Hii ni kali toka kwa Magufuli!

Hii ni kali toka kwa Magufuli!

Yani mbwa million 6!???... Kiwanda cha nyama ya mbwa? Aisee acha nisikilize wengine wanasemaje
 
Yani mbwa million 6!???... Kiwanda cha nyama ya mbwa? Aisee acha nisikilize wengine wanasemaje

Mkutano ulirushwa na Star Tv na Redio Free Africa. Unaweza kumuuliza yoyote kama hukufuatilia
 
Sawa nayule aliyesema ataanzisha kilimo cha kisasa cha mibuyu
 
kasahau kutaja na idadi ya kenge maana nasikia kigoma kenge ni dili kubwa sana sijui wa kongo ndio wanakula. Magufuli anadhani wote wanaokuwepo pale ni wana kijiji wasiojua lolote ndio maana uwa anaropoka tu akataa sera za mtu aliyesema ataondoa nyumba za nyasi ila yeye anasema atashusha bei za vifaa vya ujenzi. Hivi ni kweli uyu anaeitwa Dr ameshindwa elewa hoja ya kuondoa nyumba za nyasi au yeye alifikiri mwenzake ataleta na kugawa mabati? Kweli bora aliyesema vipaumbele hivi:
1. elimu
2. elimu
3. elimu
namkubali na aliona mbali maana ukiachana na waliokosa hata hiyo elimu ya kuunga bali wale walioipata hawatofautiani ktk kufikiria kwa undani zaidi
 
Dah hadi mbwa kweli tanzania imekwisha wakimchagua hata mabubha ya nzi yata anzishwa
 
Hv nyie mnataka nini?Mnadai uchumi umedorola lakn mkiambıwa namna ya kuufufua mnakosa imani.
tatizo kiwanda cha mifugo kujengwa kigoma ,kule labda kiwanda cha migebukanamawese sio mbuzi wala mbwa
 
Idadi ya mbwa angeitaja kwa watani zetu Iringa.
Bado tunataka idadi ya sato, Sangara, simbilisi, kuku, bata, batamzinga, nyuki, sungura nk
 
Hahahahaa...jamaa ni muongo balaa...amezoe kukaririsha na kusema uongo maana nani anayekuwa na takwimu au kujua kama anaongopa au laa???....sasa njia ya mwongo ni fupi, juzi kasema rais wa libya ni Saddam, eti ooh hapana Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait...poyoyo kwelikweli....
 
Na mbwa watachinjwa????

Kigoma ni wafugaji hadi wahitaji kiwanda cha nyama??
 
ha!!!!mpaka kiwanda cha nyama ya mbwa au sikusoma vizuri

Daffi;
Ulivyo nenepeana akaona sasa afungue kiwanda cha nyama ya mbwa. Soko ni kuvuka tu ziwa Tanganyika, na kuingia Afrika ya kati tu hapo. Hiyo nyama inauzwa hadharani na bei yake ni kubwa kuliko ya ng'ombe na mbuzi.
Zidumu fikra sahihi za m/kiti wa ccm. Tayari uchumi unaimarika kwa kuingiza fedha za kigeni
 
Politics is lying some extent iyo idadi alioitaja ina maana hao wanyama hawajazaliana mpaka sasa kipindi kile waziri wa mifugo mpaka sasa aaah aache uongo
 
Magufuli anakoroga sana mambo kampeni hii. Basi tu ni kwa vile jamii ya Tanzania ni ya aina yake ulimwenguni hapa
 
Back
Top Bottom