Hii ndiyo huenda ikawa sababu ya mgongano wa viongozi wa dini

Hii ndiyo huenda ikawa sababu ya mgongano wa viongozi wa dini

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,529
Reaction score
21,530
Screenshot_20251203-125042_Google.jpg
Screenshot_20251203-124841_Chrome.jpg


My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
 
View attachment 3510824View attachment 3510825

My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
🚮🚮🚮

Hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya kufanya propaganda dhidi ya TeC ili kuridhisha moyo wako na kutetea itikadi uliyoruhusu izidi utashi na tafakuri yako binafsi.
 
View attachment 3510824View attachment 3510825

My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
on saturday i got a little accident , lost my stuffs. so am kindly offline _20251203_082736_0000.png
 
Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.
Hakuna MTU wala SERIKALI haijawahi kukataza wala kupinga WAISLAMU kuwa na MAHAKAMA ya KADHI.

Shida kubwa ya WAISLAMU hawataki kuanzisha hiyo MAHAKAMA wao wenyewe.

Wanataka iwe kwenye MFUMO wa SERIKALI, kisheria na IENDESHWE kwa KODI za umma.

Sasa ukishafika hapo, maana yake MFUMO wa KAWAIDA wa MAHAKAMA uliopo unatakiwa KUFA na badala yake kila JAMII yenye mfumo wake wa HAKI ifanye KAZI
Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake
TZ siyo DOLA la KIISLAM ila ni SECULAR, sasa kwa akili zenu NCHI inajiunga vipi kwenye JUMUIYA ya NCHI za KIISLAM wakati siyo NCHI YA KIDINI???

Halafu sababu yenyewe eti KUPOKEA MISAADA???
Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?
Memorandom of Understanding inasemwa sana, na watu wamekaza FUVU hawataki kabisa kuelewa tofauti.

Serikali haitoi hata 100 kuendesha TAASISI za DINI, ila kinachofanyika ni PESA zinatoka kwa WAKRISTO WA UJERUMANI zinakuja nchini.

Serikali inatoa MSAMAHA wa kodi na WATUMISHI kwa baadhi ya Hospitali kwa masharti kuwa:
  • Hizo taasisi za dini zihudumie watu wote bila UBAGUZI
  • Zifuate SERA YA NCHI ya Afya kama MATIBABU BURE kwa WAZEE, WATOTO na WAJAWAZITO.
Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao
Huo msamaha ulikuwepo kwa SHERIA ipi??

Matamko yanakuwa mengi kadri unavyoboronga.

Sasa wewe UNAUWA na KUTEKA watu, unataka watu timamu wenye AKILI TIMAMU wanyamaze??

Unataka kutawala MAJIVU???
Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania
Kwasasa tunaye MKAZA mwana wa Samia, Mohamed Mchengerwa yeye AFUTE hiyo memorandom hata muda huu, maana watu wanabonga vibaya sana.

Au aweke wazi ni pesa kiasi gani SERIKALI imetoa imewapa taasisi za DINI.

Umewahi kusikia hizo pesa hata kwenye KAGUZI za CAG??
 
View attachment 3510824View attachment 3510825

My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
Hakuna raia yeyote hapa Tz anayeweza kuwa na fikra za udini, isipokuwa hizo ni mbinu za watawala wanatumia udini kuwagawa watu.

Mfano wa unayoeleza Oic, kadhi nk nk, kwa nini waislam wenyewe wasiyafuatilie kwenye Serikali wao wenyewe kama ni haki yao, hapo Tec imeingiaje?

Umepiga porojo bila kueleza kirefu Tec walizuiaje Waislam kukosa haki hizo?

Vilio vya waTz ni dhulma za wazi zinazofanywa na Serikali hii ya sasa kukandamiza haki zao: utekaji, mauaji, kubambika kesi, kukiuka misingi za kidemokrasia katika chaguzi, nk nk.

Hapo Tec wanapowasemea raia, wasio na sauti makosa yao yanakuwa wapi?

Hao mashehe wanavyowashambulia wenzao wa Tec kila wanapokemea uozo wa Serikali, mbona wao hatujasikia wakisimama wao kama wao na kutetea haki za wananchi bila kuihusisha Tec?

