Hii ni ajali subaru

Hii ni ajali subaru

Sasa kwanini haya magari wanayapa uwezo huo ? Yaani 180kph au zaidi. Kuna tatizo zaidi ya speed.
Teknolojia ya protection ya hizo gari ni ya kitambo. Na watumiaji wa hizo gari hawataki kuzijua na matokeo yake wanajisahahu kuwa usalama uliopo kwenye RR upo juu sana kulinganisha na hizo subaru.. na utaona ujinga wao kuna nyakati wanataka kuvimbiana na wenye hizo gari wawapo road
 
Teknolojia ya protection ya hizo gari ni ya kitambo. Na watumiaji wa hizo gari hawataki kuzijua na matokeo yake wanajisahahu kuwa usalama uliopo kwenye RR upo juu sana kulinganisha na hizo subaru.. na utaona ujinga wao kuna nyakati wanataka kuvimbiana na wenye hizo gari wawapo road
Hizi Subaru pia wanaziongezea nguvu na kuondoa speed limit ya kiwandani.
 
Hizi Subaru pia wanaziongezea nguvu na kuondoa speed limit ya kiwandani.
Inatoka na mafundi wengi wa mechanics kufanya mambo kienyeji , pasipo kutoa ushauri wa kitaalamu na athari ambazo sinaweza jitokeza pindi unapo fanya advancement ya hizo machine kinyume na uwezo harisi wa chombo husika . Kama wamiliki wangekuwa wanapata ushauri wa kitaalamu kuna asilimia flani ya kupunguza haya majanga
 
Sasa kwanini haya magari wanayapa uwezo huo ? Yaani 180kph au zaidi. Kuna tatizo zaidi ya speed.
Mjep kwenye ishu ya usalama sio makini sana....ninapoendesha TOYOTA naogopa mno kuzidi speed 100
 
Back
Top Bottom