dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Tatizo lenu mmekeza Akili kwa Watu...wakihama nanyi mnahamaTuchukulie Mimi sifai na natakiwa kujirekebisha. Sasa. Kwa hiyo unataka ning'ang'anie kwenye chama chako hata kama kinatetea mambo yasiyo na maana? Kwano lengo LA vyama na kwa kwenye chama ni nini kwa mtizamo wako? Were chama chako ndio mungu wako hata ukiambiwa via nguo inavua? Wewe ni nini cha maana ulichofanya huko kwenye chama chako ambacho umekishika kama Dini yako? Najua hutajibu.Unafiki!