hii ndio jeuri ya amini

englibertm

JF-Expert Member
May 1, 2009
9,252
6,208
386731_238110279582283_1233548042_n.jpg
 
Hiki alichokuwa anakifanya Iddi Amin kilikuwa hakina faida wala hasara, hawa wazungu walioitwa Tanzania kama wawekezaji tumeshindwa kuwadhibiti wanatuibia rasilmali zetu mchana kweupee kiasi kwamba wanatuona kama mabwege.

Nina wasiwasi huenda kuna wazawa hasa viongozi ambao wananufaika binafsi na sio taifa na ndio maana wamekaa kimya, kama nawasingizia Mungu anisamehe lakini kama kuna ukweli basi kilio cha watanzania kitamfikia Mungu siku moja.
 
Hiki alichokuwa anakifanya Iddi Amin kilikuwa hakina faida wala hasara, hawa wazungu walioitwa Tanzania kama wawekezaji tumeshindwa kuwadhibiti wanatuibia rasilmali zetu mchana kweupee kiasi kwamba wanatuona kama mabwege.

Nina wasiwasi huenda kuna wazawa hasa viongozi ambao wananufaika binafsi na sio taifa na ndio maana wamekaa kimya, kama nawasingizia Mungu anisamehe lakini kama kuna ukweli basi kilio cha watanzania kitamfikia Mungu siku moja.
Mpendwa Lei' za asubuhi? Wajua kuwa M/mungu hapendi dha'naa mbovu na tuhuma bila kuwa na uhakika.
Umewatilia watu shuku na umewatuhumu na hapo hapo waomba msamaha !! kuwa mtu mwenye kuamini kuwa Haki ipo na mungu sii athumani nay YUPO. acha roho mbaya kuiweka mbele. "THINK" kila la heri na good luck!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom