Hii ndio dawa ya nguvu za kiume 100%

Hii ndio dawa ya nguvu za kiume 100%

Mm naamini hili tatzo vijana wengi wanalitengenezq wao kwanza , mfano ukianza kujijadili kuwa yawezekana nina upungufu wa nguvu za kiume ndo kwishneiiii....au unapiga mechi hiyo siku maandalizi hayakuwa mazuri dk chache ushatoka unaanza kujilaumu nguvu ,
Tusilaumu vijana, tulaumu negative impact ya social media and porns

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Kula matunda tu uone Kama yanakaa huko tumboni,kwanza minyoo tu unakuta wanaingia kwenye mgogoro wakimaliza kupigana wanakaa kikao wanazira kula hayo matunda wanaanza kula utumbo wako..😂

Hayo maisha ni mtu fulani uwe nazo halafu swala la maji Aisee kunywa tu lita tatu asubuhi si mchezo ati!,akili yote inahamia kukojoa serious unywe maji Lita tatu halafu ukakimbie hapo huna haja ya kuwa na muziki tumbo lako tu litakuwa linakuimbia kwa dharau chubwichubwi!.

Umeshauli vyema ila kuvifuata hivyo kwa hii life style tuliyonayo ni amsha mtu kazini saa moja kamili na lala yake saa tano usiku huko bado hujakuta simu ya mpenzi wako kenzy nimemuandikia "Nakupenda mke wangu mwenye kibebeo nyuma!"😂

Unakuta mtu anahela nyingii halafu unamwambia usinywe bia!,so anywe maji na juisi natural hapo ukute anatukanwa na rafiki zake anajaza nzi..🤣
Mkuu have you ever experienced this message "me & you it's over" hiyo message inaweza kukunywesha k vant nne ugali mbili kitimoto kilo mbili kachumbali saba sigara pakti saba machozi lita tatu huku ukisumbua watu warudie muziki wa kuachwa kuachwa au ule wa bia tamu..😁
 
Kula matunda tu uone Kama yanakaa huko tumboni,kwanza minyoo tu unakuta wanaingia kwenye mgogoro wakimaliza kupigana wanakaa kikao wanazira kula hayo matunda wanaanza kula utumbo wako..😂

Hayo maisha ni mtu fulani uwe nazo halafu swala la maji Aisee kunywa tu lita tatu asubuhi si mchezo ati!,akili yote inahamia kukojoa serious unywe maji Lita tatu halafu ukakimbie hapo huna haja ya kuwa na muziki tumbo lako tu litakuwa linakuimbia kwa dharau chubwichubwi!.

Umeshauli vyema ila kuvifuata hivyo kwa hii life style tuliyonayo ni amsha mtu kazini saa moja kamili na lala yake saa tano usiku huko bado hujakuta simu ya mpenzi wako kenzy nimemuandikia "Nakupenda mke wangu mwenye kibebeo nyuma!"😂

Unakuta mtu anahela nyingii halafu unamwambia usinywe bia!,so anywe maji na juisi natural hapo ukute anatukanwa na rafiki zake anajaza nzi..🤣
Mkuu have you ever experienced this message "me & you it's over" hiyo message inaweza kukunywesha k vant nne ugali mbili kitimoto kilo mbili kachumbali saba sigara pakti saba machozi lita tatu huku ukisumbua watu warudie muziki wa kuachwa kuachwa au ule wa bia tamu..😁
😂😂😂 we jamaa una uphaler mwingi ujue hahahaha😂😂😂😂
 
Kwa nini unajilaani wewe mwenyewe. Ujuwi laana inawezekana isikupate wewe ikawapata vizazi vyako mpaka wajukuu.
Matatizo ya nguvu za kiume yapo mengi na hatua tofauti. Siyo watu wote watahitaji hivyo vyakula vyako kutatua matatizo ya Nguvu za kiume.
Mtu hana matatizo ya nguvu za kiume anahitaji ushauri sio chakula.
Uoni kama utakuwa umetangaza laana kwako, watoto na wajukuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom