Hii ndio Ndege Tupolev Tu-160, hatari ya kivita inayoumiza vichwa maadui

Nakubaliana na uchambuzi wako lakini T-160 Black jack sidhani km inabeba Tani kuliko B-52 bomber ya Us....
Ukweli huu hapa hakuna kudhani kiongozi........

. The B-52 was designed and built by Boeing, which has continued to provide support and upgrades. It has been operated by the United States Air Force (USAF) since the 1950s. The bomber is capable of carrying up to 70,000 pounds (32,000 kg) of weapons,[5] and has a typical combat range of more than 8,800 miles (14,080 km) without aerial refueling.[6]

Uwezo wake ni tani 32 tu
 
Sisi tutabaki kurepaire arleady materialized and pro technological devices na si kuunda vitu vipya ambavyo wenzetu hawana au hawajawahi kuwa navyo. Walianza kuktutawala kijeografia na kielimu na mpaka sasa wametutawala muundo wa kimaisha. Akili za kiafrika zimebaki katika mapokeo na si uundaji, na wazungu katika hili wanahakikisha hatuchomoki wala tusijekujielewa tukafanya mapinduzi ya kimaisha.
Tutabaki kujisifia tu oh binadamu wa kwanza aliishi Tanzania, oh African race ndio iliyotapakaa dunia nzima then what? Kama runashondwa hata kuprotect tu maliasiri zetu tutaweza kuzalisha hayo madubwana ya high n very advanced technological weapons?
Ifikie muda waafrika tukae chini na kujiuliza kwa pamoja, nini kinashindikana kama bara na kwanini wenzetu wameweza?
 
Apa mkubwa nashawishika kusema mabomu ayaui watu ila watu ndo wanauwa watu.
 
Safi sana mkuu
 
Acha hizo nyamu-bheya!!! yaani watu sasa hivi wana IBM!! wewe unasema kandege ka kuendeshwa na Rubani mlevi??? aende na gundege gukuuubwa ivo vitani??? kwanza wana mshusha kiulaiiini!! na dege linachukuliwa Mazimaaa!!

Tena wakifanya Masihara hawataliona daima hilo dege lao hao wa rusi!!....Madege Mangapi ya Rusia yamepotea ghafla including ya Abiria?? mpaka leo hawajui wafanyeje?? na hata wafanyeje hawata yaona tena!! wala kujua fununu!!.......wanahisia tu lkn wataanzaje kusema??

kwa Technolojia ya Sathkido120BH!! ndege hiyo ikinyanyuka tu!! kutoka ardhini!! mbali na kuiona, kwa USACoronasatellites hizi zinaweza kuona hata ukubwa wa sindano iliyoko ardhini! ndo ntoleee!!..

sometimes inaweza fanywa kuwa AIR SPACE DEBRISS kabisa bila utani!.......na Nuclear Plant zika dissolve!! Arrow interceptors za USA zinafanya kazi kwa kificho hasa!!.....hizi zinaweza zima mawasiliano yote Duniani! mpaka wakamaliza yao!

USA ukiona wamemvimbia M-Russia stuka!!..... tena kimbia kabisa usiangalie nyuma. Nuclear power siyo issue ya kutisha kwa Dunia ya leo!! ukiona mpaka Muarabu hasimu mkubwa wa Israel tena wa karibu hapo anazo! stuka! ndo kwisha kazi!

Jua kabisa kuhusu Nuclear kwa sasa kinachofanyika ni biashara ili wazungu waneemeke na mapesa yenu nyie vilaza wapenda vita!....wanaweza hata wakaja wakang'oa hiyo mitambo ya Nuclear na wafanya kazi wako hao usiwaone!!

tena usijue nini kimetokea pia bila weye kujua!...ila wana kuacha tu ujibinue kiuno lkn yajayo yanafurahisha!! sababu hizi Radar hizi ni tech. ya zamani mnoooo!! mwaka 1978 huko!!.....

walipata somo kutoka Uisrael paleee ndege zao Zilivo kwepa Radar zote za mahasimu wao!! mpaka wakatokea Nairobi bila kujulikana kumbuka humo njiani zilikuwa ni Radar za Urusi tupu zilitapaakaa!! na walizijua vyema!!

wao walidanganya eti walizikwepa kwa mwendo wa chini ya usawa wa Bahari waliwapiga changa la macho ili msielewe kitu! kilicho fanyika pale .......ngoja nakuja mtoto analia....
 
Wanakazana kushindana kutengeneza vifaa vya kuua watu mkuu,hiyo ni mbaya sana.Ningewasifu kama wange-shindana kutengeneza vifaa vya kuboresha maisha ya Binadamu.Ilivyo sasa ni kukazana kutengeneza vifaa vya kuua watu tu,wala siwezi kuwa-sifu.
 
Sie bado tupo busy 'kuwabambikizia kesi' watu wenye mawazo mbadala na watawala! 🤣
🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…