Unajuwa kama mpira umeanza kuangalia leo ndio unaweza kuongea kama wewe unajuwa Madrid alisubiri miaka 30 kuchukua tena CL Barca miaka hiyo ndio kabisa wameanza miaka ya 2000. Hapa tunaongelea league bora sio team bora wewe mwenyewe kila wiki unatolea macho EPL sidhani kama unatizama mechi villa real na osasuna hebu kuweni wakweli. Epl inapendwa duniani sababu ni league ya ushindani.EPL timu zake zote zinafanana kwa ukilaza....nikupe mfano...mm niilikuwa nasoma tuition kwa iden nikifanya mtihani huko wa math napataga 40 mpaka 35 ..na nafasi yangu ni mtu wa 50 huko,lakin nikiwa darasani shulen mm ndo nawaongoza napiga 70 and 80....sasa mm ni mkali kwa vilaza wenzangu huko....hvyo hyo epl woote vilaza so wanashindana wenyewe wakija na majembe kama real,barca,PSG,inter, bayan lazima wakae na hawafiki popote.....chukua timu ya mwisho hispania ukiitia epl wallah lazima ishike 4 bora