LISSU; Naomba msaada wa polisi na usalama wa taifa, kuna gari na watu nisiowafahamu, wananifuatilia kila niendapo.
POLISI; Hatufanyii kazi press conference. Kama mtu ana taarifa awasilishe kituo cha polisi sio kuitisha press conference.
MUSIBA; Kuna watu 10 hatari kwa usalama wa nchi, washughulikiwe mapema. Wasiachwe hawa.
POLISI; Tumeipokea taarifa hiyo, na tunaifanyia kazi hadi sasa. Taarifa yoyote ni muhimu kwetu hata iwe imetolewa na kichaa.
[HASHTAG]#tanzaniarevolution[/HASHTAG] .
POLISI; Hatufanyii kazi press conference. Kama mtu ana taarifa awasilishe kituo cha polisi sio kuitisha press conference.
MUSIBA; Kuna watu 10 hatari kwa usalama wa nchi, washughulikiwe mapema. Wasiachwe hawa.
POLISI; Tumeipokea taarifa hiyo, na tunaifanyia kazi hadi sasa. Taarifa yoyote ni muhimu kwetu hata iwe imetolewa na kichaa.
[HASHTAG]#tanzaniarevolution[/HASHTAG] .