Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Yaani huyu ndio Mchungaji! anaonekana kama kibaka fulani tu.
Nampongeza sana Mch. Msigwa, na Mungu ambariki sana ''Anatukanwa kwa ajili ya kutetea haki'' sina shaka kuwa anaelewa, yanayomkuta ni Biblical, waache wakutukane na kukudhihaki, furahi kwa kuwa unashiriki mateso kwa ajili ya haki.