Hii ndo Zaburi ya 35 aliyotwambia tusome Halima Mdee

Yaani hizi siku 2 tu baada ya kuhamia huko kwa MATAGA tayari Halima ameshakua rafiki wa Gwajiboy?Maana hio mistari ya dini dizaini kama vile kapewa na Gwajiuno akaisome kwny Press.
Uno Uno Uno
 
Tuanomba asome Warumi 1; 26-28, Hivyo Mungu amewaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadiii matumizi ya asiiik kwa matumizi yasiyo ya asiii, wanaume nao hivyo hivyo, waiiacha matumizi ya mke wa asii, wakiwakiana tamaa wanaume wakitenda yasiyoyopasa wakapata nafsini mwao maiipo yaupotevu wao waiiyo haki yao.

Na kama waivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aiwaacha wafuate akiii zao zisizofaa wayafanye yasiyopasa. Je kama anafanya haya je Mungu hajamwacha anawezaje kutumia Zaburi ya 35 wakati Mungu kamuacha.
 
Kumbe taarabu zilikuwepo tangu kale
 
Salimu Mwalimu ajue asijue cha msingi waasi hao walipaswa kutoa maelezo kwanini wameapishwa gereji bila idhini ya chama kwa mujibu wa katiba ya Chadema??
 
Sawa ukisemacho, lakini hao Chadema walizikamata Kwa Nani hizo kura mkuu

Ni walimtaja Nani waliyemkuta nazo?
Hujajibu swali langu.Narudia tena kukuuliza,kama ni chadema walichapisha kura fake kwa nini hawajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?
 
Hii dhambi ambayo umeitenda kwenye jimbo lako umeshaitubu kwa wananchi wako?View attachment 1639057View attachment 1639062View attachment 1639063
CCM siyo mafala kiasi hicho waibe kura kwenye masanduku watembee nayo. huu ulikuwa plan 'B' ya Halima. hata km walipiga si kwa style hiyo. CDM ilipeleka mawakala bila kuwapa posho, bila kufanya uhakiki km siyo makada wa CCM, hapo ndiyo mchezo yote hufanyika kila mwaka lkn siyo kutembea na masanduku, hatuibaki hivo.
 
Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Sasa kama ni Mdee alichapisha kura fake kwa nini hajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?
 
Hivi unamfahamu Halima, unamuona mtoto siyo? Halima amekaa kwenye game ya uchaguzi miaka 10, anajua kila mbinu, tuulize sisi tunaoishi jimbo lake, sema Halima alijisahau sana, kwa sababu Gwajima asingetoboa. wananchi walishamchoka.
 
Huo mstari wa 12 ndio unamuhukumu kwa maamuzi yake umwbeba vyote vinavyoendele juu yake
 
Kwa kweli kamwaga ugali naona nawe umemwaga mboga 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Wewe endelea kuchanganya siasa na dini tu, baada yako atakuja naye muislamu aweke yake, na budhist, bohra, ismalia n.k. n.k. Sijuwi tutafikia wapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…