Kuna baadhi ya mambo yananitatiza kuhusu dhana (Imani) ya mbinguni

holy spirit

JF-Expert Member
Nov 30, 2020
700
1,040
Dini nyingi (kama sio zote) duniani zinatueleza kwamba tutapewa zawadi ya maisha mengine baada ya kifo huko mbinguni sehemu ambayo tunaweza kusema kulingana na Imani za kidini ni yenye uzuri uliokamilika kwa asilimia mia pasipo na mapungufu yoyote. Na pia tunapewa ahadi ya miili mipya na kukutanishwa na wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki. Lakini kuna baadhi ya mambo ambayo yananitatiza kuhusu hii dhana ya mbinguni ningependa kuyaleta kwenu.

1. Tuna ndugu zetu na watu wetu wa karibu ambao tunawapenda na tunawatakia mema (wazazi,watoto, marafiki, kaka na dada zetu), nawezaje kuwa na furaha mbinguni kama mimi nilitimiza vigezo vya kuepuka kuchomwa moto huku mtu/watu wangu ninaowapenda na kuwatakia mema hawakutimiza vigezo hivyo kama ilivyoelezwa na vitabu vitakatifu? au nitawasahau tu nikiwa huko?

2. Vipi mtu akiniua halafu akapata nafasi ya kutubu? nendaje kuishi nae mbinguni? au nitafanywa nisahau tu alichonifanyia? au wale wanaobaka na kuua watoto wakitubu wataenda tu mbinguni kukutana na hao watoto na wazazi wao? wataishi vipi maana mbinguni hamna chuki wala uadui?

3. Kuhusu swala la umri

Nikipewa mwili mpya nitakuwa kwenye ule umri niliokufa nao?

Tukiwa mbinguni tunaganda kwenye umri fulani (hauongezeki wala kupungua) ?

Vipi kuhusu watoto waliokufa bado wachanga wataachwa hivyo hivyo?

Vipi kuhusu watoto ambao hawajazaliwa, wanawake hawatakiwi kutoa mimba kwasababu Ile mimba ni mtoto anaeishi. Mama akitoa mimba sidhani kama mtoto ataadhibiwa kwa maamuzi ya mama yake, kama ni hivi mbinguni si patajaa mabaki ya watoto ambao utengenezwaji wao kwenye mwili wa mama yao ulikuwa haujakamalika ("fetuses" kiswahili chake nadhani tunaita "vijusi") au watakuzwa kikamilifu?

Vipi wazee ambao watatamani warudi kwenye umri wa ujana? Watapewa hii nafasi? Maana mzee sidhani kama atahimili mabikra wote 72 inahitaji nguvu ya ujana kidogo

4. Kuna swala pia la kula mbinguni.

Kwa wakristo inaonekana halitahitajika kulingana na Ufunuo 7:16 kwamba njaa wala kiu havitakuwepo. Lakini Marko 14:25 inasema "Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu" pia Luka 24: 42-43 inasema "Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa, naye akakichukua na kukila mbele yao", hapa kwenye samaki ni baada ya kufufuka. Kwa hiyo apa inaonekana yesu aliahidi kunywa divai mbinguni lakini pia alikula samaki akiwa kwenye mwili wake wa ufufuo. Kwa hiyo kulingana na wakristo tunaweza kusema japo sio lazima kula mbinguni ila inawezekana sababu ahadi ya kunywa ipo na ushahidi wa kuweza kula tukiwa kwenye mwili wa ufufuo upo.

Quran Iko wazi kuhusu matunda na nyama kwenye hili andiko

Any fruit that they may choose, And the flesh of fowls that they desire"[56:20-21]

Tatizo langu ni kwamba kama watu wataweza kula hasa nyama au samaki vitatoka wapi? jibu rahisi ni kwamba vitatoka kwenye mazingira yanayokuzunguka tu huko mbinguni. Kwa maana hiyo hawa wanyama walikufa duniani ili waende mbinguni wauliwe tena na kuliwa na wanadamu? Wanyama hawana haki ya kufaidi maisha ya mbinguni? maana hawawezi kufaidi wakiwa na wasiwasi wa kuliwa.


NAOMBA MCHANGO WENU




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Mbinguni ni hadithi za kufikirika

Dini ya Mwarabu inasema mbinguni wanaume watapewa mabikra 72 wawe wanagonga.

