KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wewe mwenyewe umesimamia wapi na sera za chama kipi ACT AU CCM?Au ujuelewi hata wewe unahitaji msaada?Na kwa ujinga huu ndio maana Rais Magufuli anaamua kukanyaga mbele kwa mbele tu.
Wewe mwenyewe umesimamia wapi na sera za chama kipi ACT AU CCM?Au ujuelewi hata wewe unahitaji msaada?Na kwa ujinga huu ndio maana Rais Magufuli anaamua kukanyaga mbele kwa mbele tu.
Unatakiwa uwe unatetea au kupinga issues na sio vyama wala watu, kwa mantiki hiyo unatakiwa umuunge mkono yeyote anayefanya jambo sahihi wakati wowote na kinyume chake.Mkuu kumtetea mwanasiasa ni kazi ngumu mno. Ndio maana sina chama cha siasa wala timu ya kushabikia mpira. Siasa ni afadhali ya ukahaba.
Unatakiwa uwe unatetea au kupinga issues na sio vyama wala watu, kwa mantiki hiyo unatakiwa umuunge mkono yeyote anayefanya jambo sahihi wakati wowote na kinyume chake.
Yeah, Kwa hapa nimeamua kumtetea MTU ambaye analaumiwa bila sababu za msingi, nimejiuliza Hata kama Mimi ningekuwa ni yeye, ningefanya vile vile ambavyo amefanyaHapo tupo pamoja kabisa, nakubaliana na wewe kwa kiwango cha vipimo vyote.
Kwa upande wangu, huwa sio mchoyo kupongeza jema bila kujali linafanywa na nani, hali kadhalika kukosoa baya hata kama aliyelifanya upepo unaendana sana na mimi kwa namna moja ama nyingine.
Tunakosa maoni na ushauri mzuri sana kwa kivuli cha ushabiki na uchama. Mtu hawezi kukosoa maovu ya upinzani kwa vile ni mpinzani, au hawezi kupongeza juhudi zenye matunda zinazofanywa na serikali kwa sababu yupo upinzani.
Tatizo kwenye huu uzi, umeamua kumbeba mtu...
Pole pole alikuwa mjenga hoja mzuri sana, kijana mzalendo mwenye uchungu na nchi yake, mtu mwenye huruma na upendo kwa kila mtu na kijana kiongozi ambaye angeweza kumvutia kila mtu mstaarabu na mwenye maono.
Kijana pole pole hakusita kusimamia kile alichokiamini hata kama alikuwa anajiweka kwenye hatari alisimama peke yake. aliongea kweli yote daima, alipinga ufisadi na hila zote.
Polepole akaingia kwenye tume ya katiba, kwa uzalendo wake akaamua kusimamia rasimu ya wananchi na kuitetea kwa uwezo wake wote licha ya hatari zilizokuwa zinamkabili. Mara akaamua kuunda Umoja wa katiba ya wananchi akiwa kama muasisi wa wazo hilo - UKAWA kama movement ya kusaidia kupatikana katiba mpya na bora.
Mara kwa unafiki wetu, kuna watanzania wenzetu wakageuza UKAWA kama chama kinachotaka kushika dola na kuacha lengo la msingi lililoanzisha UKAWA. Mara yule ambaye Wapinzani waliwaaminisha watanzania kuwa ni fisadi mkuu (hata kumfanya Polepole naye aamini hivyo) akateuliwa na Huo ulioitwa ukawa ili apepepushe bendera na kupitia huo ukawa aingie ikulu.
Polepole akaonya na kuonya; ukweli na uwazi wa hoja za Polepole haukuwa na shaka ila kwa unafiki wetu tukamuita, msaliti, mchumia tumbo, mwenye sura mbaya asiyefahamika ni mzee au kijana. Hakuna aliesikia tena kuwa UKAWA ulilenga kuleta katiba mpya na sio kugombea madaraka na kuwasimamisha wale ambao UKAWA wenyewe ulidai ni mafisadi.Sio kwamba hatukujua lah! just unafiki tu.
Polepole akabaki peke yake na huzuni yake huku asiamini kilichokuwa kinatokea. Leo hii Pole pole kaamua kuachana na ishu za katiba na kumuunga mkono Rais Magufuli bila kujali nani anasema nini. Kaamua kufanya siasa tulizozizoea na tunazozitaka.
