Hii ndiyo Israel sasa!!

Hii ndiyo Israel sasa!!

Inawezekana muda unaoutumia kuwawaza waisrael na vipi uandike maneno mazuri ya kupendeza dhidi yao ungeutumia kuwaza Yako saa hizi ungekuwa umeshagundua kitu na wewe, hata kama kingekuwa kimefaa jamii Yako tu ya mtaani Bado ingesaidia.

Wao hawana muda wa kukujadili sababu Imani yao kwako ni kuwa wewe ni sub-human tu hivyo hata hauhitajiki kuzungumzwa hata kwa dakika.......wapo na yao tu na hatua zinapifwa. Fanya jambo uwathibitishie kuwa na wewe human.....kuwa hivi ni sawa na kuthibitisha tu
 
Inawezekana muda unaoutumia kuwawaza waisrael na vipi uandike maneno mazuri ya kupendeza dhidi yao ungeutumia kuwaza Yako saa hizi ungekuwa umeshagundua kitu na wewe, hata kama kingekuwa kimefaa jamii Yako tu ya mtaani Bado ingesaidia.

Wao hawana muda wa kukujadili sababu Imani yao kwako ni kuwa wewe ni sub-human tu hivyo hata hauhitajiki kuzungumzwa hata kwa dakika.......wapo na yao tu na hatua zinapifwa. Fanya jambo uwathibitishie kuwa na wewe human.....kuwa hivi ni sawa na kuthibitisha tu
Mkuu kama vile wengine wanabishana yanga na simba kutwa nzima mpaka kula hawali na wengine wamekua vipenzi wa Israel .. Haya ni maisha ni machaguo tuu
 
Bongo rais akiambiwa aachie mamlaka nyengine kuchagua viongozi wa kusimamia uchaguzi ili ajue kama miaka yote waliyoambiwa wanashinda kwa kishindo walikuwa wanashinda kwa wizi au kwa sababu wananchi wanawaelewa anabambikiza watu kesi za uhaini wengine anakamata anaua.

$H!t country!
 
Bongo rais akiambiwa aachie mamlaka nyengine kuchagua viongozi wa kusimamia uchaguzi ili ajue kama miaka yote waliyoambiwa wanashinda kwa kishindo walikuwa wanashinda kwa wizi au kwa sababu wananchi wanawaelewa anabambikiza watu kesi za uhaini wengine anakamata anaua.

$H!t country!
Hivi Abdul huwa anaishi Dar au Zanzibar?
 
Inawezekana muda unaoutumia kuwawaza waisrael na vipi uandike maneno mazuri ya kupendeza dhidi yao ungeutumia kuwaza Yako saa hizi ungekuwa umeshagundua kitu na wewe, hata kama kingekuwa kimefaa jamii Yako tu ya mtaani Bado ingesaidia.

Wao hawana muda wa kukujadili sababu Imani yao kwako ni kuwa wewe ni sub-human tu hivyo hata hauhitajiki kuzungumzwa hata kwa dakika.......wapo na yao tu na hatua zinapifwa. Fanya jambo uwathibitishie kuwa na wewe human.....kuwa hivi ni sawa na kuthibitisha tu
Huyo ni kilaza fulani hivi elimu ilipita kushoto...
Halafu ukute ndio walikuwa na notisi zote kwenye madaftari shuleni, ila kila mtihani ni sifuri, hata sisi wahuni watoro tunamkimbiza...
Na kwenye vipindi vya dini ndio waliokuwa wanatuimbisha......
 
Echolima1 una mapenzi yanayokutia upofu lakini kubwa zaidi huna ufahamu wa mambo ya Dunia
1. IDF unayosema inafanya kazi kutoka Pentagon USA. Hakuna shambulio la IDF lisiloidhinishwa Pentagon
2. USA mwaka huu imeipata Israel msaada wa Silaha za Dollar Blilioni 20 sawa na Tsh 50Trilioni (Bajeti ya TZ)
3. Kwanini unadhani IDF inashinikiza USA wapige Iran? Kwanini wasiende wenyewe
4. Kwanini Israel ilishinikiza Sadam na Gadafi washughulikiwe!
5. Silaha unazosema zimetatuaje tatizo la middle east!
 
