Hii ndo faida ya kula sana

Hii ndo faida ya kula sana

tz1

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
2,121
Reaction score
536
Raha yake ni nini? CCM6.jpg
 
Hawa watu wa design hii, wacost sana serikali kukeep afya zao
 
kula sana, kunywa sana na ku do sana.......wakunyumbi huyu
 
Jamani huyo si kwamba amekula sana.

Hilo tumbo anakabiliwa na utapiamlo.

Ndiyo maana wanaomba posho zaidi ili wapate chakula bora waondoe utapiamlo.

Watanzania muone dhiki inayowakumba wabunge wenu na mridhie nyingeza ya posho

hahaha!!!
 
Huyo hata ukimuacha na dem wako utamkuta salama,hilo li mwili na litumbo vimemeza zakari yote,haisimami tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom