marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 968
- 1,694
Hii nyimbo mpya ya Alikiba ni Diss track ?...
Kwa maana rahisi ya kamusi Mediocre ni 'ya kawaida' 'wakaida' 'wa wastani' yani hujafika kwenye good ila ishatoka kwenye bad yani unajitahidi.
Nani sasa anaijitahidi au wa kawaida kwa kiba?.
Ukiskiliza mashairi ya nyimbo ya alikiba(mediocre) ni dhahili shahiri kuna mtu anamdis,
Tumezoea diss track kutoka kwa wasanii wa HIP HOP, tuu hawa kubana pua na R&B hua hawanaga hata mambo.
Wana hip hop kama kina TI ,50 CENT na 2 PAC washafanya sana vitu kama hivi
Hapa Africa wasanii wa kubwa kama CasperNiovest kashatoa mpaka Diss Album ya kumdiss AKA yani Album ni ngoma 12 anachnwa mtu mmoja
humo ukiskiliza verse tuu utajua ni AKA anadisiwa.
Hii ya alikiba ni kuna mtu ana mdiss ila anamuogopa !
Mana anazunguka Unguka wazungu wanasema 'snick around the bush'
Yani anazunguka bila point
Kwanini? ...Diss track hua ziko direct na Mara nyingine hua wataja hadi majina kwenye track ,
Ulimskiliza eminem kwenye ngoma 'THE WARNING'? huumizi kichwa kichwa kujua kama ni Marian Kerry ndio anachanwa humo ndani au kwenye 'NAILS IN COFFIN' ni simple na majina anataja na kama asipo taka basi anachoongea anakua direct.
Kwa kifupi kinacho tofautisha taarabu na Diss track ni namna ya uwasilishaji wa ujumbe
Diss iko moja kwa moja na inaeleweka ila Taarabu ni unazunguuka Mara nyingine hata anae lengwa anaweza asijue kama analengwa.
Kwa hii Ngoma alio toa Kiba tunaiweka wapi kwa Diss track au taarab.?
Majibu inayo!
#mediocre
Kwa maana rahisi ya kamusi Mediocre ni 'ya kawaida' 'wakaida' 'wa wastani' yani hujafika kwenye good ila ishatoka kwenye bad yani unajitahidi.
Nani sasa anaijitahidi au wa kawaida kwa kiba?.
Ukiskiliza mashairi ya nyimbo ya alikiba(mediocre) ni dhahili shahiri kuna mtu anamdis,
Tumezoea diss track kutoka kwa wasanii wa HIP HOP, tuu hawa kubana pua na R&B hua hawanaga hata mambo.
Wana hip hop kama kina TI ,50 CENT na 2 PAC washafanya sana vitu kama hivi
Hapa Africa wasanii wa kubwa kama CasperNiovest kashatoa mpaka Diss Album ya kumdiss AKA yani Album ni ngoma 12 anachnwa mtu mmoja
humo ukiskiliza verse tuu utajua ni AKA anadisiwa.
Hii ya alikiba ni kuna mtu ana mdiss ila anamuogopa !
Mana anazunguka Unguka wazungu wanasema 'snick around the bush'
Yani anazunguka bila point
Kwanini? ...Diss track hua ziko direct na Mara nyingine hua wataja hadi majina kwenye track ,
Ulimskiliza eminem kwenye ngoma 'THE WARNING'? huumizi kichwa kichwa kujua kama ni Marian Kerry ndio anachanwa humo ndani au kwenye 'NAILS IN COFFIN' ni simple na majina anataja na kama asipo taka basi anachoongea anakua direct.
Kwa kifupi kinacho tofautisha taarabu na Diss track ni namna ya uwasilishaji wa ujumbe
Diss iko moja kwa moja na inaeleweka ila Taarabu ni unazunguuka Mara nyingine hata anae lengwa anaweza asijue kama analengwa.
Kwa hii Ngoma alio toa Kiba tunaiweka wapi kwa Diss track au taarab.?
Majibu inayo!
#mediocre