Hawa wagombea wa ccm hasa wanatuchukuliaje wananchi? Ni kwanini wanaropokaropoka hovyo hivi? Ifike mahali kuwepo na sheria ya kuwashtaki endapo hawatatimiza ahadi zao kwani kututia matumaini ni zaidi ya kutupandisha hasira na kutupoteza kwenye malengo ya kusaka mlo wa siku.
Hii ni dharau kubwa sana kwa wananchi kuahidi yasiyowezekana kwa miaka mingine 100. Tuwanyime kura kuwaonyesha kuwa sisi siyo watoto wa kudanganyishiwa pipi.
Usisahau anavyotuchukulia mkapa