Hii ndio tofauti ya maandamano ya wana ccm na wapinzani

wakatanta

JF-Expert Member
Feb 5, 2018
2,593
3,148
Maandamano ni ishara ya kuonesha hisia flani kwa jamii dhidi ya jambo flani aidha la kupendeza au kuchukiza,haya ni mawazo yangu,sina hakika kama niko sahihi kwa asilimia zote.

Maandamano yanayofanywa na wana ccm mara nyingi hua hayana uvunjifu wa amani na utulivu ,hakuna wizi ,uchomaji moto maduka na kuharibu biashara,kwa ujumla humalizika kwa amani.

Maandamano ya upinzani mara nyingi ni yenye vurugu ,wizi,uvunjaji maduka,uporaji na ghasia za kila aina,hili halikubaliki sehemu yoyote ile ya wastaarabu duniani.

Serikali haitakubali wakora ,wezi,wahuni na majambazi kujificha kwenye kichaka cha maandamano ya kisiasa kisa yametajwa kwenye katiba,intelijensia ikihisi kuna hatari hiyo hawataruhusu maandamano kufanyika.

Mwisho,tii sheria bila shuruti
Povu ruksa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maandamano si yalipigwa marufuku ili watu wote wafanye kazi? Mbona haikusemwa ni sababu ya vurugu!
Maandamano ni ishara ya kuonesha hisia flani kwa jamii dhidi ya jambo flani aidha la kupendeza au kuchukiza,haya ni mawazo yangu,sina hakika kama niko sahihi kwa asilimia zote.

Maandamano yanayofanywa na wana ccm mara nyingi hua hayana uvunjifu wa amani na utulivu ,hakuna wizi ,uchomaji moto maduka na kuharibu biashara,kwa ujumla humalizika kwa amani.

Maandamano ya upinzani mara nyingi ni yenye vurugu ,wizi,uvunjaji maduka,uporaji na ghasia za kila aina,hili halikubaliki sehemu yoyote ile ya wastaarabu duniani.

Serikali haitakubali wakora ,wezi,wahuni na majambazi kujificha kwenye kichaka cha maandamano ya kisiasa kisa yametajwa kwenye katiba,intelijensia ikihisi kuna hatari hiyo hawataruhusu maandamano kufanyika.

Mwisho,tii sheria bila shuruti
Povu ruksa



Sent using Jamii Forums mobile app

Loyalty To country Always,To government When it deserves
 
Nilipoona "povu ruksa" nikajua jinga la insta limekuja leo huku JF. Mwaka 2015 niliwahi msikia police wa (FFU) akipiga simu "deni lako nitakulipa nikitoka kutuliza maandamano" elewa uhusiano kati ya kulipa deni na kutuliza maandamano!! Hata hivyo maandamano ya CCM ni sawa na harusi sasa sijui Mara ngapi kwenye harusi watu wanakuwa na hisia badala ya furaha na kusherekea!!
 
Unaelekea lakini haujafika yaani hayo yapo kwa kila maandamano ndo maana inahitajika kuomba ulinzi wa polisi ili waliopo waende kwa lengo husika tu lakini kwa upinzani badala ya polisi kutoa ulinzi wao wanayakataza au kuyavamia ili wale wenye lengo mbaya wapate nafasi yakufanya uporaji na mengine yanayofanana na hayo, wakati kwa ccm waporaji hawapati nafasi hiyo maana ulinzi unatolewa mwanzo hadi mwisho wa maandamano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maandamano ya ccm huandaliwa na yule anayeyapokea maandamano hayo. Mara nyingi huwa ni kupongeza jambo au kuunga mkono juhudi. Wapinzani hubeba hisia za wananchi ambao hujitoa kwa hiari na mpokeaji anaweza asiwe na taarifa ya nini kitakacholetwa. Ikitokea kuna mtu anazuia ndo vurugu hujitokeza hii ni kutokana na hasira na uchungu walio nao.



Barafu la moto
 
Maandamano ni ishara ya kuonesha hisia flani kwa jamii dhidi ya jambo flani aidha la kupendeza au kuchukiza,haya ni mawazo yangu,sina hakika kama niko sahihi kwa asilimia zote.

Maandamano yanayofanywa na wana ccm mara nyingi hua hayana uvunjifu wa amani na utulivu ,hakuna wizi ,uchomaji moto maduka na kuharibu biashara,kwa ujumla humalizika kwa amani.

Maandamano ya upinzani mara nyingi ni yenye vurugu ,wizi,uvunjaji maduka,uporaji na ghasia za kila aina,hili halikubaliki sehemu yoyote ile ya wastaarabu duniani.

Serikali haitakubali wakora ,wezi,wahuni na majambazi kujificha kwenye kichaka cha maandamano ya kisiasa kisa yametajwa kwenye katiba,intelijensia ikihisi kuna hatari hiyo hawataruhusu maandamano kufanyika.

Mwisho,tii sheria bila shuruti
Povu ruksa



Sent using Jamii Forums mobile app
Andiko zuri sana ! lakini je unaweza kututajia maandamano yoyote ya wapinzani yaliyowahi kusababisha uhalifu kama unaounadi hapa ?
 
Maandamano ni ishara ya kuonesha hisia flani kwa jamii dhidi ya jambo flani aidha la kupendeza au kuchukiza,haya ni mawazo yangu,sina hakika kama niko sahihi kwa asilimia zote.

Maandamano yanayofanywa na wana ccm mara nyingi hua hayana uvunjifu wa amani na utulivu ,hakuna wizi ,uchomaji moto maduka na kuharibu biashara,kwa ujumla humalizika kwa amani.

Maandamano ya upinzani mara nyingi ni yenye vurugu ,wizi,uvunjaji maduka,uporaji na ghasia za kila aina,hili halikubaliki sehemu yoyote ile ya wastaarabu duniani.

Serikali haitakubali wakora ,wezi,wahuni na majambazi kujificha kwenye kichaka cha maandamano ya kisiasa kisa yametajwa kwenye katiba,intelijensia ikihisi kuna hatari hiyo hawataruhusu maandamano kufanyika.

Mwisho,tii sheria bila shuruti
Povu ruksa



Sent using Jamii Forums mobile app
S.l.ut

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom