DON SINYORI
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 511
- 417
ogopa sana pale mtu ambaye dunia inamwita ''master tactician'' anachezea miguu ya stuli. hii ligi ni noma
mkuu juzi juzi tu huyo barca katiwa 3 na pep sasa sijui unaongelea ubora upi? na bayeni mwenyewe kapigwa na timu ya kizembe tu juzi juzi hapa kwenye uefa. wat u should know ni kwamba bayen,madrid na barca wanatumia pesa nyingi sanaaaaa na wanakimbiliaga world best players wote.sa sidhani kama inakuwa ni rahisi ku compete na timu kama hiyo linapokuja suala la CLmie sielew huo uzuri au ugumu wa EPL kina totenham wanagawa vipigo kwa mancity, wanaisumbua arsenal kwelikweli lakin tumeona kwe champion league amekutana na monaco amepigwa nje ndani, akakutana leverkusen damu tupu..hizi timu za EPL zikichepuka tu zikakutane na Dortmund zinakaa,timu za uingereza hazijawah hata kumfunga PSG,,,Kimtazamo wangu EPL ni ligi ngum kwakuwa timu shiriki zina viwango tu vinavyofanana tu na amna timu yenye uwezo wa juu level ya barcelona na madrid au bayern
inawezekana mkuu ukawa sahihi lakin hizi timu zetu za EPL wanaonekana wazuri wakiwa ndani lakin wakishatoka nje kucheza na timu za ligi nyngne inakuwa ni matatizo makubwa achilia mbali barcelona na madrid...sevilla amechukua europa miaka mitatu mfululizo tutasema na yeye ana top players kweli? angalia makundi ya europa yameisha sasa hivi southampton katupwa nje kwa kushndwa kuifunga timu ya israel.....mkuu juzi juzi tu huyo barca katiwa 3 na pep sasa sijui unaongelea ubora upi? na bayeni mwenyewe kapigwa na timu ya kizembe tu juzi juzi hapa kwenye uefa. wat u should know ni kwamba bayen,madrid na barca wanatumia pesa nyingi sanaaaaa na wanakimbiliaga world best players wote.sa sidhani kama inakuwa ni rahisi ku compete na timu kama hiyo linapokuja suala la CL
Hata timu yao ya taifa si lolote kwenye michezo ya kimataifa.inawezekana mkuu ukawa sahihi lakin hizi timu zetu za EPL wanaonekana wazuri wakiwa ndani lakin wakishatoka nje kucheza na timu za ligi nyngne inakuwa ni matatizo makubwa achilia mbali barcelona na madrid...sevilla amechukua europ miaka mitatu mfululizo tutasema na yeye ana top players kweli? angalia makundi ya europa yameisha sasa hivi southampton katupwa nje kwa kushndwa kuifunga timu ya israel.....
hata hilo kuna watu watabish piaHata timu yao ya taifa si lolote kwenye michezo ya kimataifa.
elalaai kaa naboo e mong'oo laay.....Engaraii nimefurahi tena ssana tu ooh sana
taphala doi Shee..
Kwa hiyo hizi timu za epl pia hazifundishiki? Maana kama Pep ni kocha bora kwanini asiifanye Man City ikawa bora ulaya, kwanini Carlo Anchelot anakuwa kocha bora Bayern na Madrid tu lakini akija EPL ni kocha wa kawaida tu? Hii dhana ya kocha bora kwa kuangalia Laliga na Bundesliga si sahihi hata kidogo maana hizo ligi hazina ushindani kabisa.We unadhani Arsene Wenger hawezi kubeba treble na kikosi cha Barcelona au Bayern?mie sielew huo uzuri au ugumu wa EPL kina totenham wanagawa vipigo kwa mancity, wanaisumbua arsenal kwelikweli lakin tumeona kwe champion league amekutana na monaco amepigwa nje ndani, akakutana leverkusen damu tupu..hizi timu za EPL zikichepuka tu zikakutane na Dortmund zinakaa,timu za uingereza hazijawah hata kumfunga PSG,,,Kimtazamo wangu EPL ni ligi ngum kwakuwa timu shiriki zina viwango tu vinavyofanana tu na amna timu yenye uwezo wa juu level ya barcelona na madrid au bayern
Atavunjwa miguu na wale manamba wa STOKE au wale wa WHU.ndo mana pia huwa nasema messi ni mzuri lakini pia ningependa aje epl adhihirishe hilo zaidi.
