Hii ndiyo Israel sasa!!

Hii ndiyo Israel sasa!!

Israel bila America na Europe ni debe tupu tu. Hata panya road wangewatia kihehe. Tena walivyo waoga na kuogopa kufa wangetulia bila wahka.
Hapo hatuja taja wanaume Qasam brigade.
Maneno ya wakosaji eti israel bila amerika!!
 
Unakuwa ''manipulated'' na habari zinazo kuwa controlled!
Pili, umeanishwa hili ni Taifa lenye nguvu sana kama vyombo vya magharibi vinavyosema.
Yote hayo ni kuficha ushiriki wao middle east kwasababu za kiusalama na siasa.
Kwa dunia ya leo ni ngumu sana habari kuwa Controlled. Ukasema Mimi nimeaminishwa!! Kitu amba ho si kweli Nijuavyo Mimi Israel Ina Jeshi dogo bora sana duniani kwa Mashariki ya kati hakuna Jeshi unaweza kulilinganisha na Jeshi la Israel na ndiyo maana jeshi la Israel linaitwa “The most moral army on the planet”.
Ugomvi wa Palestina na Israel haukukuza October 7. 2023. Ubinadamuupi unaungelea
Hiki kimekuwa kisingizio cha kuficha Ubakaji,Utekwaji na mauaji ya watu wasio na hatia yaliyofanywa na Magaidi wa Hamas hapo Oct 07,2023.
Kabla ya tukio la Oct 07,2023 hali ilikuwa nzuri kulikuwa na mikataba ya Amani iliyokuwa imewekwa. Wapalestina wengi walikuwa wakifanya kazi Israel ambao kwa kweli hawakuwa nia njema hatimaye wakafanikisha tukio la Oct 07,2023 ambalo lilizika kabisa matumaini ya “Two State Solution” na kufuta kabisa uwezekano wa kuwa na Taifa linaloitwa Palestina.
Shambulio la Oct 07,2023 limeibadirisha sana sura ya Mashariki ya kati na kuifanya Gaza iwe kama ilivyo leo( Magofu ) pili limesababisha utawala wa Assad huko Syria kupinduliwa, Tatu limesababisha Hezbollah kumalizwa safu nzima ya uongozi wake akiwemo Hassan Nasrallah. Nne limesababisha Hamas nao kupoteza ma-MasterMind wa tukio la Oct 07,2023 na sasa wanapigwa kama watoto yatima. Tano limesababisha Iran aumbuke baada ya njia yake ya kupeleka silaha kwa magaidi wa Hezbollah kufungwa.
Nakuhakikisha Echolima, habari za Dunia huna ufahamu nazo. Najaribu kukusaidia kwasababu nimekusoma mara nyingi nikaona unahitaji msaada. Hizi habari za middle east achama nazo! Hujui
Mimi kama binadamu mwingine siwezi kuwa na Ufahamu wa habari za dunia zote lakini Nina uzoefu na habari za Mashariki ya kati wakati mwingine kukuzidi wewe. Binafsi sihitaji msaada wowote . Pia najua kwa nini unanitaka niachane na habari za middle-east ni kwa sababu najua wengi sana mnapotosha sana hasa habari za Israel.

Kwa hiyo Unataka niachane na habari za Middle East ili iweje? Wewe utafaidika namna gani?
 
Kwa dunia ya leo ni ngumu sana habari kuwa Controlled.
Hapa unadhihirisha upofu. Unadhani ni kwanini Israel imeua Waandishi wa Habari 105+ kule Gaza.
Unadhani kwanini kituo cha Al Jazeera ki;ishambuliwa. Unadhani kwanini Waandishi wa CNN wanatakiwa kuambatana na Wanajeshi wa Israel. Ni TV gani inayoongelea Wananchi wanaokufa na njaa.
Unajua malori 3000 yamezuia kuingia Gaza kupeleka misaada. Umesikia hilo wapi?
Fuatilia nani wamiliki wa TV , Magazeti ya nchi za Magaharibi. Unajua akina Elon Musk wanafanya nini X.
Kwanini Waandishi wa Habari walioonyesha habari zinazokinzana na matakwa , wanafukuzwa kazi

Nilikueleza umesoma The Haaretz na jerusalem Post! Maana yangu, ukisoma magzeti hayo ya Israel utabaini mengi.
Kitu amba ho si kweli Nijuavyo Mimi Israel Ina Jeshi dogo bora sana duniani kwa Mashariki ya kati hakuna Jeshi unaweza kulilinganisha na Jeshi la Israel na ndiyo maana jeshi la Israel linaitwa “The most moral army on the planet”.
Mbona wanaomba msaada wakitaka kufanya shambulio!
Ubora upi? Ukilinganisha na nini? Ni kweli, ukilinganisha na Hamas wanaotengeneza silaha uani.
Unadhani kwanini Saddam aliondolewa! Kwanini wanataka Iran ishambuliwe

Kwavile hujuia, nitakupa shule. Israel ilitaka Marekani washambulie Iran, Obama alikataa kwa kusema hapeleki Askari wake. Huo ndio msingi wa Mazungumzo ya 'Nuklia' kati ya US na Iran na kufikia mkataba, na chanzo cha ugomvi kati ya Obama na Nyahu

Trump alipoingia akafuta Mkataba huo kwa shinikizo la BB Nyahu ili washambulie Iran. Wakamuua kiongozi wa Nuklia na kiongozi wa Jeshi Qaseem. Iran ilijibu pigo lililoumiza Askari wa US. Trump akanywea.

Biden alikataa kushambulia Iran ukawa ugomvi na Nyahu. Trump alipoingia Israel ikasema ni fursa ya kushambulia Iran, Trump amenusa na kuamua kurudia kwa Mkataba wa Obama.
Hivi leo wanaongea Rome, Italy.
Swali, ikiwa Israel ina jeshi lenye uwezo kwanini haiendi yenyewe kupambana.

Pili, Al Asaad alikuwa Tishio sana kwa Israel ndio sababu ya kusaidia makundi kumuondoa

Umeandika haya '' the most moral army on the planet'' Echolima, unajua maana ya maneno hayoHebu fafanua , nina wasi wasi sana kama unaelewa maana yake!
Hiki kimekuwa kisingizio cha kuficha Ubakaji,Utekwaji na mauaji ya watu wasio na hatia yaliyofanywa na Magaidi wa Hamas hapo Oct 07,2023.
Hivi unajua Askari wa Israel wameonyeshwa na TV zote Duniani '' WAKIWAFIRA'' wafungwa Palestina
Kwani ubakaji una maana gani kwako
Kuzuia chakula na kupiga Hospitali si mauaji ya wasio na Hatia!

Unasema Hamas ni Magaidi! Well, aliyefadhili Hamas kwa miaka 16 ni BB Nyahu. Unjaua hilo!
Kabla ya tukio la Oct 07,2023 hali ilikuwa nzuri kulikuwa na mikataba ya Amani iliyokuwa imewekwa.
Mkataba huo ulisainiwa wapi!
Nchi za Magharibi hazikutambua ushindi wa Hamas, sasa Mkataba uliingiwaje na nani na wapi
Wapalestina wengi walikuwa wakifanya kazi Israel ambao kwa kweli hawakuwa nia njema hatimaye wakafanikisha tukio la Oct 07,2023 ambalo lilizika kabisa matumaini ya “Two State Solution” na kufuta kabisa uwezekano wa kuwa na Taifa linaloitwa Palestina.
Lini kulikuwa na mazungumzo ya two state solution. Nini kilisababisha I.Rabin kuuawa.
Umeona Video za miaka 20 za BB akikataa two state solution?
Tangu 2004 lini kulikuwa na mazungumzo kati ya pande mbili.

Unajua kwanini Israel iliwafadhili Hamas? Kwa taarifa yako, lengo lilikuwa kuwagawa Wapalestina ili kuua wazo la two state solution. Haya mambo ni elementary mbona huyajui!
Shambulio la Oct 07,2023 limeibadirisha sana sura ya Mashariki ya kati na kuifanya Gaza iwe kama ilivyo leo( Magofu ) pili limesababisha utawala wa Assad huko Syria kupinduliwa, Tatu limesababisha Hezbollah kumalizwa safu nzima ya uongozi wake akiwemo Hassan Nasrallah. Nne limesababisha Hamas nao kupoteza ma-MasterMind wa tukio la Oct 07,2023 na sasa wanapigwa kama watoto yatima. Tano limesababisha Iran aumbuke baada ya njia yake ya kupeleka silaha kwa magaidi wa Hezbollah kufungwa.
Nakuambia hujui kinaendelea nini. Baada ya kuuawa viongozi wa Hezbollah, nini kilifuata.
Unajua nini kilitokea South Lebanon! Kwanini Israel ilikubali mkataba wa kusitisha mapigano.
Biden alikataa kuingiza Askari wake! kwa taarifa yako.

Gaza imekuwa kifusi, baada ya miaka 2 ya Mabomu , Hamas wameondoka?
Kwani hukuona wakati wa kubadilisha Wafungwa.
Viongozi wangapi wa Hamas wameuawa tangu iasiswe, je, Hamas imetoweka

Kama njia za Iran zimefungwa, mkataba na Hezbollah ulikuwa wa nini?
Unajua Iran imewekewa vikwazo kwa muda gani na kwasababu gani!
Nina uzoefu na habari za Mashariki ya kati wakati mwingine kukuzidi wewe. Binafsi sihitaji msaada wowote .
Hujui kabisa, wewe unangozwa na hisia tu za mambo ya Iman! Unajua kwanini nimeamua kukuelewesha! Ninataka nikusaidie baada ya kujua hujui na hutaki kujua kwamba hujui! Haya si mambo ya kilokole. Ni mambo ya siasa za Dunia zinazoingiliana. Yanahitaji ufahamu si kusimuliwa au kusoma headlines! Mashariki ya kati kuna mengi!
Pia najua kwa nini unanitaka niachane na habari za middle-east ni kwa sababu najua wengi sana mnapotosha sana hasa habari za Israel.
Sitaki uachane! Ninataka ujifunze na uwe na ufahamu. Tuendelee na mjadala nikupe shule maana kazi ya kutoa elimu ni sadaka !
Kwa hiyo Unataka niachane na habari za Middle East ili iweje? Wewe utafaidika namna gani?
Hapana usiachane nazo, ila nakukumbusha unaadhirika!
 
Hapa unadhihirisha upofu. Unadhani ni kwanini Israel imeua Waandishi wa Habari 105+ kule Gaza.
Ulivyo kipofu hata hujui hao walikuwa waandishi wa habari mąkanjanja ambao wanafanya kazi kama Hamas Operatives. Na pia uelewe kuwa magaidi mara zote huwatumia wanawake na watoto wanatumia majengo mbalimbali ya kijamii kama vile Hospitali ,Misikiti na Makanisa kama Kinga usishangae waandishi wa habari wakatumika tatizo lako hata hushangai kwa nini hao Makanjanja wote ni wapalestina!!!
Unadhani kwanini kituo cha Al Jazeera ki;ishambuliwa. Unadhani kwanini Waandishi wa CNN wanatakiwa kuambatana na Wanajeshi wa Israel.
Kila jeshi wana sheria zao lakini kwa Israel hairuhusiwi waandishi wa habari wawepo mstari wa mbele na wanaruhusiwa tu ikiwa eneo husika limekombolewa au liki wa kwenye udhiti wao wanaweza kuitwa na kutembezwa na wanajeshi wao. Ni uongo kusema kwamba askari wa Israelwanatakiwa waambatane na wanajeshi wa Israel!! Nasema hivyo kwa kuwa Nina uhakika Ninachokisema.
Swali, ikiwa Israel ina jeshi lenye uwezo kwanini haiendi yenyewe kupambana.
Nimekuwa nikijibu swali hili kwa watu wengi sana na sasa narudia:
Hakuna nchi duniani Inaweza kuingia vitani bila kuwa na Mshirika. Hata hawa wanaitwa Super powers Russia,Marekani na zingine hawawezi kuingia vitani wakiwa peke yao kwa sababu wanajua, sasa kama Russia tu na Ukraine Russia anasaidiwa na China,Iran,Afrika Kusini na Mataifa mengi tu itakuwaje wewe kuitaka Israel kupambana na Iran peke yake.?
Binafsi nimesomea huko 1977 na 1978 najua ubora wao na ndiyo maana kwenye vita hivi vya Gaza wamevunja record ya kuweka kupigana na mistari ya mbele saba( SevenFronts) at the same times na wakaweza kushinda. Kwenye simlizi za vita vyote ilivyopigana vita vya Gaza vimewapa sifa kubwa sana kijeshi.
Unajua malori 3000 yamezuia kuingia Gaza kupeleka misaada. Umesikia hilo wapi?
Nimekuambia hivi ndiyo maana IDF inaitwa The most moral army on the Planet, Ukiona wapi wewe unapigana na adui yako kisha Unampa chakula,maji na mahitaji mengine ya ki binadamu? Kwa dunia hii ni IDF tu ndiyo iliweza kufanya hilo lakini kuanzia mwezi wa 3 waliamua kufuata msemo wetu Wamatumbi kuwa “Adui yako Mwombeki Njaa” na Mimi nawaombea wakazie hapo hapo waweke huruma kando maana Hamas wenyewe hawana huruma sasa kwa nini kuwaonea huruma ?

Umeandika haya '' the most moral army on the planet'' @Echolima, unajua maana ya maneno hayoHebu fafanua , nina wasi wasi sana kama unaelewa maana yake!
Kwa maana hiyo umekaririshwa kuwa mimi sijui kiingereza?,” Jeshi la maadili zaidi duniani''
Hivi unajua Askari wa Israel wameonyeshwa na TV zote Duniani '' WAKIWAFIRA'' wafungwa Palestina
Ndugu hayo kuwaonyesha ilikuwa ni kosa na lengo lao ni
Hujui kabisa, wewe unangozwa na hisia tu za mambo ya Iman! Unajua kwanini nimeamua kukuelewesha! Ninataka nikusaidie baada ya kujua hujui na hutaki kujua kwamba hujui! Haya si mambo ya kilokole. Ni mambo ya siasa za Dunia zinazoingiliana. Yanahitaji ufahamu si kusimuliwa au kusoma headlines! Mashariki ya kati kuna mengi!

wayahudi waonekane ni watu wa ajabu sana. Lakini kila sehemu hasa magereza ya ku Fira au kufirwa ni kitu cha kawaida kabisa na ukichukulia wao ni waarabu kitovu cha ushenzi huo.
Kuzuia chakula na kupiga Hospitali si mauaji ya wasio na Hatia!
Adui yako muombee Njaa ndiyo suruhisho ya vita vinginevyo atakują kukusumbua bure!!!
Mkataba huo ulisainiwa wapi!
Nchi za Magharibi hazikutambua ushindi wa Hamas, sasa Mkataba uliingiwaje na nani na wapi
Kabla ya Oktoba 7, 2023, Israel haikuwa na mkataba rasmi wa amani na Hamas. Badala yake, uhusiano kati ya pande hizi mbili ulikuwa wa mvutano, ukiwa umejaa mizozo ya mara kwa mara, pamoja na vipindi vya mapigano na makubaliano ya kusitisha mimi apigano (ceasefires) ya muda. Hamas, ambayo ilichukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza mwaka 2007, imekuwa ikishirikiana na Israel kupitia makubaliano ya muda au ya kimudu yaliyopangwa na wapatanishi kama Qatar na Misri, lakini hakujawahi kuwa na mkataba wa amani wa kudumu.
Hujui kabisa, wewe unangozwa na hisia tu za mambo ya Iman! Unajua kwanini nimeamua kukuelewesha! Ninataka nikusaidie baada ya kujua hujui na hutaki kujua kwamba hujui! Haya si mambo ya kilokole. Ni mambo ya siasa za Dunia zinazoingiliana. Yanahitaji ufahamu si kusimuliwa au kusoma headlines! Mashariki ya kati kuna mengi!
Hapo ulokole umeuingizaje? Mimi ninakuambia mimi nimesomea huku miaka 2 kwa hiyo mimi najua zaidi yako wayahudi walivyo.
 
Ulivyo kipofu hata hujui hao walikuwa waandishi wa habari mąkanjanja ambao wanafanya kazi kama Hamas Operatives.
Kasome '' International Federation of Journalists'' au IFJ. Tatizo utakalokumbana nalo ni lugha, tafuta msaada utaelewa!
Na pia uelewe kuwa magaidi mara zote huwatumia wanawake na watoto wanatumia majengo mbalimbali ya kijamii kama vile Hospitali ,Misikiti na Makanisa kama Kinga usishangae waandishi wa habari wakatumika tatizo lako hata hushangai kwa nini hao Makanjanja wote ni wapalestina!!!
Nitajie Hospitali moja iliyokutwa na Vifaa na Magaidi. Juzi wameuawa watu wa Red cross! unasemaje juu ya hilo? Mwaka jana waliuawa ''World central Kitchen'' unasemaje juu ya hao!
Kila jeshi wana sheria zao lakini kwa Israel hairuhusiwi waandishi wa habari wawepo mstari wa mbele na wanaruhusiwa tu ikiwa eneo husika limekombolewa au liki wa kwenye udhiti wao wanaweza kuitwa na kutembezwa na wanajeshi wao.
Kuna kitu kinaitwa ''rules of engagement''. Kuna sheria za Kimataifa zinazo govern mambo ya Vita.
Wewe si ulikuwa askari! inakuwaje hujui vitu basic kama hivi
Ni uongo kusema kwamba askari wa Israelwanatakiwa waambatane na wanajeshi wa Israel!! Nasema hivyo kwa kuwa Nina uhakika Ninachokisema.
Waandishi wote wa Mashirika kama CNN, BBC n.k. kabla ya taarifa husema '' Katika safari hii tunaongozwa na askari wa Israel'' Kauli hii ni kwa ajili ya maadili ''ethics'' za kazi zao kwamba kinachoeleza si 'independent''.
Hakuna nchi duniani Inaweza kuingia vitani bila kuwa na Mshirika. Hata hawa wanaitwa Super powers Russia,Marekani na zingine hawawezi kuingia vitani wakiwa peke yao kwa sababu wanajua, sasa kama Russia tu na Ukraine Russia anasaidiwa na China,Iran,Afrika Kusini na Mataifa mengi tu itakuwaje wewe kuitaka Israel kupambana na Iran peke yake.?
Aha! si umesema ni jeshi kubwa middle east! hakuna wa kupambana naye!
Binafsi nimesomea huko 1977 na 1978 najua ubora wao na ndiyo maana kwenye vita hivi vya Gaza wamevunja record ya kuweka kupigana na mistari ya mbele saba( SevenFronts) at the same times na wakaweza kushinda. Kwenye simlizi za vita vyote ilivyopigana vita vya Gaza vimewapa sifa kubwa sana kijeshi.
Mwaka 1978 ulikuwa Vitani Kagera kwa mujibu wa simulizi zako. Tena ukasema ulichukuliwa na ndio ilikuwa mara yako ya kwanza kuona maiti. Hapa ulimaanisha askari wa JWTZ waliouawa.

Leo unasema ulikuwa Israel! hata kama ulikwenda huko, sidhani kama ulielewa kitu! kwa haya unayoandika ima umesahau au hukujua! kimoja kati ya hivyo ni sahihi
Nimekuambia hivi ndiyo maana IDF inaitwa The most moral army on the Planet, Ukiona wapi wewe unapigana na adui yako kisha Unampa chakula,maji na mahitaji mengine ya ki binadamu?
Rules of engagement za Vita zinasema Raia wanapewa ulinzi na misaada ya kibinadamu.

Marekani imepigana vita Iraq na Pakistan, lini walizuia misaada ya chakula na Dawa? Lini walibomoa Hospitali?Hata pale walipofanya makosa, kwanza, walikubali na kuomba radhi kwa kutofuata ''rules of engagement' Vita si kurusha risasa na mabomu, wewe ulikuwa askari ! mbona haya ni basic kwa askari.

Chakula kwenda Gaza si kwa Hamas ni kwa Raia wasio na hatia na hilo si fadhila, ni sheria za Kimataifa zinazoongoza vita '' rules of engagement'. Ni kanuni za Kibaindamu kwa wenye maadili.
Kwa dunia hii ni IDF tu ndiyo iliweza kufanya hilo lakini kuanzia mwezi wa 3 waliamua kufuata msemo wetu Wamatumbi kuwa “Adui yako Mwombeki Njaa” na Mimi nawaombea wakazie hapo hapo waweke huruma kando maana Hamas wenyewe hawana huruma sasa kwa nini kuwaonea huruma ?
Halafu unasema ni '' morally ethical army'' ndio maana nakuambia hujui lkiingereza. Neno ''moral'' lina maana yake. Wewe unataka wauawe Wapalestina wasio na hatia. Walokole hawana Imani mbovu kiaisi hicho! Tofauti yako wewe na Hamas ni ipi?
Kwa maana hiyo umekaririshwa kuwa mimi sijui kiingereza?,” Jeshi la maadili zaidi duniani''
Hujui kiingereza! huwezi kuwa na jeshi la maadili linalopiga Hospitali. Huwezi kuwa na jeshi la maadili linalozuia chakula kwa Watoto , Wanawake wafe. Huwezi kuwa na jeshi la maadili linalompiga msichana wa miaka 8 risasi mchana kweupe. Huwezi kuwa na maadili UKIFIRA wafungwa!
wayahudi waonekane ni watu wa ajabu sana. Lakini kila sehemu hasa magereza ya ku Fira au kufirwa ni kitu cha kawaida kabisa na ukichukulia wao ni waarabu kitovu cha ushenzi huo.
Kwahiyo ''UFIRAUNI'' ni jambo la kawaida! Lakini jiulize, Mfungwa mwenye Pingu anainamishwa na KUFIRWA hilo unaliona la kawaida. Kesho unaimba mapambio ya kilokole! Morally bankrupt.
Ukipelekwa magereza UKAFIRWA unaliona jambo la kawaida! By the way ulikwenda kusomea nini huko!
Adui yako muombee Njaa ndiyo suruhisho ya vita vinginevyo atakują kukusumbua bure!!!
ok, fair enough! sasa unaposema jeshi la maadili, ni yapi hayo!
Kabla ya Oktoba 7, 2023, Israel haikuwa na mkataba rasmi wa amani na Hamas.
Ndio maana nakuambia hujui, hakuna kitu kinachoitwa ''mkataba usio rasmi''. Ni ima mkataba au la.
Badala yake, uhusiano kati ya pande hizi mbili ulikuwa wa mvutano, ukiwa umejaa mizozo ya mara kwa mara, pamoja na vipindi vya mapigano na makubaliano ya kusitisha mimi apigano (ceasefires) ya muda. Hamas, ambayo ilichukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza mwaka 2007, imekuwa ikishirikiana na Israel kupitia makubaliano ya muda au ya kimudu yaliyopangwa na wapatanishi kama Qatar na Misri, lakini hakujawahi kuwa na mkataba wa amani wa kudumu.
Hakuna mkataba! Period. Hayo mengine unaumba umba tu kwasababu hujui.

Chukua shule hiii hapa
Uchaguzi wa Palestina , Hamas walishinda na aliyethibitisha hilo ni Rais wa Zamani wa Marekani Jimmy Carter aliyekuwa msimamizi wa Kimataifa. Mataifa ya Magharibi na Israel wakakataa kutambua.
BB Nyahu akaona fursa, akaamua kuwapa Hamas pesa na kazi ili kuwagawa na PLO ya West Bank.

Mkakati ulifanikiwa kwasababu Palestina waligawanyika, PLO wakitaka two state solution, Hamas wakisisitiza kurudishwa maeneo yaliyotekwa kwanza. Mazungumzo yalipoanzishwa na Norway, Israel wakasema '' Tunaongea na nani'? PLO au Hamas! Hakujawa na Uchaguzi tangu wakati huo ili ''kulinda'' Hamas isishindwe na mkakati uendeleee. Hadi hapo kukawa na mkwamo, wakafanikiwa

Mkakati uliwatokea puani Oktoba 7, Wachambuzi wote wa Israel na nje, wanaeleza ilikuwa kosa kubwa sana kuendelea na Hamas badala ya PLO ndio maana wanataka Uchunguzi dhidi ya BB.
Haya huyapati kwa kibusa busa ! you need to read and understand.
Hapo ulokole umeuingizaje? Mimi ninakuambia mimi nimesomea huku miaka 2 kwa hiyo mimi najua zaidi yako wayahudi walivyo.
Ulikuwa vitani 1978! kama ulisomea huko kuna vitabu uliacha! nina shaka ulikuwa na kazi zingine!
 
Nguruvi3 inaonyesha Una chuki zako binafsi juu ya Israe!! Nakujibu maswali yako kama ifuatavyo:
1. Israel Ina washirika wake (Allies) kuna shida gani Waki share information?
2. Israel wakipata msaada kutoka Marekani wewe unaumia sana sehemu gani ya mwili wako? Wewe unaona kuna shida gani?
3. Kama niliposema hapo mwanzo Israel ana Washirika (Allies) wake wewe unaona au unapata shida gani Wakishirikiana kufanya Operation zao?
4. Hakuna udhibitisho wa wazi kuonyesha Israel ilishinikiza Saddam na Gaddaf waondolewe. Hata hivyo ma Dikteta hao kwa pamoja walikuwa wana mpango wa kuitishia Israel kuishambulia sasa wewe unaona kuna ubaya gani Israel kushinikiza Madiktea hao waondolewe kama wao wenyewe tu walitaka kuiondoa Israel 🇮🇱?
5. Silaha za Israel kazi yake si kutatua tatizo la Mashariki ya kati silaha hizo ni kwa ajili ya kujihami na kujilinda na maadui wanaotaka kuiangamiza Israel 🇮🇱. Wewe tena unaona wivu sana Israel ikiwa na silaha zake za kujilinda unatamani sana wakose kabisa ili wafutwe kwenye uso wa dunia!! Kwa taarifa yako tu ndoto yako haitatimia utafutika wewe na ukoo wako na Israel itaendelea kuwapo.
Kilaza pro max
Yaani total idiot.
Hujui hata kujibu hoja kwa kutumia facts na evidence...
Wewe ni mbuzi, na nilikuwa sahihi kusema wewe ni pumbavu.....na kilaza , elimu au biashara ilikushinda ukaamua kuangukia kwenye ujinga wa mahaba ya ngano za mashariki ya kati, wewe ni zero brain.....
Unajibu hoja kwa kuuliza "inakuuma nini"....f@kin dimwit....!
 
Hapa unadhihirisha upofu. Unadhani ni kwanini Israel imeua Waandishi wa Habari 105+ kule Gaza.
Unadhani kwanini kituo cha Al Jazeera ki;ishambuliwa. Unadhani kwanini Waandishi wa CNN wanatakiwa kuambatana na Wanajeshi wa Israel. Ni TV gani inayoongelea Wananchi wanaokufa na njaa.
Unajua malori 3000 yamezuia kuingia Gaza kupeleka misaada. Umesikia hilo wapi?
Fuatilia nani wamiliki wa TV , Magazeti ya nchi za Magaharibi. Unajua akina Elon Musk wanafanya nini X.
Kwanini Waandishi wa Habari walioonyesha habari zinazokinzana na matakwa , wanafukuzwa kazi

Nilikueleza umesoma The Haaretz na jerusalem Post! Maana yangu, ukisoma magzeti hayo ya Israel utabaini mengi.

Mbona wanaomba msaada wakitaka kufanya shambulio!
Ubora upi? Ukilinganisha na nini? Ni kweli, ukilinganisha na Hamas wanaotengeneza silaha uani.
Unadhani kwanini Saddam aliondolewa! Kwanini wanataka Iran ishambuliwe

Kwavile hujuia, nitakupa shule. Israel ilitaka Marekani washambulie Iran, Obama alikataa kwa kusema hapeleki Askari wake. Huo ndio msingi wa Mazungumzo ya 'Nuklia' kati ya US na Iran na kufikia mkataba, na chanzo cha ugomvi kati ya Obama na Nyahu

Trump alipoingia akafuta Mkataba huo kwa shinikizo la BB Nyahu ili washambulie Iran. Wakamuua kiongozi wa Nuklia na kiongozi wa Jeshi Qaseem. Iran ilijibu pigo lililoumiza Askari wa US. Trump akanywea.

Biden alikataa kushambulia Iran ukawa ugomvi na Nyahu. Trump alipoingia Israel ikasema ni fursa ya kushambulia Iran, Trump amenusa na kuamua kurudia kwa Mkataba wa Obama.
Hivi leo wanaongea Rome, Italy.
Swali, ikiwa Israel ina jeshi lenye uwezo kwanini haiendi yenyewe kupambana.

Pili, Al Asaad alikuwa Tishio sana kwa Israel ndio sababu ya kusaidia makundi kumuondoa

Umeandika haya '' the most moral army on the planet'' Echolima, unajua maana ya maneno hayoHebu fafanua , nina wasi wasi sana kama unaelewa maana yake!

Hivi unajua Askari wa Israel wameonyeshwa na TV zote Duniani '' WAKIWAFIRA'' wafungwa Palestina
Kwani ubakaji una maana gani kwako
Kuzuia chakula na kupiga Hospitali si mauaji ya wasio na Hatia!

Unasema Hamas ni Magaidi! Well, aliyefadhili Hamas kwa miaka 16 ni BB Nyahu. Unjaua hilo!

Mkataba huo ulisainiwa wapi!
Nchi za Magharibi hazikutambua ushindi wa Hamas, sasa Mkataba uliingiwaje na nani na wapi

Lini kulikuwa na mazungumzo ya two state solution. Nini kilisababisha I.Rabin kuuawa.
Umeona Video za miaka 20 za BB akikataa two state solution?
Tangu 2004 lini kulikuwa na mazungumzo kati ya pande mbili.

Unajua kwanini Israel iliwafadhili Hamas? Kwa taarifa yako, lengo lilikuwa kuwagawa Wapalestina ili kuua wazo la two state solution. Haya mambo ni elementary mbona huyajui!

Nakuambia hujui kinaendelea nini. Baada ya kuuawa viongozi wa Hezbollah, nini kilifuata.
Unajua nini kilitokea South Lebanon! Kwanini Israel ilikubali mkataba wa kusitisha mapigano.
Biden alikataa kuingiza Askari wake! kwa taarifa yako.

Gaza imekuwa kifusi, baada ya miaka 2 ya Mabomu , Hamas wameondoka?
Kwani hukuona wakati wa kubadilisha Wafungwa.
Viongozi wangapi wa Hamas wameuawa tangu iasiswe, je, Hamas imetoweka

Kama njia za Iran zimefungwa, mkataba na Hezbollah ulikuwa wa nini?
Unajua Iran imewekewa vikwazo kwa muda gani na kwasababu gani!

Hujui kabisa, wewe unangozwa na hisia tu za mambo ya Iman! Unajua kwanini nimeamua kukuelewesha! Ninataka nikusaidie baada ya kujua hujui na hutaki kujua kwamba hujui! Haya si mambo ya kilokole. Ni mambo ya siasa za Dunia zinazoingiliana. Yanahitaji ufahamu si kusimuliwa au kusoma headlines! Mashariki ya kati kuna mengi!

Sitaki uachane! Ninataka ujifunze na uwe na ufahamu. Tuendelee na mjadala nikupe shule maana kazi ya kutoa elimu ni sadaka !

Hapana usiachane nazo, ila nakukumbusha unaadhirika!
Don't even bother...
This is a mental case of sociopath with obsessive compulsory disorder on phycology of obsession called "Jerusalem Syndrome".......
 
Kilaza pro max
Yaani total idiot.
Hujui hata kujibu hoja kwa kutumia facts na evidence...
Wewe ni mbuzi, na nilikuwa sahihi kusema wewe ni pumbavu.....na kilaza , elimu au biashara ilikushinda ukaamua kuangukia kwenye ujinga wa mahaba ya ngano za mashariki ya kati, wewe ni zero brain.....
Unajibu hoja kwa kuuliza "inakuuma nini"....f@kin dimwit....!

Nitajie Hospitali moja iliyokutwa na Vifaa na Magaidi. Juzi wameuawa watu wa Red cross! unasemaje juu ya hilo? Mwaka jana waliuawa ''World central Kitchen'' unasemaje juu ya hao!
Kasome '' International Federation of Journalists'' au IFJ. Tatizo utakalokumbana nalo ni lugha, tafuta msaada utaelewa!
Don't even bother...
This is a mental case of sociopath with obsessive compulsory disorder on phycology of obsession called "Jerusalem Syndrome".......
call it what you want
Waandishi wote wa Mashirika kama CNN, BBC n.k. kabla ya taarifa husema '' Katika safari hii tunaongozwa na askari wa Israel'' Kauli hii ni kwa ajili ya maadili ''ethics'' za kazi zao kwamba kinachoeleza si 'independent''.

Aha! si umesema ni jeshi kubwa middle east! hakuna wa kupambana naye!

Mwaka 1978 ulikuwa Vitani Kagera kwa mujibu wa simulizi zako. Tena ukasema ulichukuliwa na ndio ilikuwa mara yako ya kwanza kuona maiti. Hapa ulimaanisha askari wa JWTZ waliouawa.

Leo unasema ulikuwa Israel! hata kama ulikwenda huko, sidhani kama ulielewa kitu! kwa haya unayoandika ima umesahau au hukujua! kimoja kati ya hivyo ni sahihi

Rules of engagement za Vita zinasema Raia wanapewa ulinzi na misaada ya kibinadamu.

Marekani imepigana vita Iraq na Pakistan, lini walizuia misaada ya chakula na Dawa? Lini walibomoa Hospitali?Hata pale walipofanya makosa, kwanza, walikubali na kuomba radhi kwa kutofuata ''rules of engagement' Vita si kurusha risasa na mabomu, wewe ulikuwa askari ! mbona haya ni basic kwa askari.

Chakula kwenda Gaza si kwa Hamas ni kwa Raia wasio na hatia na hilo si fadhila, ni sheria za Kimataifa zinazoongoza vita '' rules of engagement'. Ni kanuni za Kibaindamu kwa wenye maadili.

Halafu unasema ni '' morally ethical army'' ndio maana nakuambia hujui lkiingereza. Neno ''moral'' lina maana yake. Wewe unataka wauawe Wapalestina wasio na hatia. Walokole hawana Imani mbovu kiaisi hicho! Tofauti yako wewe na Hamas ni ipi?

Hujui kiingereza! huwezi kuwa na jeshi la maadili linalopiga Hospitali. Huwezi kuwa na jeshi la maadili linalozuia chakula kwa Watoto , Wanawake wafe. Huwezi kuwa na jeshi la maadili linalompiga msichana wa miaka 8 risasi mchana kweupe. Huwezi kuwa na maadili UKIFIRA wafungwa!

Kwahiyo ''UFIRAUNI'' ni jambo la kawaida! Lakini jiulize, Mfungwa mwenye Pingu anainamishwa na KUFIRWA hilo unaliona la kawaida. Kesho unaimba mapambio ya kilokole! Morally bankrupt.
Ukipelekwa magereza UKAFIRWA unaliona jambo la kawaida! By the way ulikwenda kusomea nini huko!

ok, fair enough! sasa unaposema jeshi la maadili, ni yapi hayo!

Ndio maana nakuambia hujui, hakuna kitu kinachoitwa ''mkataba usio rasmi''. Ni ima mkataba au la.

Hakuna mkataba! Period. Hayo mengine unaumba umba tu kwasababu hujui.

Chukua shule hiii hapa
Uchaguzi wa Palestina , Hamas walishinda na aliyethibitisha hilo ni Rais wa Zamani wa Marekani Jimmy Carter aliyekuwa msimamizi wa Kimataifa. Mataifa ya Magharibi na Israel wakakataa kutambua.
BB Nyahu akaona fursa, akaamua kuwapa Hamas pesa na kazi ili kuwagawa na PLO ya West Bank.

Mkakati ulifanikiwa kwasababu Palestina waligawanyika, PLO wakitaka two state solution, Hamas wakisisitiza kurudishwa maeneo yaliyotekwa kwanza. Mazungumzo yalipoanzishwa na Norway, Israel wakasema '' Tunaongea na nani'? PLO au Hamas! Hakujawa na Uchaguzi tangu wakati huo ili ''kulinda'' Hamas isishindwe na mkakati uendeleee. Hadi hapo kukawa na mkwamo, wakafanikiwa

Mkakati uliwatokea puani Oktoba 7, Wachambuzi wote wa Israel na nje, wanaeleza ilikuwa kosa kubwa sana kuendelea na Hamas badala ya PLO ndio maana wanataka Uchunguzi dhidi ya BB.
Haya huyapati kwa kibusa busa ! you need to read and understand.

Ulikuwa vitani 1978! kama ulisomea huko kuna vitabu uliacha! nina shaka ulikuwa na kazi zingine!
 
Kasome '' International Federation of Journalists'' au IFJ. Tatizo utakalokumbana nalo ni lugha, tafuta msaada utaelewa!
Kwanza uelewe hiyo IFJ jeshini au vitani hawajitambui kabisa. Kama unajua Nina tatizo la lugha si ungefasiri sasa. Hiyo IFJ kipindi cha vita usiwategemee utakufa kibudu tu.
Nitajie Hospitali moja iliyokutwa na Vifaa na Magaidi. Juzi wameuawa watu wa Red cross! unasemaje juu ya hilo? Mwaka jana waliuawa ''World central Kitchen'' unasemaje juu ya hao!
Siwezi kukutajia kila hospitali lakini hospitali yoyote iliyokuwa na miundombinu ya kigaidi na ikatumika kuwashambulia askari wa Israel kutokea hapo hiyo inakosa hadhi ya kuitwa Hospital. Na ndiyo maana zilibomolewa. Na usifikiri Israel ni wajinga Kia si cha kubomoa shale,misikiti,makanisa na hospital magaidi wa Hamas walishajijenga sana huko Gaza na walikuwa wanajua kabisa kwenye maeneo hayo Israel hawawezi kufanya kitu. Kinyume chake ndicho kimewatokea na sasa wanalalamika kwa sababu hawana ujanja tena hakuna sehemu ambako watakimbilia wasifuatwe na majeshi ya Israel.
Kuna kitu kinaitwa ''rules of engagement''. Kuna sheria za Kimataifa zinazo govern mambo ya Vita.
Wewe si ulikuwa askari! inakuwaje hujui vitu basic kama hivi
Kuna pia Military-Doctrines ambazo kila mwanajeshi akiwa vitani lazima azifuate na endapo Rules of engagement ikikinzana na Military-Doctrines basi hapo hapo Military-Doctrines zina Take place.
Mambo kama haya ndiyo yanawasumbua sana Israel kwa kuruhusu Rules of engagement na use of force policy katika vita.
Nilimsifu sana Magufuli kuziba mianya yote ya Rules of engagement na Use of force policy katika suala la kibiti na kama angeruhusu hilo magaidi hao wangepata nguvu kubwa kusumbua Tanzania.
Kila wakati nasema magaidi daima wanatumia fursa wanajua kuna sheria na wao wanazitumia hizo kama Loop-hole.
Waandishi wote wa Mashirika kama CNN, BBC n.k. kabla ya taarifa husema '' Katika safari hii tunaongozwa na askari wa Israel'' Kauli hii ni kwa ajili ya maadili ''ethics'' za kazi zao kwamba kinachoeleza si 'independent''.
Kwa sasa hivi hakuna mwandishi wa habari anayeruhusiwa kwenda mstari wa mbele hii ni kutokana na UMBEYA wa waandishi hao maana kuna wengine wanafanya kazi na adui na kufanya hivyo kwa sasa ni kuwaweka askari wako hatarini na pia waandishi wanajiweka kwenye hatari wao wenyewe huko Gaza waandishi wako huko for their own risk wasilaum mtu.
Aha! si umesema ni jeshi kubwa middle east! hakuna wa kupambana naye!
Kwa Mashariki ya kati mpaka Uajemi hakuna jeshi dogo na zuri kama la IDF!! Labda upende tu ubishi uliokuwa na maana!!
Mwaka 1978 ulikuwa Vitani Kagera kwa mujibu wa simulizi zako. Tena ukasema ulichukuliwa na ndio ilikuwa mara yako ya kwanza kuona maiti. Hapa ulimaanisha askari wa JWTZ waliouawa.

Leo unasema ulikuwa Israel! hata kama ulikwenda huko, sidhani kama ulielewa kitu! kwa haya unayoandika ima umesahau au hukujua! kimoja kati ya hivyo ni sahihi
Nilikuwa huku Jan 9,1977 mpaka Oct 20,1978 na Oct 30,1978 vita vilianza/kutangazwa hapo sijaelewa shida yako ni nini!!
Rules of engagement za Vita zinasema Raia wanapewa ulinzi na misaada ya kibinadamu.

Marekani imepigana vita Iraq na Pakistan, lini walizuia misaada ya chakula na Dawa? Lini walibomoa Hospitali?Hata pale walipofanya makosa, kwanza, walikubali na kuomba radhi kwa kutofuata ''rules of engagement' Vita si kurusha risasa na mabomu, wewe ulikuwa askari ! mbona haya ni basic kwa askari.

Chakula kwenda Gaza si kwa Hamas ni kwa Raia wasio na hatia na hilo si fadhila, ni sheria za Kimataifa zinazoongoza vita '' rules of engagement'. Ni kanuni za Kibaindamu kwa wenye maadili.
Kipindi cha vita usitegemee sana Rules of engagement au Use of force policy zitafanya kazi. Vitani si lelemama vitani kuna Military Doctrines ambazo lazima zifuatwe hawawezi kufuata hizo Rules za kiraia ambazo zimętunga na watu wasiojua hata vitani kukoje.
Ndugu vitani ni Life and death.

Kwa miaka mingi majeshi ya Israel/wanajeshi wa israel wamekuwa wakisumbuliwa na watoto chini ya miaka 18 wanawafanyia fujo watakavyo huku wakiwa na waandishi wa habari na kamera zao tayari kuangalia na kupiga picha uvunjifu wowote wa Rules of engagement na kukimbilia kutangaza askari wa Israel kanyanyasa watoto wasio na hatio wakati si kweli.
Sasa hivi ukileta ujinga huo kuna sheria Kali sana unaweza hata kupoteza maisha wewe na watoto wako sasa hivi zinatumika sheria za kijeshi.

Kila kitu walichokifanya Marekani ni lazima Israel wafanye!!!
Marekani imepigana vita Iraq na Pakistan, lini walizuia misaada ya chakula na Dawa?
Binafsi sijawahi kuona vita ya Marekani na Pakistan labda nikumbushe ilitokea lini??

Chakula kwenda Gaza si kwa Hamas ni kwa Raia wasio na hatia na hilo si fadhila,
Miaka yote magari yote yalikuwa yanakabidhiwa magaidi wa Hamas na wao ndiyo wa agawa hicho chakula!!
Halafu unasema ni '' morally ethical army'' ndio maana nakuambia hujui lkiingereza. Neno ''moral'' lina maana yake. Wewe unataka wauawe Wapalestina wasio na hatia. Walokole hawana Imani mbovu kiaisi hicho! Tofauti yako wewe na Hamas ni ipi?
Mimi najua kimatumbi tu wewe ndiye unajua kiingereza mimi sijasema morally ethical army mimi nilisema “The IDF is the most Moral army on the Planet”
Hujui kiingereza! huwezi kuwa na jeshi la maadili linalopiga Hospitali. Huwezi kuwa na jeshi la maadili linalozuia chakula kwa Watoto , Wanawake wafe. Huwezi kuwa na jeshi la maadili linalompiga msichana wa miaka 8 risasi mchana kweupe. Huwezi kuwa na maadili UKIFIRA wafungwa!
Ndiyo Mimi sijui kiingereza najua tu Kimatumbi, Kwa sababu huko vitani yote kwako ni sawa tu, lakini kwa askari ambaye mwenzake kashambuliwa na kuuliwa na mtu ambaye kajificha kwenye hospitali harafu akaiacha hospital hiyo ilivyo basi anapaswa avue gwanda avae kiraia maana hafai kuwa askari.

Ni uzushi tu kusema kupigwa risasi mtoto wa miaka 8 lakini husemi chochote wakati Magaidi wa Hamas waliteka nyara familia ya Bibas Mama na watoto wake wawili Kfri mwenye miezi 8 na Ariel mwenye miaka 4, walibaka Mama yao kisha wakawaua watoto wake kwa kuwanyonga kutumia mikono iligundulika na wataalamu (Forensic Lab). Na wakati wanarudisha maiti magaidi hao walikuwa na furaha na bashasha sana hayo yote wewe huyaoni unajali tu taarifa za mtoto wa miaka 8 ambaye hujui Alipigwa risasi kwa mazingira gani wakati unajua kabisa kuwa magaidi kotę duniani wanawatumia wanawake na watoto kama Kinga.

Kwahiyo ''UFIRAUNI'' ni jambo la kawaida! Lakini jiulize, Mfungwa mwenye Pingu anainamishwa na KUFIRWA hilo unaliona la kawaida. Kesho unaimba mapambio ya kilokole! Morally bankrupt.
Ukipelekwa magereza UKAFIRWA unaliona jambo la kawaida! By the way ulikwenda kusomea nini huko!
Vitu hivyo vinafanyika sana popote hasa magerezani,Majeshini na sehemu żenye mikusanyiko ya watu wengi si jambo jema lakini yanafanyika upende usipende.!!
Ulikuwa vitani 1978! kama ulisomea huko kuna vitabu uliacha! nina shaka ulikuwa na kazi zingine!
Siku wa na kazi nyingine zaidi ya Jeshi!,
 
Hiyo IFJ kipindi cha vita usiwategemee utakufa kibudu tu.
Hapana! soma taarifa ya Waandishi waliouawa. IFJ hawaendi kupigana. Kilichokusidiwa ni wewe kusoma taarifa ujue Waandishi waliouawa na wanatoka Nchi gani. Kwa akili yako waliouawa ni Wapalestina. Ndio maana nakuambia kasome taarifa za IFJ. Utapata tabu ya lugha lakini jitahidi
Siwezi kukutajia kila hospitali lakini hospitali yoyote iliyokuwa na miundombinu ya kigaidi na ikatumika kuwashambulia askari wa Israel kutokea hapo hiyo inakosa hadhi ya kuitwa Hospital.
Unakiri kwamba huna ushahidi wa Hospitali yoyote kuweka silaha au kuhifadhi Magaidi. Kwa Taarifa yako Hospitali zote zimekaguliwa na Israel, na hawajaona hata kipande cha risasi.
Kinachokusumbua, umelishwa habari ukameza ! matokeo yake ndio haya, ukiulizwa ushahidi Huna

Hoja ya Hospitali na Mashule huna ushahidi nayo! shut up
Na usifikiri Israel ni wajinga Kia si cha kubomoa shale,misikiti,makanisa na hospital magaidi wa Hamas walishajijenga sana huko Gaza na walikuwa wanajua kabisa kwenye maeneo hayo Israel hawawezi kufanya kitu.
Ushahidi wa Shule au Hospitali upo wapi? Tutajie shule moja au Hospitali moja iliyokutwa na Silaha
Kinyume chake ndicho kimewatokea na sasa wanalalamika kwa sababu hawana ujanja tena hakuna sehemu ambako watakimbilia wasifuatwe na majeshi ya Israel.
Unajua ukubwa wa eneo la Gaza!
Kuna pia Military-Doctrines ambazo kila mwanajeshi akiwa vitani lazima azifuate na endapo Rules of engagement ikikinzana na Military-Doctrines basi hapo hapo Military-Doctrines zina Take place.
Mambo kama haya ndiyo yanawasumbua sana Israel kwa kuruhusu Rules of engagement na use of force policy katika vita.
Military doctrine ina lay out the general outlook ya vita. Kwamba , vita ipiganwe kwa utaratibu gani.
Unafahamu kabisa, unaweza kushambulia, kulinda au kuzuia. Military doctrine ina guide Vita, haielezi principles.

