Hii ndio Butiama ya Nyerere

Hii ndio Butiama ya Nyerere

Hivi wabongo miaka yote hii hawajamjua Nyerere na makusudi yake?

Kuna wakati Malecela alikuwa Waziri wa Mawasiliano na Ujenzi. Nyerere akatoka kwenda safari nje. Malecela akaona ile barabara ya kwenda Msasani mbovu sana, ngoja nimtengenezee mzee chapchap akirudi iwe tayari.

Akaichonga fresh mwenyewe Cigwiyemisi.

He, mchonga kurudi si akaanza kumsema Malecela kwa nini kaitengeneza ile barabara kwa special priority!

Mama Gracia Machel alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kabisa kuja kwenye msiba, akaenda Msasani. Akajiona kama ndugu wa karibu. Akaingia mpaka chumbani, hakuamini jinsi palivyokuwa bare and simple. Mpaka akaona kama anadanganywa akasema nipelekeni kwa Mama Maria mnanidanganya nyie, Nyerere ni mtu mkubwa sana hawezi kuwa anakaa humu.

Yule jamaa alikuwa kachanganya Fabian Socialism na Uafrika. Secretary na rafiki yake wa siku nyingi Joan Wickens alivyokuwa Ikulu misosi kibao lakini yule mama Muingereza anakula ki-apple na ki sandwich siku nzima.

Mtu ukizama sana kwenye intellectual ideals unaweza kusahau au kuya minimize mambo ya kawaida. Nyerere pengine alitaka kuona wananchi wanavyoishi katika hali ya kawaida, akaona kupendelea kwake kwanza si sawa katika imani zake za ukatoliki na ujamaa, halafu kutamnyima uwezo wa kuona maisha ya Mtanzania wa kawaida.
 
Hivi wabongo miaka yote hii hawajamjua Nyerere na makusudi yake?

Kuna wakati Malecela alikuwa Waziri wa Mawasiliano na Ujenzi. Nyerere akatoka kwenda safari nje. Malecela akaona ile barabara ya kwenda Msasani mbovu sana, ngoja nimtengenezee mzee chapchap akirudi iwe tayari.

Akaichonga fresh mwenyewe Cigwiyemisi.

He, mchonga kurudi si akaanza kumsema Malecela kwa nini kaitengeneza ile barabara kwa special priority!

Mama Gracia Machel alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kabisa kuja kwenye msiba, akaenda Msasani. Akajiona kama ndugu wa karibu. Akaingia mpaka chumbani, hakuamini jinsi palivyokuwa bare and simple. Mpaka akaona kama anadanganywa akasema nipelekeni kwa Mama Maria mnanidanganya nyie, Nyerere ni mtu mkubwa sana hawezi kuwa anakaa humu.

Yule jamaa alikuwa kachanganya Fabian Socialism na Uafrika. Secretary na rafiki yake wa siku nyingi Joan Wickens alivyokuwa Ikulu misosi kibao lakini yule mama Muingereza anakula ki-apple na ki sandwich siku nzima.

Mtu ukizama sana kwenye intellectual ideals unaweza kusahau au kuya minimize mambo ya kawaida. Nyerere pengine alitaka kuona wananchi wanavyoishi katika hali ya kawaida, akaona kupendelea kwake kwanza si sawa katika imani zake za ukatoliki na ujamaa, halafu kutamnyima uwezo wa kuona maisha ya Mtanzania wa kawaida.

Kwa hiyo? Are you therefore trying to make a value judgment in as far as his deeds being perceived as good/bad or what exactly is your point??
 
Kwa hiyo? Are you therefore trying to make a judgmental value as far as his deeds being good/bad or what exactly is your point??

Far from it.

I am just reporting what I know of the man in connection with the subject for the benefit of those who expected otherwise.

There is a sense of disbelief on the part of the thread starter. The above anecdotes may serve to portray a trend characteristic of Nyerere to augment the "Spartan Philosopher King" notion as well as put these instances to record.
 
Lakini kumbuka kuwa Mwl. hakuwa fisadi. Kwa hiyo hakujilimbikizia huduma zote muhimu kijijini kwake. Na kwa taarifa yako hali uliyoikuta ni afadhali.
Charity begin at home. Butiama palitakiwa kuwa paradise ya aden. ni vizuri kwa kujenga kwanza kwenu na kuleta huduma muhimu za jamii ili uonekane unajali huduma za jamii. sasa ndio maana jiji la Dar Es Salaam halijajengeka wala taka zilikuwa hazizolewe kwa miaka 25 ya utawala wa nyerere. Kama yeye ndiye graduate wa master ya mwaka 1950s nilitegemea angejenga maktaba na shule ya secondari kijijini kwakwe lakini hakufanya lolote zaidi ya kuomba pesa za kujenga msikiti kutoka kwa kichaaa qadafi na kuweka matawi ya chama!
kuna usemi semao mtu kwao, wewe unauelewa vipi? hakuna hata raisi mmoja mabye hajajenga vizuri kwao. kweli kabisa nyerer hakuwa FISADI ila kujenga na kujilimbikizia kwao sio ufisadi bali kuwapa sifa kijiji chako kuwa faidikeni na kutoa mtawala wa nchi. wewe nenda kijiji cha mabutu huko zaire au cha samuel Doe huko Liberia, utashangaa na kuzimia kwa hizo lami na nyumba za kitaliii!
 
wana JF,nimefika Butiama kwa mara ya kwanza kweli sikuamini apa ndio kijiji alichozaliwa na kuzikwa mhasisi wa taifa ili JK Nyerere.
Yaani kupatikana kwa maji ni shida kweli,wananchi wanaangaika usiku na mchana kusaka maji,mbaya zaidi ata upatikanaji wa maji kwenye hospital ni taabu kweli.
Majengo ya shule ya msingi yamechakaa ile mbaya,nazani hayajawai kukarabatiwa tangu shule imejengwa,kwa upande wa hospitali nayo majengo hasa wodi za wagonjwa zimechakaa naambiwa wagonjwa wananyeshewa wakati wa mvua,na ipo siku majengo yatawaangukia.

Ndo legacy ya KUTEMBEA na AZIMIO,UNAJENGA kwa wenzio wakati KWAKO KUNATEKETEA NA KUIONESHA JAMII KUWA HAYO NDO MAISHA BOOORA KABISA YA KUJITEGEMEA NA KIJAMAA TENA YENYE HERI!!! yakutokuwa na HUDUMA ZOTE MUHIMU KM SHULE,VYUO,BARABARA,HOSPITALI n.k.Ha ha ha ha!
 
vipi kuhusu unemployment huko kijijini kwake? unajua niliwahi kukutana na mnigeria kabila la Ibo, unajua NIgeria wana usemi kuwa Nyerere ni alikuwa raisi mbahili sana ilifikia kiasi mpaka mtoto wake alikuwa anaenda shule peku! sasa haya mambo unayoshangaa wewe baada ya kufika Butiama ndiyo mataifa ya nje yalikuwa yanishangaa Tanzania wakati wa Utawala wake. maana wakija hapa wanakuta hatuna TV! watu wasio na kazi hukamatwa na kutiwa jela! nchi inasimamisha huduma zote za uzalishaji na kutangaza public holiday kwa sababu ya kumpokea mandela! taka taka hazizolewi na jiji la Dar Es Salaam kunuka vibaya sana haswaaa pale kariakoo sokoni!
 
Kwa hiyo? Are you therefore trying to make a value judgment in as far as his deeds being perceived as good/bad or what exactly is your point??
what is ya point? are you fsupport for or against the motion?
 
Hivi wabongo miaka yote hii hawajamjua Nyerere na makusudi yake?

Kuna wakati Malecela alikuwa Waziri wa Mawasiliano na Ujenzi. Nyerere akatoka kwenda safari nje. Malecela akaona ile barabara ya kwenda Msasani mbovu sana, ngoja nimtengenezee mzee chapchap akirudi iwe tayari.

Akaichonga fresh mwenyewe Cigwiyemisi.

He, mchonga kurudi si akaanza kumsema Malecela kwa nini kaitengeneza ile barabara kwa special priority!

Mama Gracia Machel alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kabisa kuja kwenye msiba, akaenda Msasani. Akajiona kama ndugu wa karibu. Akaingia mpaka chumbani, hakuamini jinsi palivyokuwa bare and simple. Mpaka akaona kama anadanganywa akasema nipelekeni kwa Mama Maria mnanidanganya nyie, Nyerere ni mtu mkubwa sana hawezi kuwa anakaa humu.

Yule jamaa alikuwa kachanganya Fabian Socialism na Uafrika. Secretary na rafiki yake wa siku nyingi Joan Wickens alivyokuwa Ikulu misosi kibao lakini yule mama Muingereza anakula ki-apple na ki sandwich siku nzima.

Mtu ukizama sana kwenye intellectual ideals unaweza kusahau au kuya minimize mambo ya kawaida. Nyerere pengine alitaka kuona wananchi wanavyoishi katika hali ya kawaida, akaona kupendelea kwake kwanza si sawa katika imani zake za ukatoliki na ujamaa, halafu kutamnyima uwezo wa kuona maisha ya Mtanzania wa kawaida.

Ni fahari na FURAHA kiasi gani aliyoihisi pale WANANCHI WAKE WALIPOKUWA WAKIKIMBIZANA NA MAGARI YA N.M.C KWA KILOMETA KADHAA ILI KUPATA KG 1 TU YA UNGA WA SEMBE! MAN hakuwa wa kawaida yale si maisha HALISI ya MTANZANIA! hata hao KARL MAX na V.I. LENIN WALIO UBUNI HUO UJAMAA NA KUJITEGEMEA HAWAKUWA NA MAISHA HAYO WAO WALA RAIA WAO!
 
Charity begin at home. Butiama palitakiwa kuwa paradise ya aden. ni vizuri kwa kujenga kwanza kwenu na kuleta huduma muhimu za jamii ili uonekane unajali huduma za jamii. sasa ndio maana jiji la Dar Es Salaam halijajengeka wala taka zilikuwa hazizolewe kwa miaka 25 ya utawala wa nyerere. Kama yeye ndiye graduate wa master ya mwaka 1950s nilitegemea angejenga maktaba na shule ya secondari kijijini kwakwe lakini hakufanya lolote zaidi ya kuomba pesa za kujenga msikiti kutoka kwa kichaaa qadafi na kuweka matawi ya chama!
kuna usemi semao mtu kwao, wewe unauelewa vipi? hakuna hata raisi mmoja mabye hajajenga vizuri kwao. kweli kabisa nyerer hakuwa FISADI ila kujenga na kujilimbikizia kwao sio ufisadi bali kuwapa sifa kijiji chako kuwa faidikeni na kutoa mtawala wa nchi. wewe nenda kijiji cha mabutu huko zaire au cha samuel Doe huko Liberia, utashangaa na kuzimia kwa hizo lami na nyumba za kitaliii!

Du!kuna sababu labda tuitafute TUTAJUA TU! hivi kweli KUTAWALA KWA MIAKA 25! halafu USIBORESHE NCHI YAKO TOKA ULIPO IPEWA NA WAKOLONI BASI UKASHINDWA HATA KUPIGA LIPU NYUMBA YAKO! AJABU KUBWA KULIKO YOOOTE MSOMI TENA MWENYE DG 2 JAMAN HILI NI SOMO NA KUNA HAJA YA KUFANYA UTAFITI!
 
Hivi wabongo miaka yote hii hawajamjua Nyerere na makusudi yake?

Kuna wakati Malecela alikuwa Waziri wa Mawasiliano na Ujenzi. Nyerere akatoka kwenda safari nje. Malecela akaona ile barabara ya kwenda Msasani mbovu sana, ngoja nimtengenezee mzee chapchap akirudi iwe tayari.

Akaichonga fresh mwenyewe Cigwiyemisi.

He, mchonga kurudi si akaanza kumsema Malecela kwa nini kaitengeneza ile barabara kwa special priority!

Mama Gracia Machel alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kabisa kuja kwenye msiba, akaenda Msasani. Akajiona kama ndugu wa karibu. Akaingia mpaka chumbani, hakuamini jinsi palivyokuwa bare and simple. Mpaka akaona kama anadanganywa akasema nipelekeni kwa Mama Maria mnanidanganya nyie, Nyerere ni mtu mkubwa sana hawezi kuwa anakaa humu.

Yule jamaa alikuwa kachanganya Fabian Socialism na Uafrika. Secretary na rafiki yake wa siku nyingi Joan Wickens alivyokuwa Ikulu misosi kibao lakini yule mama Muingereza anakula ki-apple na ki sandwich siku nzima.

Mtu ukizama sana kwenye intellectual ideals unaweza kusahau au kuya minimize mambo ya kawaida. Nyerere pengine alitaka kuona wananchi wanavyoishi katika hali ya kawaida, akaona kupendelea kwake kwanza si sawa katika imani zake za ukatoliki na ujamaa, halafu kutamnyima uwezo wa kuona maisha ya Mtanzania wa kawaida.

Kikwete AMEONA maisha halisi ya mtanzania! KWETU DODOMA LAMI HADI CHANG'OMBE! MAJI HADI BAHI.VYUO VIKUU HADI NG'HONGH'ONHA na kwa wenzetu KATAVI,BAGAMOYO NA ARUSHA.......MIAKA 7 TU YA KUTAWALA! wa 25 hata km 1 tu ya moram na kachumba ka 1 kadarasa!? Ah hongera! hongera! hongera zisizo na idadi.
 