Madrid, Barcelona na munchen pia wanatumia njia ya kuchukua wachezaji wa timu ndogo ili wazidi kiwadhoofisha mfano, munchen wamewachukua lewandowki, gotze hummers na wengine, au kina alves, alaba, ramosmkuu juzi juzi tu huyo barca katiwa 3 na pep sasa sijui unaongelea ubora upi? na bayeni mwenyewe kapigwa na timu ya kizembe tu juzi juzi hapa kwenye uefa. wat u should know ni kwamba bayen,madrid na barca wanatumia pesa nyingi sanaaaaa na wanakimbiliaga world best players wote.sa sidhani kama inakuwa ni rahisi ku compete na timu kama hiyo linapokuja suala la CL
halafu kinachonishangazaga kuna wanafiki huwa wanaiponda hii ligi sijui huwa hata wanatumia kigezo kipi.
Kwako king Messi atafit club gani haswa. Yeye kazoea tik tak nyie mmezoea butuabutua. Nakuambia hii ratiba iliyotoka janaa ya ucl knock out stage hakuna timu yoyote ya epl ligi itabaki. Zote zinatupwa nje.ndo mana pia huwa nasema messi ni mzuri lakini pia ningependa aje epl adhihirishe hilo zaidi.
Kaka huo ni mtihan mzitondo mana pia huwa nasema messi ni mzuri lakini pia ningependa aje epl adhihirishe hilo zaidi.
kweli kabisa mfano mzuri Ozil sanchez aguero Mustafi diego costaEpl ni ligi ngumu... maana wana involve nguvu nyingi na speed. ligi zingine... ni akili zaid.....
thats why wachezaj wakitoka ligi zingine wakija epl wanaonekana kushuka... si kwasababu hawana viwango... kwa sababu style ya uchezaji ni tofauti
inawezekana mkuu ukawa sahihi lakin hizi timu zetu za EPL wanaonekana wazuri wakiwa ndani lakin wakishatoka nje kucheza na timu za ligi nyngne inakuwa ni matatizo makubwa achilia mbali barcelona na madrid...sevilla amechukua europa miaka mitatu mfululizo tutasema na yeye ana top players kweli? angalia makundi ya europa yameisha sasa hivi southampton katupwa nje kwa kushndwa kuifunga timu ya israel.....
UMESEMA UKWELI KULIKO WOOTE.......timu za epl zinafanana kwa ukilaza.........mie sielew huo uzuri au ugumu wa EPL kina totenham wanagawa vipigo kwa mancity, wanaisumbua arsenal kwelikweli lakin tumeona kwe champion league amekutana na monaco amepigwa nje ndani, akakutana leverkusen damu tupu..hizi timu za EPL zikichepuka tu zikakutane na Dortmund zinakaa,timu za uingereza hazijawah hata kumfunga PSG,,,Kimtazamo wangu EPL ni ligi ngum kwakuwa timu shiriki zina viwango tu vinavyofanana tu na amna timu yenye uwezo wa juu level ya barcelona na madrid au bayern
Hamna kitu ile ligi imejaa misifa tu...totenham na utata wake amekutana na monaco CL ni vipigo nje ndani hoi taabaniEPL timu zake zote zinafanana kwa ukilaza....nikupe mfano...mm niilikuwa nasoma tuition kwa iden nikifanya mtihani huko wa math napataga 40 mpaka 35 ..na nafasi yangu ni mtu wa 50 huko,lakin nikiwa darasani shulen mm ndo nawaongoza napiga 70 and 80....sasa mm ni mkali kwa vilaza wenzangu huko....hvyo hyo epl woote vilaza so wanashindana wenyewe wakija na majembe kama real,barca,PSG,inter, bayan lazima wakae na hawafiki popote.....chukua timu ya mwisho hispania ukiitia epl wallah lazima ishike 4 bora