Tuwaeleweje sisi hawa viongozi, tukisema wamenunuliwa wewe utasemaje?
 
View attachment 3510824View attachment 3510825

My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
Shida ni kobazi wakipandikizwa chuki na kitabu chao Quran. Quran imejaa chuki tupu dhidi ya Wakiristo na Wayahudi. Huhitaji kwenda mbali just google Quran verses that promote hatred against Jews and Christians. Kitabu chao hakina hekima; kina halalisha mizee na midevu yao myekundu kuoa vitoto ambavyo bado havijavunja ungo. Kitabu chao kinahalalisha kuongopa (Taqqya) ili mradi unatetea muislamu mwenzio au uislam. Si ajabu ndiyo maana kila islamists ametoka shimoni na kuja na lugha Amani kwanza haki baadae.
Islamists ni shida duniani kote. Mumrivuruga ulaya na American sasa mnataka kutuvurugia Tanganyika yetu kwa ajili ya muislamu mwenzenu hapo juu.
Na mm nasema mnakoelekea si muda mrefu mtakuwa Boko Haramu na Al Shabab
 
Hakuna MTU wala SERIKALI haijawahi kukataza wala kupinga WAISLAMU kuwa na MAHAKAMA ya KADHI.

Shida kubwa ya WAISLAMU hawataki kuanzisha hiyo MAHAKAMA wao wenyewe.

Wanataka iwe kwenye MFUMO wa SERIKALI, kisheria na IENDESHWE kwa KODI za umma.

Sasa ukishafika hapo, maana yake MFUMO wa KAWAIDA wa MAHAKAMA uliopo unatakiwa KUFA na badala yake kila JAMII yenye mfumo wake wa HAKI ifanye KAZI

TZ siyo DOLA la KIISLAM ila ni SECULAR, sasa kwa akili zenu NCHI inajiunga vipi kwenye JUMUIYA ya NCHI za KIISLAM wakati siyo NCHI YA KIDINI???

Halafu sababu yenyewe eti KUPOKEA MISAADA???

Memorandom of Understanding inasemwa sana, na watu wamekaza FUVU hawataki kabisa kuelewa tofauti.

Serikali haitoi hata 100 kuendesha TAASISI za DINI, ila kinachofanyika ni PESA zinatoka kwa WAKRISTO WA UJERUMANI zinakuja nchini.

Serikali inatoa MSAMAHA wa kodi na WATUMISHI kwa baadhi ya Hospitali kwa masharti kuwa:
  • Hizo taasisi za dini zihudumie watu wote bila UBAGUZI
  • Zifuate SERA YA NCHI ya Afya kama MATIBABU BURE kwa WAZEE, WATOTO na WAJAWAZITO.

Huo msamaha ulikuwepo kwa SHERIA ipi??

Matamko yanakuwa mengi kadri unavyoboronga.

Sasa wewe UNAUWA na KUTEKA watu, unataka watu timamu wenye AKILI TIMAMU wanyamaze??

Unataka kutawala MAJIVU???

Kwasasa tunaye MKAZA mwana wa Samia, Mohamed Mchengerwa yeye AFUTE hiyo memorandom hata muda huu, maana watu wanabonga vibaya sana.

Au aweke wazi ni pesa kiasi gani SERIKALI imetoa imewapa taasisi za DINI.

Umewahi kusikia hizo pesa hata kwenye KAGUZI za CAG??
Lengo la kutambulika na katiba ni kuipa nguvu ya kimamlaka katika kutekeleza shughuli zake,bila kutambulika na sheria mama ufanisi wake utakuwa hafifu

Swala la kusema sijui inagharamiwa na Serikali haina shida sana ,kwasababu ni waislamu hao hao ambao wangehukumiwa na mahakama za serikali ila sasa wanahukumiwa kwa sheria zao kwa mujibu wa dini zao,ni kama unabadilisha ofisi tu,kwa maana kwa mambo yote ya mirathi na ndoa yangeamuliwa na mahakama ya kadhi

Kinachoonekana kizingiti hapa ni udini tu basi,kwanini wao?

