Hii ni baadhi ya miguno niliyowahi kukutana nayo

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
8,553
15,573
Wachagga

Odeh kongidochia n'nu, uwiiiii kudokudo tubu sah. Yesu na maria lelo kongidochia n'nu

Warangi

Yoyoyoyo kipatire moto yooyoooyoo kipatire moooto
 
hahaha just for funny

Kuna jamaa mtaa alikua anatembea na magasho sasa kuna siku alikua na gasho moja analikamua lile gasho likawa linalia kwekwe kwekwe kwekwe watu wakasikia zile kelele na kuelewa mchezo wakaanza kumuita Ali Kwekwe basi hadi leo jamaa tunamuita Ali Kwekwe .
 
Mada kama hizi unashangaa zinafika page 300+ ila kule kwenye elimu,International,Uchumi,Historia mada nzuri zinaishia page 4 au 8.
 
Back
Top Bottom