Jiulize kila mwanaume ana mabikra 72 hiyo itakuwa mbingu ama danguro ?

Dini hiyo hiyo haijasema mwanamke atapewa mijulubege mingapi huko mbinguni ama na wao miduduz 72 ?
 
Unajiuliza maswali ya mbinguni kwani ya hapa duniani umeyamaliza? Ya duniani ni kujipenda wewe, na kishapo kuwapenda binadamu wenzako kama unavyojipenda mwenyewe, kutenda haki, kusaidia wahitaji na kutunza maliasili pamoja na mazingira.
Ya duniani kwani yanaweza kuisha mkuu? Kama swala la kujipenda, kupenda wengine na mengine uliyotaja najitahidi kadri ya uwezo wangu. Ila sio vibaya kujiuliza maswali yawe kuhusu duniani au mbinguni.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Nasikia huko hakuna kula wala kunywa, watu hawaoi wala kuolewa.

Naskia huko ni mapambio na kusifu

Nasikia huko hakuna kufua wala kuanika maana hakuna uchafu wala jasho

Nasikia huko hakuna magari wala jua watu ni kupaa tu

Nasikia pia huko hakuna kufa ni kuishi milele yaan milele

Nasikia pia huko hakuna mkubwa Wala mdogo pia huhisi uchungu wala kuchoka achilia mbali kuumwa

Pia nasikia huko hakuna kujihami wala kubeba silaha yeyote ile

Nasikia huko
 
Nasikia huko hakuna kula wala kunywa, watu hawaoi wala kuolewa.

Naskia huko ni mapambio na kusifu

Nasikia huko hakuna kufua wala kuanika maana hakuna uchafu wala jasho

Nasikia huko hakuna magari wala jua watu ni kupaa tu

Nasikia pia huko hakuna kufa ni kuishi milele yaan milele

Nasikia pia huko hakuna mkubwa Wala mdogo pia huhisi uchungu wala kuchoka achilia mbali kuumwa

Pia nasikia huko hakuna kujihami wala kubeba silaha yeyote ile

Nasikia huko
Ni mwendo wa kusikia. Kama sio vibaya mkuu naomba kuongeza nasikia huko ni kufurahi tu muda wote hakuna masikitiko

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Nitajibu kwa uchache
1. Imeandikwa kila mtu atalipwa kwa matendo yake. Hivyo hao huko mbinguni hawatakuwa tena ndugu zako. Ndugu zako watakuwa wale watakatifu mtakao kuwanao kwenye utukufu wa Mungu.

2. Uovu na visasi hubaki hapa hapa duniani hivyo mbinguni mtaishi kama watakatifu ambao hamkuwahi kufanyiana baya lolote.

3. Ukifa umri wako ubaki hivyo hivyo mbinguni. Rudi kwenye maandiko baada ya Yesu kufa baada ya kufufuka amekuwa akiwatokea watu katika ujana wake ule ule aliokufa nao. Hivyo kama utakufa ukiwa mzee, utamtukuza Mungu hivyo katika uzee wako likewise ukifa ukiwa kijana utabaki hivyo hivyo mbinguni.

4. Kuhusu chakula soma Yohana 6:35
Yesu ndiye chakula cha uzima. Mbinguni ziendezo huko ni roho, swali linakuja chakula cha roho ni nini?
Umeshawi kusikia juu ya ajari nyingi hapa duniani hutokea ili damu ikusanywe na kupelekwa kuzimu? (Kwa sababu gani) ulishasikia kuhusu kafara? zote zinahusisha umwagaji damu ya binadamu au kiumbe kilichokusudiwa! (Unadhani ni kwa sababu gani) hapo lipo fumbo.
Chakula ni kiungo muhimu katika falme za Nuru na giza, na ndo maana Yesu akatualika akisema aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu yeye hataona njaa kamwe milele. Amina.
 
T
Dini nyingi (kama sio zote) duniani zinatueleza kwamba tutapewa zawadi ya maisha mengine baada ya kifo huko mbinguni sehemu ambayo tunaweza kusema kulingana na Imani za kidini ni yenye uzuri uliokamilika kwa asilimia mia pasipo na mapungufu yoyote. Na pia tunapewa ahadi ya miili mipya na kukutanishwa na wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki. Lakini kuna baadhi ya mambo ambayo yananitatiza kuhusu hii dhana ya mbinguni ningependa kuyaleta kwenu.