Kuhusu OASIS kama sijakosea UMOJA WA NCHI ZA KIARABU, mbona Uganda upo kama sijakosea na husikii kelele zozote zile

Unadharau kuwa ni huduma za jamii tu,mbona serikali yako bado imeshindwa kutatua shida zote za wananchi linapokuja swala la huduma za jamii
 
View attachment 3510824View attachment 3510825

My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
Kwamba hiyo misamaha ya kodi BAKWATA hawaipati au
 
View attachment 3510824View attachment 3510825

My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
Hakuna mgongano wa kidini zaidi ya wahuni wachache waliolipwa pesa kuanzisha kuspin kuelekea D9
 
Lengo la kutambulika na katiba ni kuipa nguvu ya kimamlaka katika kutekeleza shughuli zake,bila kutambulika na sheria mama ufanisi wake utakuwa hafifu
Kutambulika vipi?

Mimi ninachojua Kila taaisi nchini ikiwemo BAKWATA inatambulika. Na ndio maana inaendesha MASHAURI ya MIRATHI na TALAKA.

Ni kitu GANI ambacho kwasasa kisheria hakipo ila kwenye katiba ndio kinaweza kupatikana?
Swala la kusema sijui inagharamiwa na Serikali haina shida sana ,kwasababu ni waislamu hao hao ambao wangehukumiwa na mahakama za serikali ila sasa wanahukumiwa kwa sheria zao kwa mujibu wa dini zao,ni kama unabadilisha ofisi tu,kwa maana kwa mambo yote ya mirathi na ndoa yangeamuliwa na mahakama ya kadhi.

Hii HOJA ndio inaleta UGUMU.

Maana hata sisi kwetu tuna SHERIA na MAHAKAMA za UKOO.

Wakatoliki wana CANON LAWS.

Mahakama za Sasa zitakuwa HAZINA Maana tena.


Kila jamii ina utaratibu wake wa mashauri yake.

Nadhani kazi ya serikali itabaki KUGAWA MAFUNGU ya PESA tu kwa watu, waendeshe MASHAURI yao kwa mujibu wa TARATIBU zao.
Kinachoonekana kizingiti hapa ni udini tu basi,kwanini wao?
Kwanini kwao?

Kwani nani KAPEWA kitu fulani, ambacho wao WAMENYIMWA???
Kuhusu OASIS kama sijakosea UMOJA WA NCHI ZA KIARABU, mbona Uganda upo kama sijakosea na husikii kelele zozote zile

Unadharau kuwa ni huduma za jamii tu,mbona serikali yako bado imeshindwa kutatua shida zote za wananchi linapokuja swala la huduma za jamii
Uganda ilijiunga OIC mwaka 1974 na iliungwa na IDDI AMIN kwasababu zake binafsi za kisiasa na kiutawala.

Kila nchi ina MSINGI wake, Tamaduni zake na MAONO yake.

Ndio maana hata leo Samia analazimisha kujenga UTAMADUNI mpya wa KUUWA WATU, KUTEKA WATU, KUFIRA WATU anaona joto la JIWE NJE na NDANI kwasababu analazimisha watu kufanya maisha ambayo hawajayazoea.

Na alivyo mpumbavu anataka kujenga UDINI wakati, ameshakosana na RAIA, anategemea WANAJESHI na hao WANAJESHI wana DINI zao VILE VILE.

====

Hata Waislam wa Uganda na Kenya Mombasa huwa wanasema kwanini SERIKALI zao zisigawe VYEO vya kisiasa na URAIS kama baina ya UISLAM na UKRISTO kama Tanzania.
 
Shida ni kobazi wakipandikizwa chuki na kitabu chao Quran. Quran imejaa chuki tupu dhidi ya Wakiristo na Wayahudi. Huhitaji kwenda mbali just google Quran verses that promote hatred against Jews and Christians. Kitabu chao hakina hekima; kina halalisha mizee na midevu yao myekundu kuoa vitoto ambavyo bado havijavunja ungo. Kitabu chao kinahalalisha kuongopa (Taqqya) ili mradi unatetea muislamu mwenzio au uislam. Si ajabu ndiyo maana kila islamists ametoka shimoni na kuja na lugha Amani kwanza haki baadae.
Islamists ni shida duniani kote. Mumrivuruga ulaya na American sasa mnataka kutuvurugia Tanganyika yetu kwa ajili ya muislamu mwenzenu hapo juu.
Na mm nasema mnakoelekea si muda mrefu mtakuwa Boko Haramu na Al Shabab
Unahitaji ubongo wako upate taarifa sahihi ni dhahir uko brain washed
 