Rules of engagement zinaeleza factors nyingine katika eneo la vita kama uwepo wa Raia na mali zao.
Kabla ya kufanya maamuzi, lazima jeshi liangalie ''collateral damage'' ambazo ni Raia n.k.

Marekani ilikataa kutumia MOAB kwasababu hayana precision, collateral damage ni kubwa. Wamezuai kupeleka mabomu hayo Gaza kwasababu hizo. Israel inatumia waliyokuwa nayo lakini ni kwa kukiuka ''rules of engagement'' . Kumbuka Marekani imekataa! UK wamelkataa n.k.

Jeshi haina maana kurusha mabomu randomly! Wewe ulikuwa jeshini haya kwanini huyajui!
Nilimsifu sana Magufuli kuziba mianya yote ya Rules of engagement na Use of force policy katika suala la kibiti na kama angeruhusu hilo magaidi hao wangepata nguvu kubwa kusumbua Tanzania.
Bado JWTZ walitumia rules of engagement kwasababu hakuna Kijiji kilichochomwa.
Hivi wewe si ulikuwa askari umesomea Israel, mbona hujui mambo basic kama haya

Rules of engagement hazina maana usipigane, zina maana lazima kuzuia collateral damage na ku adhere katika ubinadamu.

Rules of engagement zinasema askari akijisalimisha hauawi! Zinasema askari wa upande wowote anatibiwa , mashirika ya kibinadamu kama red cross na yale ya chakula hayashambuliwi.

Ndio maana nilikuuliza , red cross na World Kitchen walishambuliwa kwa kosa gani! Hukujibu kwasababu unajua jibu lake au hujui kabisa jibu lake. Ulikuwa askari wewe, haya kwanini huyajui!
Kwa sasa hivi hakuna mwandishi wa habari anayeruhusiwa kwenda mstari wa mbele hii ni kutokana na UMBEYA wa waandishi hao maana kuna wengine wanafanya kazi na adui na kufanya hivyo kwa sasa ni kuwaweka askari wako hatarini
Kwahiyo CNN, MNSB, BBC, CFI n.k. nayo yanasaidiana na Hamas!
na pia waandishi wanajiweka kwenye hatari wao wenyewe huko Gaza waandishi wako huko for their own risk wasilaum mtu.
Je hiyo ni kazi ya Israel kuwazuia!
Kwa Mashariki ya kati mpaka Uajemi hakuna jeshi dogo na zuri kama la IDF!!
Vipi Hezbollah kama wangekuwa na vifaa kama Israel. Vipi miaka 2 Gaza inakuwaje
Nilikuwa huku Jan 9,1977 mpaka Oct 20,1978 na Oct 30,1978 vita vilianza/kutangazwa hapo sijaelewa shida yako ni nini!!
Maelezo yako mwenyewe yanasema '' uliokotwa mitaani kujiunga na JWTZ'' wakati vita inaendelea. Hiyo ndio mara yako ya kwanza kujiunga na Jeshi na kuona maiti. Leo unatuambia ulikuwa Israel na IDF
Kipindi cha vita usitegemee sana Rules of engagement au Use of force policy zitafanya kazi. Vitani si lelemama vitani kuna Military Doctrines ambazo lazima zifuatwe hawawezi kufuata hizo Rules za kiraia ambazo zimętunga na watu wasiojua hata vitani kukoje.Ndugu vitani ni Life and death.
Rules of engegement zimetokana na majeshi! Hujui kama kimyaa
Kila kitu walichokifanya Marekani ni lazima Israel wafanye!!!
Rules of engagement ni World wide! please ulikuwa askari wa aina gani usiyejua basic things kama hizi!!
Binafsi sijawahi kuona vita ya Marekani na Pakistan labda nikumbushe ilitokea lini??
Fair enough, I meant Afghanistan!
Miaka yote magari yote yalikuwa yanakabidhiwa magaidi wa Hamas na wao ndiyo wa agawa hicho chakula!!
OK! nani alikuwa anawapa ''magaidi'' misaada
Lakini kwa askari ambaye mwenzake kashambuliwa na kuuliwa na mtu ambaye kajificha kwenye hospitali harafu akaiacha hospital hiyo ilivyo basi anapaswa avue gwanda avae kiraia maana hafai kuwa askari.
Taja Hospitali moja tu ku back up madai yako. Kama huwezi kutaja, kaa kimya
Vitu hivyo vinafanyika sana popote hasa magerezani,Majeshini na sehemu żenye mikusanyiko ya watu wengi si jambo jema lakini yanafanyika upende usipende.!!
Huwezi ukahalilisha Mfungwa ktk Pingu KUFIRWA eti kwasababu aliyefanya UFIRAUNI huo ni mwi Israel.
Umelaani Hamas kwa Ubakaji lakini hutaki kulaani Ubakaji na Ufiraji wa IDF. You must be sick

Sikiliza, unyama na ushetani hauna kidogo au afadhali, sijui Ulokole unasemaje lakini watu wenye akili timamu hawawezi kuchagua Ubakaji Haramu wa Hamas na Ufriaji halai wa Israel! You must be sick my friend
Siku wa na kazi nyingine zaidi ya Jeshi!
Nadhani ulikwenda kuvuna mizaituni!
 
Inawezekana muda unaoutumia kuwawaza waisrael na vipi uandike maneno mazuri ya kupendeza dhidi yao ungeutumia kuwaza Yako saa hizi ungekuwa umeshagundua kitu na wewe, hata kama kingekuwa kimefaa jamii Yako tu ya mtaani Bado ingesaidia.
Mkuu nauza vipedo na makobaz, naomba niunganishe na watu nawe utapata maji ya kunywa.
 
Anaenda kukopa nje akija hapa utaskia "hela za mama" kwenye madeni utaskia "deni la taifa" watoto wa mjini wanasema "wanatuzingua"!!!
Bongo rais akiambiwa aachie mamlaka nyengine kuchagua viongozi wa kusimamia uchaguzi ili ajue kama miaka yote waliyoambiwa wanashinda kwa kishindo walikuwa wanashinda kwa wizi au kwa sababu wananchi wanawaelewa anabambikiza watu kesi za uhaini wengine anakamata anaua.

$H!t country!
 
Back
Top Bottom