MAZINGIRA HUAMUA TABIA NA MIELEKEO YA WATU. KWA MTU ANAYEFIKIRI HAWEZI KUSHANGAA KWA NINI POLE POLE KAWA KAMA ALIVYO, NA TUKIENDELEA NA UNAFIKI TULIONAO, GREAT THINKERS WOTE NI LAZIMA WAWE KAMA POLEPOLE NA KUWALAUMU NI KUTOKUFIKIRI. MTU AKIWA MNAFIKI, NI LAZIMA UJIFUNZE KUISHI NAYE.
Pole pole alikuwa mjenga hoja mzuri sana, kijana mzalendo mwenye uchungu na nchi yake, mtu mwenye huruma na upendo kwa kila mtu na kijana kiongozi ambaye angeweza kumvutia kila mtu mstaarabu na mwenye maono.
Kijana pole pole hakusita kusimamia kile alichokiamini hata kama alikuwa anajiweka kwenye hatari alisimama peke yake. aliongea kweli yote daima, alipinga ufisadi na hila zote.
Polepole akaingia kwenye tume ya katiba, kwa uzalendo wake akaamua kusimamia rasimu ya wananchi na kuitetea kwa uwezo wake wote licha ya hatari zilizokuwa zinamkabili. Mara akaamua kuunda Umoja wa katiba ya wananchi akiwa kama muasisi wa wazo hilo - UKAWA kama movement ya kusaidia kupatikana katiba mpya na bora.
Mara kwa unafiki wetu, kuna watanzania wenzetu wakageuza UKAWA kama chama kinachotaka kushika dola na kuacha lengo la msingi lililoanzisha UKAWA. Mara yule ambaye Wapinzani waliwaaminisha watanzania kuwa ni fisadi mkuu (hata kumfanya Polepole naye aamini hivyo) akateuliwa na Huo ulioitwa ukawa ili apepepushe bendera na kupitia huo ukawa aingie ikulu.
Polepole akaonya na kuonya; ukweli na uwazi wa hoja za Polepole haukuwa na shaka ila kwa unafiki wetu tukamuita, msaliti, mchumia tumbo, mwenye sura mbaya asiyefahamika ni mzee au kijana. Hakuna aliesikia tena kuwa UKAWA ulilenga kuleta katiba mpya na sio kugombea madaraka na kuwasimamisha wale ambao UKAWA wenyewe ulidai ni mafisadi.Sio kwamba hatukujua lah! just unafiki tu.
Polepole akabaki peke yake na huzuni yake huku asiamini kilichokuwa kinatokea. Leo hii Pole pole kaamua kuachana na ishu za katiba na kumuunga mkono Rais Magufuli bila kujali nani anasema nini. Kaamua kufanya siasa tulizozizoea na tunazozitaka.
MAZINGIRA HUAMUA TABIA NA MIELEKEO YA WATU. KWA MTU ANAYEFIKIRI HAWEZI KUSHANGAA KWA NINI POLE POLE KAWA KAMA ALIVYO, NA TUKIENDELEA NA UNAFIKI TULIONAO, GREAT THINKERS WOTE NI LAZIMA WAWE KAMA POLEPOLE NA KUWALAUMU NI KUTOKUFIKIRI. MTU AKIWA MNAFIKI, NI LAZIMA UJIFUNZE KUISHI NAYE.
Pole pole alikuwa mjenga hoja mzuri sana, kijana mzalendo mwenye uchungu na nchi yake, mtu mwenye huruma na upendo kwa kila mtu na kijana kiongozi ambaye angeweza kumvutia kila mtu mstaarabu na mwenye maono.
Kijana pole pole hakusita kusimamia kile alichokiamini hata kama alikuwa anajiweka kwenye hatari alisimama peke yake. aliongea kweli yote daima, alipinga ufisadi na hila zote.
Polepole akaingia kwenye tume ya katiba, kwa uzalendo wake akaamua kusimamia rasimu ya wananchi na kuitetea kwa uwezo wake wote licha ya hatari zilizokuwa zinamkabili. Mara akaamua kuunda Umoja wa katiba ya wananchi akiwa kama muasisi wa wazo hilo - UKAWA kama movement ya kusaidia kupatikana katiba mpya na bora.
