ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Hakuna neno acha waseme. ..MUELIMISHE MWENYE HEKIMA ILI AZIDI KUWA NA HEKIMA. ..Wewe acha ku paint Rombo eti hawafanyi kazi wanakunywa tu, wanaokunywa sio wote na watu wa Rombo ni kati ya wafanyakazi wakubwa nchi hii, hii inajithibitisha Rombo na miji amabayo Warombo wapo..
Nenda Rombo watu walivyojenga nyumba, kusomesha watoto, kujenga madarasa na zahanati alafu unasema hawafanyi kazi??
Kuanzia Arusha, Morogoro, Dar na kwingineko kuna mitaa inayoitwa Rombo, kutokana na influence ya watu wa Rombo sehemu hizo, unadai Rombo hawafanyi kazi wanakunywa tu
Wanakunywa pombe ndio ila sio wavivu
Halafu wewe ndio ulianzisha hii thread?
Maajabu ya wilaya ya Rombo-Kilimanjaro
tumesikia na tutalifanyia kazi. ..Mwenye Enzi Mungu atuongoze milele yote