1. Tuna ndugu zetu na watu wetu wa karibu ambao tunawapenda na tunawatakia mema (wazazi,watoto, marafiki, kaka na dada zetu), nawezaje kuwa na furaha mbinguni kama mimi nilitimiza vigezo vya kuepuka kuchomwa moto huku mtu/watu wangu ninaowapenda na kuwatakia mema hawakutimiza vigezo hivyo kama ilivyoelezwa na vitabu vitakatifu? au nitawasahau tu nikiwa huko?

2. Vipi mtu akiniua halafu akapata nafasi ya kutubu? nendaje kuishi nae mbinguni? au nitafanywa nisahau tu alichonifanyia? au wale wanaobaka na kuua watoto wakitubu wataenda tu mbinguni kukutana na hao watoto na wazazi wao? wataishi vipi maana mbinguni hamna chuki wala uadui?

3. Kuhusu swala la umri

Nikipewa mwili mpya nitakuwa kwenye ule umri niliokufa nao?

Tukiwa mbinguni tunaganda kwenye umri fulani (hauongezeki wala kupungua) ?

Vipi kuhusu watoto waliokufa bado wachanga wataachwa hivyo hivyo?

Vipi kuhusu watoto ambao hawajazaliwa, wanawake hawatakiwi kutoa mimba kwasababu Ile mimba ni mtoto anaeishi. Mama akitoa mimba sidhani kama mtoto ataadhibiwa kwa maamuzi ya mama yake, kama ni hivi mbinguni si patajaa mabaki ya watoto ambao utengenezwaji wao kwenye mwili wa mama yao ulikuwa haujakamalika ("fetuses" kiswahili chake nadhani tunaita "vijusi") au watakuzwa kikamilifu?

Vipi wazee ambao watatamani warudi kwenye umri wa ujana? Watapewa hii nafasi? Maana mzee sidhani kama atahimili mabikra wote 72 inahitaji nguvu ya ujana kidogo

4. Kuna swala pia la kula mbinguni.

Kwa wakristo inaonekana halitahitajika kulingana na Ufunuo 7:16 kwamba njaa wala kiu havitakuwepo. Lakini Marko 14:25 inasema "Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu" pia Luka 24: 42-43 inasema "Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa, naye akakichukua na kukila mbele yao", hapa kwenye samaki ni baada ya kufufuka. Kwa hiyo apa inaonekana yesu aliahidi kunywa divai mbinguni lakini pia alikula samaki akiwa kwenye mwili wake wa ufufuo. Kwa hiyo kulingana na wakristo tunaweza kusema japo sio lazima kula mbinguni ila inawezekana sababu ahadi ya kunywa ipo na ushahidi wa kuweza kula tukiwa kwenye mwili wa ufufuo upo.

Quran Iko wazi kuhusu matunda na nyama kwenye hili andiko

Any fruit that they may choose, And the flesh of fowls that they desire"[56:20-21]

Tatizo langu ni kwamba kama watu wataweza kula hasa nyama au samaki vitatoka wapi? jibu rahisi ni kwamba vitatoka kwenye mazingira yanayokuzunguka tu huko mbinguni. Kwa maana hiyo hawa wanyama walikufa duniani ili waende mbinguni wauliwe tena na kuliwa na wanadamu? Wanyama hawana haki ya kufaidi maisha ya mbinguni? maana hawawezi kufaidi wakiwa na wasiwasi wa kuliwa.


NAOMBA MCHANGO WENU




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
THere is no God.

Hakuna kitu kama mbinguni.
 
Nitajibu kwa uchache
1. Imeandikwa kila mtu atalipwa kwa matendo yake. Hivyo hao huko mbinguni hawatakuwa tena ndugu zako. Ndugu zako watakuwa wale watakatifu mtakao kuwanao kwenye utukufu wa Mungu.

2. Uovu na visasi hubaki hapa hapa duniani hivyo mbinguni mtaishi kama watakatifu ambao hamkuwahi kufanyiana baya lolote.

3. Ukifa umri wako ubaki hivyo hivyo mbinguni. Rudi kwenye maandiko baada ya Yesu kufa baada ya kufufuka amekuwa akiwatokea watu katika ujana wake ule ule aliokufa nao. Hivyo kama utakufa ukiwa mzee, utamtukuza Mungu hivyo katika uzee wako likewise ukifa ukiwa kijana utabaki hivyo hivyo mbinguni.