Mara kwa unafiki wetu, kuna watanzania wenzetu wakageuza UKAWA kama chama kinachotaka kushika dola na kuacha lengo la msingi lililoanzisha UKAWA. Mara yule ambaye Wapinzani waliwaaminisha watanzania kuwa ni fisadi mkuu (hata kumfanya Polepole naye aamini hivyo) akateuliwa na Huo ulioitwa ukawa ili apepepushe bendera na kupitia huo ukawa aingie ikulu.
Polepole akaonya na kuonya; ukweli na uwazi wa hoja za Polepole haukuwa na shaka ila kwa unafiki wetu tukamuita, msaliti, mchumia tumbo, mwenye sura mbaya asiyefahamika ni mzee au kijana. Hakuna aliesikia tena kuwa UKAWA ulilenga kuleta katiba mpya na sio kugombea madaraka na kuwasimamisha wale ambao UKAWA wenyewe ulidai ni mafisadi.Sio kwamba hatukujua lah! just unafiki tu.
Polepole akabaki peke yake na huzuni yake huku asiamini kilichokuwa kinatokea. Leo hii Pole pole kaamua kuachana na ishu za katiba na kumuunga mkono Rais Magufuli bila kujali nani anasema nini. Kaamua kufanya siasa tulizozizoea na tunazozitaka.
MAZINGIRA HUAMUA TABIA NA MIELEKEO YA WATU. KWA MTU ANAYEFIKIRI HAWEZI KUSHANGAA KWA NINI POLE POLE KAWA KAMA ALIVYO, NA TUKIENDELEA NA UNAFIKI TULIONAO, GREAT THINKERS WOTE NI LAZIMA WAWE KAMA POLEPOLE NA KUWALAUMU NI KUTOKUFIKIRI. MTU AKIWA MNAFIKI, NI LAZIMA UJIFUNZE KUISHI NAYE.
Yeah, Kwa hapa nimeamua kumtetea MTU ambaye analaumiwa bila sababu za msingi, nimejiuliza Hata kama Mimi ningekuwa ni yeye, ningefanya vile vile ambavyo amefanya
ulikuwa ccm,ukatangaza humu kujiunga na chadema,akina zitto walipofukuzwa ukahama nao ukaenda ACT,leo hii anna na mkumbo wamerudi ccm na wewe ghafla umewafata...what a political whore!!!
unaumwa wewe...lini nilikuonyesha kadi ya chama..sina chama mimi wewe juha!!!Tuchukulie Mimi sifai na natakiwa kujirekebisha. Sasa. Kwa hiyo unataka ning'ang'anie kwenye chama chako hata kama kinatetea mambo yasiyo na maana? Kwano lengo LA vyama na kwa kwenye chama ni nini kwa mtizamo wako? Were chama chako ndio mungu wako hata ukiambiwa via nguo inavua? Wewe ni nini cha maana ulichofanya huko kwenye chama chako ambacho umekishika kama Dini yako? Najua hutajibu.Unafiki!
wewe usie na njaa ni nini cha maana umefanya kwenye nchi hii ili angalau uwe mfano?Pumbavvvv sana huyo jamaa.Japo siasa na njaa ni kama tongotongo na macho lakini huyu njaa ipo pomoni.
mkuu, nimekuelewa, na nitaufanyia kazi ushauri wako. Thanks!Sikufaham nje ya JF ila naomba ujue kwamba nakuheshimu sana, huenda tukatofautiana mitazamo au itikadi lakini sisi wote ni binadamu wenye utu licha ya kutumia ID ( Watu8 signature)
Nakushauri tu, mambo ya kutetea hawa wanasiasa itakupunguzia heshima na hadhi uliyonayo. Nilishakwambia, bora changudoa au malaya anaejiuza kuliko mwanasiasa.
Nikutakie siku njema mkuu!
wewe usie na njaa ni nini cha maana umefanya kwenye nchi hii ili angalau uwe mfano?
Hawatajibu!Ukiwa chama hicho hata kama unamiaka 12 akili lazima izeeke!Hizo hojaa unazopigia kelele alizo toa pole polee zimeletaa nini sasa kwa taifaa?
Sijaja na hoja kuhusu mtu yeyote hapa. Ila nasema huyo uliyemtaja pamoja na wenzake walikuwa wanaendeshwa na maslahi binafsi.Ambaye hakuendeshwa na maslahi binafsi alikuwa nani?