Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,261
- 72,432
ANHAA
ANHAA
Sio mbaya sio lazima kila mboga za majani ule mda huohuo, yaani ule tembele at the same time ule mchicha na chainizi, it's not necessaryPombe inatoka haraka ila maji hayatoki muda huo huo
9 sasa
Miguu ndoinakimbia sio tumbo, acha uvivu kunywa maji matikiti then kakimbie punguza hiyo minyama unakuwa kama kiboko [emoji23]Hapo mwanzoni rekebisha au fafanua,unywe lita 3 za maji,vijiko 2 vya asali na vipande 2 vya tikiti halafu ukimbie km 2 inawezekana vipi kukimbia,au unatakiwa kutumia hivyo vitu baada ya kukimbia...
Go aheadNatamani ningeongezea jambo kwenye hili...lakini nmefikiri ni busara kuomba ruhusa yako kwanza mkuu.
YAANI NIMESOMA HIYO REPLY YAKO HAPO JUU NIMEKAUKIA KUCHEKA HAHAHASerious mkuu huwezi andikiwa meseji ya me & you it's over ukaenda kunywa juice ya mango..🤣
MPIGAJI YULE TU MUUZA MADAWANakumbuka dr ndodi alikuja na NONDO za kupunguza kitambi...lkn chake ndo kikawa kikuuuuubwa kushinda vya wateja wake. Sijui alikuwa anahamishia kwake?
Hapana kwani mtu akipata matatizo ya ajali akawa hawez kuperform, je tatizo Hilo halitibiki?. Jibu tatizo linatibika kama atafuata ushauri nasaha na kufanyiwa matibabuSasa kwa jinsi ulivyomtolea mfano kwenye andishi lako lazima mtu afikirie kuwa hiyo kazi ya kiume haiwezi tena.
[emoji1787][emoji1787]YAANI NIMESOMA HIYO REPLY YAKO HAPO JUU NIMEKAUKIA KUCHEKA HAHAHA
Mkuu tukanywe lita tatu za maji Sasa tumsapoti mweka mada tushindane kukojowa sio kukojoa.YAANI NIMESOMA HIYO REPLY YAKO HAPO JUU NIMEKAUKIA KUCHEKA HAHAHA
No anasaidia kwa kiasi chake however not 100 %MPIGAJI YULE TU MUUZA MADAWA
Big NO, Tundu lissu yupo vizur tena kuliko wewe.
LITA 3 SIO MCHEZO MASTA HIZO RUTI ZA TOI SIO MCHEZOMkuu tukanywe lita tatu za maji Sasa tumsapoti mweka mada tushindane kukojowa sio kukojoa.
YAP YAPNo anasaidia kwa kiasi chake however not 100 %
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Ndodi ni binadamu sio munguYalimshinda Ndodi we utayaweza
Kwa Choo kipo mkoani mkuu, Mita Tatu mbele kwenda KUKOJOA tu unaona uvivuLITA 3 SIO MCHEZO MASTA HIZO RUTI ZA TOI SIO MCHEZO
UKINYWA LITA 3, TOILET utaenda mara ngapiKwa Choo kipo mkoani mkuu, Mita Tatu mbele kwenda KUKOJOA tu unaona uvivu
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Nafikiri Mimi ndo huwa nakunywa hizi tatu kwa siku sio kwa mkupuo Sasa usiombe mvua iwe inanyesha haloo utajikuta unashindana na malaika wa mvua kumwaga mimaji!.LITA 3 SIO MCHEZO MASTA HIZO RUTI ZA TOI SIO MCHEZO
Utaenda mara nyingi lakin ndio unapunguza sumu mwilin Joseverest.UKINYWA LITA 3, TOILET utaenda mara ngapi