View attachment 3510824View attachment 3510825

My people,​


Haya yanayoendelea sasa ni kiporo cha mambo ya nyuma ila bahati mbaya kiporo hiki kinapashwa na ubwabwa wa leo,ndio maana tunaona huu msuguano ambao unaendelea hivi Sasa

Ukiangalia historia huko nyuma TEC imekuwa ikilaumiwa kama kizingiti cha baadhi ya mambo ya Waislamu au haki zao kupewa kipaumbele,mfano haki ya kupata Mahakama ya Kadhi,hii mahakama si jambo la kustaajabisha sana,ni kutokuwa na elimu tu ni namna gani inafanya kazi,lakini ni mahakama ambayo inadili na ndoa na mirathi,sitozungumzia sana hapa kwani lengo sio hilo.

Kumekuwa na hitajio la kujiunga na Umoja wa nchi za kiarabu kwa dhumuni la kupata misaada kwa Waislamu kusaidia kutoa huduma mbali mbali za kijamii,hili nalo TEC wamekuwa mwiba katika kufanikiwa kwake

Kumekuwa na Memorandum of Understanding kati ya Serikali na Kanisa ambapo Kanisa linapewa hela na Serikali ili kufanikisha huduma kwa jamii kama hospital na mashule,swali linakuja je Waislamu hawastahili haya?

Kwahiyo ukiangalia kwa mapana yake kuna mambo ambayo Kanisa limefaidika moja kwa moja kutoka Serikalini na wakati Kanisa hilo hilo limekuwa kikwazo kwa Waislamu kushindwa kufikiwa kwa matakwa yao

Na kuna shutuma kwamba TEC imekuwa inatoa matamko mengi sana pindi tu Raisi anapokuwa Muislamu,na kuna taarifa kwamba ile misamaha ya kodi kwa vifaa vya ambavyo vinaagizwa na taasisi za dini,imeondolewa baada ya kugundulika kwamba viongozi hao wanatumia mgongo huo kwa manufaa yao binafsi,sasa Mama Samia Kachomoa king'amuzi watu wanashindwa kuangalia television,ndio makelele hayo mnayosikia kila kukicha,lakini upande wa pili kuna agenda yao

Sasa ukiangalia kinachotokea leo ni kweli TEC wanapigania haki na malalamiko ambayo watanzania wengi tunayo,lakini upande wa pili wanaamsha dude ambalo lilikuwa limelala,ndio hayo unayosikia Kobazi nao wanaliamsha.

Kwahiyo sio kwamba Kobaz hawajielewi,au wanaropoka hovyo au hawajaenda shule kama baadhi yenu mlivyojawa na propaganda za zamani kwamba Waislamu hawana shule kichwani,acheni hizo fikra zenu hasi

Kwahiyo kuna kiini cha haya mambo ambayo bado hayajatafutiwa ufumbuzi kati ya Waislamu na Wakristo ambayo nayo inatakiwa itafutiwe Tume ya kujua Chanzo na Kujua suluhisho lake

Ila haya kwasasa yasubiri kwanza,tudili na lile kubwa ambalo lipo mbele yetu,kikubwa sisi wafuasi wa dini tusiingie kwenye uhasama wa dini zetu,tuendelee kuwa imara kupendana na kuvumiliana kama ambavyo tumekuwa tukifanya siku zote

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Ni hayo tu!
1. MaSheikh wapo sawa kupinga Maandamano ya kihuni ambayo madhara yake ni makubwa mno na sioni ubaya kupinga Maandamano ya namna hiyo

2. Wamekataa unafiki wa Wakatoliki kuhubiri haki wakati Waislamu wakipigania haki zao na kuonewa hawasemi kitu Wala kusapoti mfano ;
I)Mauaji ya Waislamu mwembe chai ,
ii) Mauaji ya Pemba
iii ) MaSheikh kuonewana kesi za ugaidi , bila kufungukiwa mashtaka
iii) Mahakama za kadhi
iv) nk
Hapo Wakatoliki watetezi wa haki walikuwa wapi wakati Waislamu wanaonewa na kudai haki zao ?

