri kuliko nyingine?
Kila biashara zina sign zake kwenye kuchagua wengine wanajua kulingana na label ya belo husika mfano CCR nakadhalika..
Kuna belo nyingine zinaitwa Cream, nyingine grade A nk. Je hizo zote zinakuwaje?
NB: KUMBUKA MCHANGO WAKO JUU YA BIASHARA HII UTMSAIDIA MTU KUANZA BIASHARA HII AKIJUA NINI AFANYE.
Nawasilisha