mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,571
- 23,670
ila ile ya movie ya Libya( 13 hours secret soldier in benghazi) ni hatari zaidi maana jamaa wamekesha mzigon wakipigw na ma -RPG
Eti the powerfull army duniani,wanaenda pigana na wanamgambo wakimsaka kiumbe mmoja,maisha ya watu yanapotea na bado wanamkosa,wajipime sana kimahesabu