Hii ni ajali subaru

Hii ni ajali subaru

Tahadhari:
Mwendokasi unaua
Mwendokasi unafisha ndoto nyingi
Mwendokasi unaleta majonzi
Mwendokasi unahujumu uchumi
Tazama video na picha


Video
View attachment 1564447
Kuna nini kilichojificha kwenye upigaji wa hizi picha, naona mara nyingi vijana wakipiga picha wamesimama mbele ya magari yao, muda si mrefu utasikia amepata ajali mbaya sana na gari husika halitamaniki.

Nimempoteza mdogo wangu kwa style kama hiyo.
 
Chanzo ni kitu gani? Tairi ili bust ama kutoka na ku loose control? Alikuwa anakwepa kitu/mtu ikapinduka ama kitu gani?

Watu wanapiga 180 na hawapati ajali, kwaio huenda labda kuna hitilafu imetokea na kusababisha hio kitu.
 
Kuna nini kilichojificha kwenye upigaji wa hizi picha, naona mara nyingi vijana wakipiga picha wamesimama mbele ya magari yao, muda si mrefu utasikia amepata ajali mbaya sana na gari husika halitamaniki.

Nimempoteza mdogo wangu kwa style kama hiyo.
Kuna yule wa Dar na crown lake jeusi
 
Chanzo ni kitu gani? Tairi ili bust ama kutoka na ku loose control? Alikuwa anakwepa kitu/mtu ikapinduka ama kitu gani?

Watu wanapiga 180 na hawapati ajali, kwaio huenda labda kuna hitilafu imetokea na kusababisha hio kitu.
All in all over speeding kills
 
Nadhani hatorudia tena kukumbiza gari baada ya hiyo ajali.
I guarantee you that.
RIP nigga.
 
Wanasemaga ipo stable,,,Toyota nyepesi na blaah blaah 😂😂😂 limewakuta jambo, ajali haina cha bmw,toyota, subaru ndio maana ikasemwa haina kinga

Nionyeshe ajari ya hii machine ambayo imeua kingese kama mjap anavyo nyonga nyonga 😃😃😃😃
014dd67b1c69499ff955c4c167d4b016.jpg
 
Madereva wa hizo machine ni maridadi
Kabla ya kukimbiza gari na ma speed zaidi ya 170.. angalia kwanza uwezo wa ki usalama wa gari husika katika kuhakikisha abilia wapo au abiria yupo salama ( ndio maana kuna testing aina mbali kabla ya gari kuingizwa sokoni ) ikiwamo na techonology ya hali ya juu katika kumlinda abilia awamo ndani ya gari inapotokea gari ime crush, imepamiwa , imejitupa n.k.. hawa vijana wao wanachomoka tu gari enyewe ina airbug 2 sijui 4 .. kwanini usipate unachotaka 😃😃😃
 
Back
Top Bottom