Huwa nawaambia makobaz kwamba Israel imepambana na miungu wengine waliojaribu kuifuta kama akina Baal, sembuse wao aliyebuniwa juzi tu.
 
Inawezekana muda unaoutumia kuwawaza waisrael na vipi uandike maneno mazuri ya kupendeza dhidi yao ungeutumia kuwaza Yako saa hizi ungekuwa umeshagundua kitu na wewe, hata kama kingekuwa kimefaa jamii Yako tu ya mtaani Bado ingesaidia.

Wao hawana muda wa kukujadili sababu Imani yao kwako ni kuwa wewe ni sub-human tu hivyo hata hauhitajiki kuzungumzwa hata kwa dakika.......wapo na yao tu na hatua zinapifwa. Fanya jambo uwathibitishie kuwa na wewe human.....kuwa hivi ni sawa na kuthibitisha tu
Wewe unayetumia muda wako mwingi kuwaza magaidi umegundua kitu gani cha kusaidia jamii yako??
 
Halafu anaenda kununua vifaa vya kivita nchi nyingne 😂😂😂
 
Mkuu kama vile wengine wanabishana yanga na simba kutwa nzima mpaka kula hawali na wengine wamekua vipenzi wa Israel .. Haya ni maisha ni machaguo tuu
Kabisa Mkuu.Hapangiwi mtu kitu Cha kukipenda na kukifuatilia.
 
Echolima1 una mapenzi yanayokutia upofu lakini kubwa zaidi huna ufahamu wa mambo ya Dunia
1. IDF unayosema inafanya kazi kutoka Pentagon USA. Hakuna shambulio la IDF lisiloidhinishwa Pentagon
2. USA mwaka huu imeipata Israel msaada wa Silaha za Dollar Blilioni 20 sawa na Tsh 50Trilioni (Bajeti ya TZ)
3. Kwanini unadhani IDF inashinikiza USA wapige Iran? Kwanini wasiende wenyewe
4. Kwanini Israel ilishinikiza Sadam na Gadafi washughulikiwe!
5. Silaha unazosema zimetatuaje tatizo la middle east!
Nguruvi3 inaonyesha Una chuki zako binafsi juu ya Israe!! Nakujibu maswali yako kama ifuatavyo:
1. Israel Ina washirika wake (Allies) kuna shida gani Waki share information?
2. Israel wakipata msaada kutoka Marekani wewe unaumia sana sehemu gani ya mwili wako? Wewe unaona kuna shida gani?
3. Kama niliposema hapo mwanzo Israel ana Washirika (Allies) wake wewe unaona au unapata shida gani Wakishirikiana kufanya Operation zao?
4. Hakuna udhibitisho wa wazi kuonyesha Israel ilishinikiza Saddam na Gaddaf waondolewe. Hata hivyo ma Dikteta hao kwa pamoja walikuwa wana mpango wa kuitishia Israel kuishambulia sasa wewe unaona kuna ubaya gani Israel kushinikiza Madiktea hao waondolewe kama wao wenyewe tu walitaka kuiondoa Israel 🇮🇱?
5. Silaha za Israel kazi yake si kutatua tatizo la Mashariki ya kati silaha hizo ni kwa ajili ya kujihami na kujilinda na maadui wanaotaka kuiangamiza Israel 🇮🇱. Wewe tena unaona wivu sana Israel ikiwa na silaha zake za kujilinda unatamani sana wakose kabisa ili wafutwe kwenye uso wa dunia!! Kwa taarifa yako tu ndoto yako haitatimia utafutika wewe na ukoo wako na Israel itaendelea kuwapo.
 
Katika mataifa 10 yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani Israel haipo.

Israel iendelee kupambana na migambo wa hapo M.E hafikii hata level za South Korea
 
Katika mataifa 10 yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani Israel haipo.

Israel iendelee kupambana na migambo wa hapo M.E hafikii hata level za South Korea
Wewe wasema hakuna wa kukupinga lakini pamoja na hayo huwezi kubadirisha kitu chochote Magaidi watapigwa bila shida yoyote. Kubwabwaja kwako hakuwezi kubadirisha lolote kuhusu Military Mighty ya Israel, wewe endelea kuumia tu na ukitaka meza wembe!!
 
Back
Top Bottom