4. Kuhusu chakula soma Yohana 6:35
Yesu ndiye chakula cha uzima. Mbinguni ziendezo huko ni roho, swali linakuja chakula cha roho ni nini?
Umeshawi kusikia juu ya ajari nyingi hapa duniani hutokea ili damu ikusanywe na kupelekwa kuzimu? (Kwa sababu gani) ulishasikia kuhusu kafara? zote zinahusisha umwagaji damu ya binadamu au kiumbe kilichokusudiwa! (Unadhani ni kwa sababu gani) hapo lipo fumbo.
Chakula ni kiungo muhimu katika falme za Nuru na giza, na ndo maana Yesu akatualika akisema aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu yeye hataona njaa kamwe milele. Amina.
1. Kuna sehemu ya swali umeacha bado nitawakumbuka kuwa huyu ni mama yangu alienizaa, baba au kaka? Kama nitawakumbuka Ile hali ya kuwapenda itanitoka tu Ili nisijisikie vibaya wanachomwa?. Sababu kiuhalisia ndugu wa damu wa uzito kuliko ndugu wa imani.

2. Maana yake tutasahaulishwa mabaya tuliofanyiana maana kama tunayakumbuka uadui na chuki hautaisha. Yani sitamjua kama huyu ndio aliniua au aliua mtoto wangu

3. Hujagusa watoto wachanga na wale ambao hawajazaliwa mimba zao zikatolewa wao itakuwaje

4. Sasa vipi yesu kula samaki aliyeokwa akiwa kwenye mwili wake wa ufufuo? chakula cha kawaida kama hichi cha duniani mbinguni hakuna? Kama no. 3 umetumia mfano wa yesu kuwatokea watu kwenye mwili wa ujana na hapa tunaweza kuutumia huo mfano wa kula samaki akiwa kwenye mwili wa ufufuo kama ushahidi chakula cha kawaida kutumika mbinguni na sio chakula cha kiroho tu. Yesu alimaanisha nini kuhusu kunywa divai ya zabibu kwenye ufalme wa mungu? sababu maelezo yako yanaonyesha chakula kilichopo huko ni cha roho

Kuhusu mfano wako ajali za kafara

Kuna dereva kukosa umakini
Ubovu wa chombo cha usafiri
Hali ya hewa
Dereva kutokuwa na ujuzi
Barabara mbovu

Unahitaji kutuhakikishia kwamba sababu kama hizi hazihusiki kwenye ajali sababu ni hiyo tu ya kafara. Kifupi utupe ushahidi kwamba hiyo ajali ni kafara imeletwa na nguvu ambayo hatuwezi kuiona kwenye ulimwengu wa mwili


Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Nitajibu kwa uchache
1. Imeandikwa kila mtu atalipwa kwa matendo yake. Hivyo hao huko mbinguni hawatakuwa tena ndugu zako. Ndugu zako watakuwa wale watakatifu mtakao kuwanao kwenye utukufu wa Mungu.

2. Uovu na visasi hubaki hapa hapa duniani hivyo mbinguni mtaishi kama watakatifu ambao hamkuwahi kufanyiana baya lolote.

3. Ukifa umri wako ubaki hivyo hivyo mbinguni. Rudi kwenye maandiko baada ya Yesu kufa baada ya kufufuka amekuwa akiwatokea watu katika ujana wake ule ule aliokufa nao. Hivyo kama utakufa ukiwa mzee, utamtukuza Mungu hivyo katika uzee wako likewise ukifa ukiwa kijana utabaki hivyo hivyo mbinguni.

4. Kuhusu chakula soma Yohana 6:35
Yesu ndiye chakula cha uzima. Mbinguni ziendezo huko ni roho, swali linakuja chakula cha roho ni nini?
Umeshawi kusikia juu ya ajari nyingi hapa duniani hutokea ili damu ikusanywe na kupelekwa kuzimu? (Kwa sababu gani) ulishasikia kuhusu kafara? zote zinahusisha umwagaji damu ya binadamu au kiumbe kilichokusudiwa! (Unadhani ni kwa sababu gani) hapo lipo fumbo.
Chakula ni kiungo muhimu katika falme za Nuru na giza, na ndo maana Yesu akatualika akisema aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu yeye hataona njaa kamwe milele. Amina.

Point namba nne umejibu kisiasa sana,yesu alilala kaburini siku 3 ,hivyo hakuna badiliko la mwili kiumri.
 
Dini nyingi (kama sio zote) duniani zinatueleza kwamba tutapewa zawadi ya maisha mengine baada ya kifo huko mbinguni sehemu ambayo tunaweza kusema kulingana na Imani za kidini ni yenye uzuri uliokamilika kwa asilimia mia pasipo na mapungufu yoyote. Na pia tunapewa ahadi ya miili mipya na kukutanishwa na wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki. Lakini kuna baadhi ya mambo ambayo yananitatiza kuhusu hii dhana ya mbinguni ningependa kuyaleta kwenu.

1. Tuna ndugu zetu na watu wetu wa karibu ambao tunawapenda na tunawatakia mema (wazazi,watoto, marafiki, kaka na dada zetu), nawezaje kuwa na furaha mbinguni kama mimi nilitimiza vigezo vya kuepuka kuchomwa moto huku mtu/watu wangu ninaowapenda na kuwatakia mema hawakutimiza vigezo hivyo kama ilivyoelezwa na vitabu vitakatifu? au nitawasahau tu nikiwa huko?

2. Vipi mtu akiniua halafu akapata nafasi ya kutubu? nendaje kuishi nae mbinguni? au nitafanywa nisahau tu alichonifanyia? au wale wanaobaka na kuua watoto wakitubu wataenda tu mbinguni kukutana na hao watoto na wazazi wao? wataishi vipi maana mbinguni hamna chuki wala uadui?

3. Kuhusu swala la umri

Nikipewa mwili mpya nitakuwa kwenye ule umri niliokufa nao?

Tukiwa mbinguni tunaganda kwenye umri fulani (hauongezeki wala kupungua) ?

Vipi kuhusu watoto waliokufa bado wachanga wataachwa hivyo hivyo?

Vipi kuhusu watoto ambao hawajazaliwa, wanawake hawatakiwi kutoa mimba kwasababu Ile mimba ni mtoto anaeishi. Mama akitoa mimba sidhani kama mtoto ataadhibiwa kwa maamuzi ya mama yake, kama ni hivi mbinguni si patajaa mabaki ya watoto ambao utengenezwaji wao kwenye mwili wa mama yao ulikuwa haujakamalika ("fetuses" kiswahili chake nadhani tunaita "vijusi") au watakuzwa kikamilifu?

Vipi wazee ambao watatamani warudi kwenye umri wa ujana? Watapewa hii nafasi? Maana mzee sidhani kama atahimili mabikra wote 72 inahitaji nguvu ya ujana kidogo

4. Kuna swala pia la kula mbinguni.

Kwa wakristo inaonekana halitahitajika kulingana na Ufunuo 7:16 kwamba njaa wala kiu havitakuwepo. Lakini Marko 14:25 inasema "Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu" pia Luka 24: 42-43 inasema "Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa, naye akakichukua na kukila mbele yao", hapa kwenye samaki ni baada ya kufufuka. Kwa hiyo apa inaonekana yesu aliahidi kunywa divai mbinguni lakini pia alikula samaki akiwa kwenye mwili wake wa ufufuo. Kwa hiyo kulingana na wakristo tunaweza kusema japo sio lazima kula mbinguni ila inawezekana sababu ahadi ya kunywa ipo na ushahidi wa kuweza kula tukiwa kwenye mwili wa ufufuo upo.

Quran Iko wazi kuhusu matunda na nyama kwenye hili andiko

Any fruit that they may choose, And the flesh of fowls that they desire"[56:20-21]

Tatizo langu ni kwamba kama watu wataweza kula hasa nyama au samaki vitatoka wapi? jibu rahisi ni kwamba vitatoka kwenye mazingira yanayokuzunguka tu huko mbinguni. Kwa maana hiyo hawa wanyama walikufa duniani ili waende mbinguni wauliwe tena na kuliwa na wanadamu? Wanyama hawana haki ya kufaidi maisha ya mbinguni? maana hawawezi kufaidi wakiwa na wasiwasi wa kuliwa.


