lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,743
- 3,450
Wacha nibaki polisi ......
Waliompa hayo matatizo wapo karibu na lucifer au wametoa zawadi nzuri kwa lucifer kuliko yeye hivyo anachotakiwa kufanya nikumpa lucifer kitu kizuri zaidi ili ahamie upande wake!Sasa inakuwaje mtu anaenda Kwa mganga Kwa shida fulani na inashidwa kutatuliwa ili hali maombi yamepelekwa Kwa Lucifer..?
Hakuna kitu kama hiko. Umetudanganya kwa kweli katika hilo.Usikariri mkuu
Kwa mujibu wa imani yako toka ukiwa mtoto , sasa ngoja tusikie imani za wengine walizo nazo toka wakiwa watoto[emoji120]Msaada wa Lucifer kwa wanadamu ni kama chambo kwa samaki, lengo ni kumkamata mwanadamu. Msaada wa kweli kwa mwanadamu unatoka kwa Yesu Kristo.
Waganga hawatoi mapepo. Wanamwekea mgonjwa pepo kubwa zaidi ya lile linalomsumbua. Au wanalipoza. HAWATOI PEPO LIKUD.Usikariri mkuu
Waganga hawatoi mapepo. Wanamwekea mgonjwa pepo kubwa zaidi ya lile linalomsumbua. Au wanalipoza. HAWATOI PEPO LIKUD.Usikariri mkuu
Heeeh.... Bana tena? Nlidhani wewe ni mtu mzima. Kumbe kizazi kipya.Wacha bana
Sio vitisho mkuu, ni wazi ukianza ushirikina huwezi kutoka, wachache mnoo kwa kudra za Mungu. Na hayo mavitu yataathiri hadi kizazi chako kiongozi take care.Acha uongo na vitisho wewe mtumwa wa dini za majahazi
Midu alikuwa noma ila nasikia amesha danja?Jamaa alikuwa mwanangu kinoma. Wakati ule Ubungo panazingua foleni miaka ya 2005 nikiwa kwenye foleni asubuhi naelekea Mwenge niliibiwa Motorola yangu smartphone,nikamwambia konda fungua mlango nishuke,abiria walinishangaa sana wakasema wewe unapoteza muda wako na utaenda kupigwa bure huko,nikawajibu kuwa kesho asubuhi tukijaliwa kukutana nitawaonyesha simu yangu.
Basi bwana,nikashuka nikateremka na ile down ya darajani kama unaenda Chibuku,nilikuwa najua maskani yake Midu yapo wapi,nikafika nikamkuta ndio anaamka,nikamwambia bingwa hapa vijana wako wamepiga Motorola yangu muda huu huu,akaniambia unaelekea wapi nikamwambia Mwenge,akaniambia wewe nenda ukirudi pitia pale darajani kwa yule fundi saa utakuta simu yako,kweli baadae nilipomaliza mishe zangu nikapitia pale nikakuta simu yangu kama ilivyo. Kesho yake asubuhi nakutana na yule konda kituoni nikamwambia cheki mtambo huu hapa.
Midu was something elseJamaa alikuwa mwanangu kinoma. Wakati ule Ubungo panazingua foleni miaka ya 2005 nikiwa kwenye foleni asubuhi naelekea Mwenge niliibiwa Motorola yangu smartphone,nikamwambia konda fungua mlango nishuke,abiria walinishangaa sana wakasema wewe unapoteza muda wako na utaenda kupigwa bure huko,nikawajibu kuwa kesho asubuhi tukijaliwa kukutana nitawaonyesha simu yangu.
Basi bwana,nikashuka nikateremka na ile down ya darajani kama unaenda Chibuku,nilikuwa najua maskani yake Midu yapo wapi,nikafika nikamkuta ndio anaamka,nikamwambia bingwa hapa vijana wako wamepiga Motorola yangu muda huu huu,akaniambia unaelekea wapi nikamwambia Mwenge,akaniambia wewe nenda ukirudi pitia pale darajani kwa yule fundi saa utakuta simu yako,kweli baadae nilipomaliza mishe zangu nikapitia pale nikakuta simu yangu kama ilivyo. Kesho yake asubuhi nakutana na yule konda kituoni nikamwambia cheki mtambo huu hapa.