Hii ni ajali subaru

Hii ni ajali subaru

Huyo mwenzie yeye alikua nyuma huyo wa mbele hatamaniki kunazo picha zinaonesha upande wa mbele wa hiyo subaru ilikuwa nyakanyaka
Check [emoji3593]
Screenshot_20200910-120846.jpg
Screenshot_20200910-120903.jpg
 
Habari,

Mada iliondolewa sababu uliweka 'kiambatanisho' ambacho hakifunguki, nadhani ulikipakia vibaya. Pia kulikuwa na upotoshaji kiasi fulani kwa wachangiaji kwamba kijana aliyeonekana kwenye picha na gari kabla ya ajali kuwa ndiye alikuwa dereva jambo ambalo siyo kweli na kupelekea ndugu zake kulalamika.
 
Habari,

Mada iliondolewa sababu uliweka 'kiambatanisho' ambacho hakifunguki, nadhani ulikipakia vibaya. Pia kulikuwa na upotoshaji kiasi fulani kwa wachangiaji kwamba kijana aliyeonekana kwenye picha na gari kabla ya ajali kuwa ndiye alikuwa dereva jambo ambalo siyo kweli na kupelekea ndugu zake kulalamika.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Hii ni jana Geita
Nilifika muda mchache baada ya tukio

Kwa kifupi hakuna aliyestuka na hiyo ajali, kwa Geita mjini hakuna asiyemjua huyo jamaa!

Hana speed ya kistaarabu hata kidogo sadly aliyefariki ni mshikaji wake jamaa mwenye rafu yuko majeruhi!
Indeed...ajali imetokea watu wanaambiana ni ile Subaru ya blue inayo kimbiaga
 
Back
Top Bottom