Ndo hiyo mkuu, sasa hivi tunategemea nchi nzima kua na maendeleo hatutegemea malalamiko yeyote toka kea wananchi , kwan ccm imechukua majimbo yote Kama alivyotaka mkuu,
Tunasubiri kuona akiifanyia kazi ile kauli yake kua mkichagua upinzani sileti maendeleo , tunasubiri maendeleo kwa hamu hatihitaji ngijera tena, hatutegemei 2025 mungu akitujalia uzima , hatutaki kauli za ukinichagua nitafanya hiki nitafanya kile , mmeshajichagua sasa haha tuleteeni maendeleo , tunahitaji kuona barabara safi , maji safi , umeme usiokatika hivyo , elim bora , huduma bora za afya n.k