Okay..kumbe ni kabla ya vita ?Mkuu nenda Google utazame, wasomali walikuwa mbele sana kimaendeleo kabla hawajaanza kutwangana
Aisee ..bc ..powa ..sijawahi kuwaza kuwa somalia ina mji mzr na wenye mandhari nzr kiasi hicho ...akina horia eee ..wamaheeeMkuu sio kwamba mji wote umekwisha, kuna mitaa imetulia zaidi na mji umejengeka zaidi, kama sasa kuna ujenzi mkubwa wa mahoteli na apartment nyingi za kisasa ndani ya Mogadishu
Aisee ..bc ..powa ..sijawahi kuwaza kuwa somalia ina mji mzr na wenye mandhari nzr kiasi hicho ...akina horia eee ..wamaheee
sana sana punt land ama somalilend kuna utulivMkuu sio kwamba mji wote umekwisha, kuna mitaa imetulia zaidi na mji umejengeka zaidi, kama sasa kuna ujenzi mkubwa wa mahoteli na apartment nyingi za kisasa ndani ya Mogadishu
Au itakuwa ni somaliland na si somalia..sana sana punt land ama somalilend kuna utuliv
mkuu kuna jamuhur ya somalilend ama punt lend.Au itakuwa ni somaliland na si somalia..
Somalia na Somaliland je kunautofauti?mkuu kuna jamuhur ya somalilend ama punt lend.
kitu kimoja tu nawapenda wasomali ni umoja wao na mila. Popote walipo dunian kutoka Australia ulaya north America hawaach kuongea lugha yao na kufuata mila zao they are strictly on this.
Hiyo ni baadhi ya miradi mikubwa inayoendelea Somalia kwa ufadhili wa serikali ya Uturuki, pamoja na vita yao kwa zaidi ya miaka 25 huwezi kuamini Shilingi yao ina nguvu kuzidi yetu wazee wa amani
ndio mkuu. Mogadish ndio Somalia. Wanaongea lugha moja somali but different dialect ama lafuz tofaut wa kusin na kaskazinSomalia na Somaliland je kunautofauti?
Okay..nimekupata kamandandio mkuu. Mogadish ndio Somalia. Wanaongea lugha moja somali but different dialect ama lafuz tofaut wa kusin na kaskazin