NAOMBA MCHANGO WENU




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
UKIAZA KUJIULIZA MASWALI KAMA HAYA UJUE KWAMBA:-

1. Umri umekutupa mkono, au
2. Maisha yamekupiga/huna Hela
 
UKIAZA KUJIULIZA MASWALI KAMA HAYA UJUE KWAMBA:-

1. Umri umekutupa mkono, au
2. Maisha yamekupiga/huna Hela
Umri wangu haujaenda sana. Kuhusu maisha sio tajiri ila najitosheleza kiuchumi. Nimeuliza kwasababu nilikuwa sio mfatiliaji wa mambo ya Imani ila kwa miaka miwili iliopita nimepata interest kubwa ya kufatilia haya mambo na nimejikuta najiuliza maswali mengi mno.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Dini nyingi (kama sio zote) duniani zinatueleza kwamba tutapewa zawadi ya maisha mengine baada ya kifo huko mbinguni sehemu ambayo tunaweza kusema kulingana na Imani za kidini ni yenye uzuri uliokamilika kwa asilimia mia pasipo na mapungufu yoyote. Na pia tunapewa ahadi ya miili mipya na kukutanishwa na wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki. Lakini kuna baadhi ya mambo ambayo yananitatiza kuhusu hii dhana ya mbinguni ningependa kuyaleta kwenu.

1. Tuna ndugu zetu na watu wetu wa karibu ambao tunawapenda na tunawatakia mema (wazazi,watoto, marafiki, kaka na dada zetu), nawezaje kuwa na furaha mbinguni kama mimi nilitimiza vigezo vya kuepuka kuchomwa moto huku mtu/watu wangu ninaowapenda na kuwatakia mema hawakutimiza vigezo hivyo kama ilivyoelezwa na vitabu vitakatifu? au nitawasahau tu nikiwa huko?

2. Vipi mtu akiniua halafu akapata nafasi ya kutubu? nendaje kuishi nae mbinguni? au nitafanywa nisahau tu alichonifanyia? au wale wanaobaka na kuua watoto wakitubu wataenda tu mbinguni kukutana na hao watoto na wazazi wao? wataishi vipi maana mbinguni hamna chuki wala uadui?

3. Kuhusu swala la umri

Nikipewa mwili mpya nitakuwa kwenye ule umri niliokufa nao?

Tukiwa mbinguni tunaganda kwenye umri fulani (hauongezeki wala kupungua) ?

Vipi kuhusu watoto waliokufa bado wachanga wataachwa hivyo hivyo?

Vipi kuhusu watoto ambao hawajazaliwa, wanawake hawatakiwi kutoa mimba kwasababu Ile mimba ni mtoto anaeishi. Mama akitoa mimba sidhani kama mtoto ataadhibiwa kwa maamuzi ya mama yake, kama ni hivi mbinguni si patajaa mabaki ya watoto ambao utengenezwaji wao kwenye mwili wa mama yao ulikuwa haujakamalika ("fetuses" kiswahili chake nadhani tunaita "vijusi") au watakuzwa kikamilifu?

Vipi wazee ambao watatamani warudi kwenye umri wa ujana? Watapewa hii nafasi? Maana mzee sidhani kama atahimili mabikra wote 72 inahitaji nguvu ya ujana kidogo

4. Kuna swala pia la kula mbinguni.

Kwa wakristo inaonekana halitahitajika kulingana na Ufunuo 7:16 kwamba njaa wala kiu havitakuwepo. Lakini Marko 14:25 inasema "Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu" pia Luka 24: 42-43 inasema "Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa, naye akakichukua na kukila mbele yao", hapa kwenye samaki ni baada ya kufufuka. Kwa hiyo apa inaonekana yesu aliahidi kunywa divai mbinguni lakini pia alikula samaki akiwa kwenye mwili wake wa ufufuo. Kwa hiyo kulingana na wakristo tunaweza kusema japo sio lazima kula mbinguni ila inawezekana sababu ahadi ya kunywa ipo na ushahidi wa kuweza kula tukiwa kwenye mwili wa ufufuo upo.

Quran Iko wazi kuhusu matunda na nyama kwenye hili andiko

Any fruit that they may choose, And the flesh of fowls that they desire"[56:20-21]

Tatizo langu ni kwamba kama watu wataweza kula hasa nyama au samaki vitatoka wapi? jibu rahisi ni kwamba vitatoka kwenye mazingira yanayokuzunguka tu huko mbinguni. Kwa maana hiyo hawa wanyama walikufa duniani ili waende mbinguni wauliwe tena na kuliwa na wanadamu? Wanyama hawana haki ya kufaidi maisha ya mbinguni? maana hawawezi kufaidi wakiwa na wasiwasi wa kuliwa.