Zipo clip kiongozi wa kikiristo akitaka Rais Samia asivae hijabu , huo sio uchokozi wa kidini ?
 
Kutambulika vipi?

Mimi ninachojua Kila taaisi nchini ikiwemo BAKWATA inatambulika. Na ndio maana inaendesha MASHAURI ya MIRATHI na TALAKA.

Ni kitu GANI ambacho kwasasa kisheria hakipo ila kwenye katiba ndio kinaweza kupatikana?


Hii HOJA ndio inaleta UGUMU.

Maana hata sisi kwetu tuna SHERIA na MAHAKAMA za UKOO.

Wakatoliki wana CANON LAWS.

Mahakama za Sasa zitakuwa HAZINA Maana tena.


Kila jamii ina utaratibu wake wa mashauri yake.

Nadhani kazi ya serikali itabaki KUGAWA MAFUNGU tu kwa watu, waendeshe MASHAURI yao kwa mujibu wa TARATIBU zao.

Kwanini kwao?

Kwani nani KAPEWA kitu, na wao WAMENYIMWA???

Uganda ilijiunga OIC mwaka 1974 na iliungwa na IDDI AMIN kwasababu zake za kisiasa na kiutawala.

Kila nchi ina MSINGI wake, Tamaduni zake na MAONO yake.

Ndio maana hata leo Samia analazimsiha kujenga UTAMADUNI mpya wa KUUWA WATU, KUTEKA WATU, KUFIRA WATU anaona joto la NIWE na NDANI kwasababu analzimisga watu kufa ya maisha ambayo hajayazoea.

Na alivyo mpumbavu anataka kujenga UDINI wakati, ameshakosana na RAIA, anategenmnea WANAJESHI na hao WANAJESHI wana DINI zao VILE VILE.

====

Hata Waislam wa Uganda na Kenya Mombasa huwa wanasema kwanini SERIKALI zao zisigawe VYEO vya kisiasa na URAIS kama baina ya UISLAM na UKRISTO kama Tanzania.
Zanzibar hapo ipo je ushasikia kuna shida?? Au Zanzibar haipo Tanzania au ndio Zanzibar kuna waislamu wengi,anyway ipotezee

Kuhusu huko Mombasa na kwengine kutaka hivyo huenda kuna sababu zao za msingi,kwahiyo tuwaelewe tu kama vile ambavyo nasi tumaefanya kwa nafasi za juu
 
1. MaSheikh wapo sawa kupinga Maandamano ya kihuni ambayo madhara yake ni makubwa mno na sioni ubaya kupinga Maandamano ya namna hiyo

2. Wamekataa unafiki wa Wakatoliki kuhubiri haki wakati Waislamu wakipigania haki zao na kuonewa hawasemi kitu Wala kusapoti mfano ;
I)Mauaji ya Waislamu mwembe chai ,
ii) Mauaji ya Pemba
iii ) MaSheikh kuonewana kesi za ugaidi , bila kufungukiwa mashtaka
iii) Mahakama za kadhi
iv) nk
Hapo Wakatoliki watetezi wa haki walikuwa wapi wakati Waislamu wanaonewa na kudai haki zao ?

Zipo clip kiongozi wa kikiristo akitaka Rais Samia asivae hijabu , huo sio uchokozi wa kidini ?
Sasa hijabu yake inashida gani,hiki ndio kipimo kikubwa kuonyesha kwamba yaliyo nyoyoni mwao ni makubwa zaidi kuliko wanayo yadhihirisha
 
Zanzibar hapo ipo je ushasikia kuna shida?? Au Zanzibar haipo Tanzania au ndio Zanzibar kuna waislamu wengi,anyway ipotezee.

Zanzibar ni semi autonomy. Wana mambo yao.

Sasa kama Zanzibar ni Tanzania na tayari ipo, kwanini hamuitumii, mnataka nyingine huku bara kama ni nchi moja?
Kuhusu huko Mombasa na kwengine kutaka hivyo huenda kuna sababu zao za msingi,kwahiyo tuwaelewe tu kama vile ambavyo nasi tumaefanya kwa nafasi za juu
Nimekutajia Mombasa ili ujue kila nchi ina MSINGI, URITHI na TARATIBU zake.
 
Back
Top Bottom