Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Chai
 
UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
maskini Elon Musk ana watoto kumi (10) na bado anaongeza
 
Hapa yupi ana watoto wengi?

Ambaye kazalisha mwanamke mmoja tu ila kamuacha kwa mwanamke ambaye anapambana kama single mother na mwingine ana 5 na wote wanapata huduma kutoka kwake.
 
Hapa yupi ana watoto wengi?

Ambaye kazalisha mwanamke mmoja tu ila kamuacha kwa mwanamke ambaye anapambana kama single mother na mwingine ana 5 na wote wanapata huduma kutoka kwake.
3 women 10 Children. Familia ya Tajiri namba 1 duniani huyo Elon Musk. Piga mashine fala wewe, usiwe kama mpwayungu.View attachment 2718879
Kipato chake sawa na chako???

Mwambie MUSK aache ufala kwa hela zake ilibidi awe na watoto si chini ya 1,000 ...

MUSK kua na watoto 10 kwa pesa zake ni ubahili wa kutisha...

Kwa akili zetu maskini kwa idadi ya watoto wake na utajiri alio kua nao natangaza rasmi MUSK ni mbinafsi namba moja Duniani...

Kuna watu bongo wana mshahara wa milioni moja ma wana watoto si chini ya 10...

Mwambie Musk aache ujinga apige Mashine...

Watoto 10 kwake ni dharau!!!?Tunatarajia kusikia ana watoto 1000 au 10,000 kwa kipato chake.....!

Mwambie MUSK aache uzungu apige MASHINE!
 
Hong
Vinginevyo Dunia ingeshuhudia wale wasiooa/kuolewa wangekuwa matajiri zaidi kuliko waliooa/kuolewa na hawana watoto. Na wale waliooa/kuolewa na wakawa na mtoto mmoja au wachache wangekuwa matajiri zaidi kuliko wenye watoto wengi. Binafsi nina watoto wengi na ninaishi vizuri kuliko baadhi ya watu wasiooa/kuolewa kabisa na hata wale wenye watoto kidogo pia. Utajiri umebebwa na mapambano yako wewe mwenyewe.
HONGERA SANA MKUU!
I HOpe umeweza kuwa mentor watoto wako wote. Yaani kila mmoja umehakikisha anatembea kweny mstar mnyoofu
Naamini hukumuachia Mungu hii kazi.

EMOTIONAL ENTELIGENCY
Naamini upo vizur katika hili na ume manage ku monitor na kuhakikisha watoto wote pschologically wako vizur.

Happiness
Naamini ume show love kwa kila mtoto bila upendeleo
Upo suportive kwa watoto wote tuseme unapata muda wakushiriki michezo na kila mtoto .
Kiujumla niseme upo na strong bond kwa kila mtoto wako / father children friendship.

Mkuu umeweza kutekeleza hayo mawili matatu !

MIMI NACHOJUA PARENTING IS NOT EASY
MTOA MADA YUPO SAHIHI KWA KIASI CHAKE.
 
Hong

HONGERA SANA MKUU!
I HOpe umeweza kuwa mentor watoto wako wote. Yaani kila mmoja umehakikisha anatembea kweny mstar mnyoofu
Naamini hukumuachia Mungu hii kazi.

EMOTIONAL ENTELIGENCY
Naamini upo vizur katika hili na ume manage ku monitor na kuhakikisha watoto wote pschologically wako vizur.

Happiness
Naamini ume show love kwa kila mtoto bila upendeleo
Upo suportive kwa watoto wote tuseme unapata muda wakushiriki michezo na kila mtoto .
Kiujumla niseme upo na strong bond kwa kila mtoto wako / father children friendship.

Mkuu umeweza kutekeleza hayo mawili matatu !

MIMI NACHOJUA PARENTING IS NOT EASY
MTOA MADA YUPO SAHIHI KWA KIASI CHAKE.
 
UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Binafsi sipo tayr kuleta kiumbe kije kupata tabu duniani na kama nitakileta.....!

Ngoja nikupe sababu ya matajiri kuzaa watoto wachche!

Kuna uhusiano mkubwa kati ya intelligency na utajiri.
.Matajir wengi wapo spirtual conscious hawafanyi mambo kwakufuata misingi ya dini
Kuna wanaozaa inorder to please their God, matajir hii hawana.
Masikini wengi wameziendekeza dini we all know this.

PURPOSE IN LIFE.
Tafsiri ya maisha.na maana ya mafanikio.
Kila mtu yupo na tafsiri ya mafanikio.
Kuna wanao amini mafanikio ni kuwa na pesa nyingi na kuzaa watoto .
Kuna wanao amini watoto wanakujaga na baraka.

Life style
Hapa kuna wanao take parebting too serious na ndipo unakuta logic inatumika na mtu anaamua kuwa na watoto wachache kwasababu future ya watoto inakuwa considered kana kwamba wanaona kuzaa watoto wengi haina maana.

My takes on this!

A reason why we shouldn't bring many kids is to prevent em from suffering.
 
UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Mtoa mada Hongera kwa Uzi maridhawa.,Nimekupata.
 
Bakhressa ana wangapi?

Matajiribwa Kiarabu na Kizanzibar wana wangapi?

Wakulima matajiri huko mikoani wana watt wangapi?

HOVYO KABISA
 
Back
Top Bottom