NAOMBA MCHANGO WENU




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Namba moja. Ukifika malango ya Mbinguni, kwanza unasahau Kila kitu inavosemekana, yaani unakuwa kama raia wa Mbinguni.
 
Dini nyingi (kama sio zote) duniani zinatueleza kwamba tutapewa zawadi ya maisha mengine baada ya kifo huko mbinguni sehemu ambayo tunaweza kusema kulingana na Imani za kidini ni yenye uzuri uliokamilika kwa asilimia mia pasipo na mapungufu yoyote. Na pia tunapewa ahadi ya miili mipya na kukutanishwa na wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki. Lakini kuna baadhi ya mambo ambayo yananitatiza kuhusu hii dhana ya mbinguni ningependa kuyaleta kwenu.

1. Tuna ndugu zetu na watu wetu wa karibu ambao tunawapenda na tunawatakia mema (wazazi,watoto, marafiki, kaka na dada zetu), nawezaje kuwa na furaha mbinguni kama mimi nilitimiza vigezo vya kuepuka kuchomwa moto huku mtu/watu wangu ninaowapenda na kuwatakia mema hawakutimiza vigezo hivyo kama ilivyoelezwa na vitabu vitakatifu? au nitawasahau tu nikiwa huko?

2. Vipi mtu akiniua halafu akapata nafasi ya kutubu? nendaje kuishi nae mbinguni? au nitafanywa nisahau tu alichonifanyia? au wale wanaobaka na kuua watoto wakitubu wataenda tu mbinguni kukutana na hao watoto na wazazi wao? wataishi vipi maana mbinguni hamna chuki wala uadui?

3. Kuhusu swala la umri

Nikipewa mwili mpya nitakuwa kwenye ule umri niliokufa nao?

Tukiwa mbinguni tunaganda kwenye umri fulani (hauongezeki wala kupungua) ?

Vipi kuhusu watoto waliokufa bado wachanga wataachwa hivyo hivyo?

Vipi kuhusu watoto ambao hawajazaliwa, wanawake hawatakiwi kutoa mimba kwasababu Ile mimba ni mtoto anaeishi. Mama akitoa mimba sidhani kama mtoto ataadhibiwa kwa maamuzi ya mama yake, kama ni hivi mbinguni si patajaa mabaki ya watoto ambao utengenezwaji wao kwenye mwili wa mama yao ulikuwa haujakamalika ("fetuses" kiswahili chake nadhani tunaita "vijusi") au watakuzwa kikamilifu?

Vipi wazee ambao watatamani warudi kwenye umri wa ujana? Watapewa hii nafasi? Maana mzee sidhani kama atahimili mabikra wote 72 inahitaji nguvu ya ujana kidogo

4. Kuna swala pia la kula mbinguni.

Kwa wakristo inaonekana halitahitajika kulingana na Ufunuo 7:16 kwamba njaa wala kiu havitakuwepo. Lakini Marko 14:25 inasema "Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu" pia Luka 24: 42-43 inasema "Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa, naye akakichukua na kukila mbele yao", hapa kwenye samaki ni baada ya kufufuka. Kwa hiyo apa inaonekana yesu aliahidi kunywa divai mbinguni lakini pia alikula samaki akiwa kwenye mwili wake wa ufufuo. Kwa hiyo kulingana na wakristo tunaweza kusema japo sio lazima kula mbinguni ila inawezekana sababu ahadi ya kunywa ipo na ushahidi wa kuweza kula tukiwa kwenye mwili wa ufufuo upo.

Quran Iko wazi kuhusu matunda na nyama kwenye hili andiko

Any fruit that they may choose, And the flesh of fowls that they desire"[56:20-21]

Tatizo langu ni kwamba kama watu wataweza kula hasa nyama au samaki vitatoka wapi? jibu rahisi ni kwamba vitatoka kwenye mazingira yanayokuzunguka tu huko mbinguni. Kwa maana hiyo hawa wanyama walikufa duniani ili waende mbinguni wauliwe tena na kuliwa na wanadamu? Wanyama hawana haki ya kufaidi maisha ya mbinguni? maana hawawezi kufaidi wakiwa na wasiwasi wa kuliwa.


NAOMBA MCHANGO WENU




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Alafu KWANINI unajiita "holy spirit" au huoni imekaa kikufuru?
 
Dini nyingi (kama sio zote) duniani zinatueleza kwamba tutapewa zawadi ya maisha mengine baada ya kifo huko mbinguni sehemu ambayo tunaweza kusema kulingana na Imani za kidini ni yenye uzuri uliokamilika kwa asilimia mia pasipo na mapungufu yoyote. Na pia tunapewa ahadi ya miili mipya na kukutanishwa na wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki. Lakini kuna baadhi ya mambo ambayo yananitatiza kuhusu hii dhana ya mbinguni ningependa kuyaleta kwenu.

1. Tuna ndugu zetu na watu wetu wa karibu ambao tunawapenda na tunawatakia mema (wazazi,watoto, marafiki, kaka na dada zetu), nawezaje kuwa na furaha mbinguni kama mimi nilitimiza vigezo vya kuepuka kuchomwa moto huku mtu/watu wangu ninaowapenda na kuwatakia mema hawakutimiza vigezo hivyo kama ilivyoelezwa na vitabu vitakatifu? au nitawasahau tu nikiwa huko?

2. Vipi mtu akiniua halafu akapata nafasi ya kutubu? nendaje kuishi nae mbinguni? au nitafanywa nisahau tu alichonifanyia? au wale wanaobaka na kuua watoto wakitubu wataenda tu mbinguni kukutana na hao watoto na wazazi wao? wataishi vipi maana mbinguni hamna chuki wala uadui?

3. Kuhusu swala la umri

Nikipewa mwili mpya nitakuwa kwenye ule umri niliokufa nao?

Tukiwa mbinguni tunaganda kwenye umri fulani (hauongezeki wala kupungua) ?

Vipi kuhusu watoto waliokufa bado wachanga wataachwa hivyo hivyo?

Vipi kuhusu watoto ambao hawajazaliwa, wanawake hawatakiwi kutoa mimba kwasababu Ile mimba ni mtoto anaeishi. Mama akitoa mimba sidhani kama mtoto ataadhibiwa kwa maamuzi ya mama yake, kama ni hivi mbinguni si patajaa mabaki ya watoto ambao utengenezwaji wao kwenye mwili wa mama yao ulikuwa haujakamalika ("fetuses" kiswahili chake nadhani tunaita "vijusi") au watakuzwa kikamilifu?

Vipi wazee ambao watatamani warudi kwenye umri wa ujana? Watapewa hii nafasi? Maana mzee sidhani kama atahimili mabikra wote 72 inahitaji nguvu ya ujana kidogo

4. Kuna swala pia la kula mbinguni.

Kwa wakristo inaonekana halitahitajika kulingana na Ufunuo 7:16 kwamba njaa wala kiu havitakuwepo. Lakini Marko 14:25 inasema "Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu" pia Luka 24: 42-43 inasema "Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa, naye akakichukua na kukila mbele yao", hapa kwenye samaki ni baada ya kufufuka. Kwa hiyo apa inaonekana yesu aliahidi kunywa divai mbinguni lakini pia alikula samaki akiwa kwenye mwili wake wa ufufuo. Kwa hiyo kulingana na wakristo tunaweza kusema japo sio lazima kula mbinguni ila inawezekana sababu ahadi ya kunywa ipo na ushahidi wa kuweza kula tukiwa kwenye mwili wa ufufuo upo.

Quran Iko wazi kuhusu matunda na nyama kwenye hili andiko

Any fruit that they may choose, And the flesh of fowls that they desire"[56:20-21]

Tatizo langu ni kwamba kama watu wataweza kula hasa nyama au samaki vitatoka wapi? jibu rahisi ni kwamba vitatoka kwenye mazingira yanayokuzunguka tu huko mbinguni. Kwa maana hiyo hawa wanyama walikufa duniani ili waende mbinguni wauliwe tena na kuliwa na wanadamu? Wanyama hawana haki ya kufaidi maisha ya mbinguni? maana hawawezi kufaidi wakiwa na wasiwasi wa kuliwa.


NAOMBA MCHANGO WENU




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
tobaaaa kwaiyo peponi kuna mishikaki mmmhhh mm ntawahi ya kuku
 
Back
Top Bottom