Hivi wabongo miaka yote hii hawajamjua Nyerere na makusudi yake?

Kuna wakati Malecela alikuwa Waziri wa Mawasiliano na Ujenzi. Nyerere akatoka kwenda safari nje. Malecela akaona ile barabara ya kwenda Msasani mbovu sana, ngoja nimtengenezee mzee chapchap akirudi iwe tayari.

Akaichonga fresh mwenyewe Cigwiyemisi.

He, mchonga kurudi si akaanza kumsema Malecela kwa nini kaitengeneza ile barabara kwa special priority!

Mama Gracia Machel alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kabisa kuja kwenye msiba, akaenda Msasani. Akajiona kama ndugu wa karibu. Akaingia mpaka chumbani, hakuamini jinsi palivyokuwa bare and simple. Mpaka akaona kama anadanganywa akasema nipelekeni kwa Mama Maria mnanidanganya nyie, Nyerere ni mtu mkubwa sana hawezi kuwa anakaa humu.

Yule jamaa alikuwa kachanganya Fabian Socialism na Uafrika. Secretary na rafiki yake wa siku nyingi Joan Wickens alivyokuwa Ikulu misosi kibao lakini yule mama Muingereza anakula ki-apple na ki sandwich siku nzima.

Mtu ukizama sana kwenye intellectual ideals unaweza kusahau au kuya minimize mambo ya kawaida. Nyerere pengine alitaka kuona wananchi wanavyoishi katika hali ya kawaida, akaona kupendelea kwake kwanza si sawa katika imani zake za ukatoliki na ujamaa, halafu kutamnyima uwezo wa kuona maisha ya Mtanzania wa kawaida.

Kikwete AMEONA maisha halisi ya mtanzania! KWETU DODOMA LAMI HADI CHANG'OMBE! MAJI HADI BAHI.VYUO VIKUU HADI NG'HONGH'ONHA na kwa wenzetu KATAVI,BAGAMOYO NA ARUSHA.......MIAKA 7 TU YA KUTAWALA! wa 25 hata km 1 tu ya moram na kachumba ka 1 kadarasa!? Ah hongera! hongera! hongera zisizo na idadi.
 
Kikwete AMEONA maisha halisi ya mtanzania! KWETU DODOMA LAMI HADI CHANG'OMBE! MAJI HADI BAHI.VYUO VIKUU HADI NG'HONGH'ONHA na kwa wenzetu KATAVI,BAGAMOYO NA ARUSHA.......MIAKA 7 TU YA KUTAWALA! wa 25 hata km 1 tu ya moram na kachumba ka 1 kadarasa!? Ah hongera! hongera! hongera zisizo na idadi.

Kikwete "Bwana Maendeleo" alihitaji kusomeshwa naye, hakuzuka tu.
 
Ni fahari na FURAHA kiasi gani aliyoihisi pale WANANCHI WAKE WALIPOKUWA WAKIKIMBIZANA NA MAGARI YA N.M.C KWA KILOMETA KADHAA ILI KUPATA KG 1 TU YA UNGA WA SEMBE! MAN hakuwa wa kawaida yale si maisha HALISI ya MTANZANIA! hata hao KARL MAX na V.I. LENIN WALIO UBUNI HUO UJAMAA NA KUJITEGEMEA HAWAKUWA NA MAISHA HAYO WAO WALA RAIA WAO!
Unajua sababu ya hizo foleni za NMC? Mwl.alikataa kuuza nchi na rasilimali zake! Mpaka wewe na mimi tuelimike tuweze kujitawala wenyewe.Umeona tunayofanya baada ya kuelimika? Km mazuzu kabisa.....mungu ampumzishe pema baba wa Taifa hili!
 
Kwa mawazo na hekima alizokuwa nazo nyerere..mtanzania wa leo mwenye upeo wa kistarehe na shangingi,hawezi fikiri au ona nyerere alifanya nini.Kujenga taifa kubwa huru lenye maendeleo yaliyotukuka inahitaji zaidi ya karne,nyerere aliliona hilo,aliwaandaa watu kuwa hivyo ila kutokana na tamaa na uvivu wa watu wa chache kupenda vitu vya anasa kwenye maisha duni na mashinikizo ya mabepari wa nje kutaka raslimali,fikra na mawazo ya nyerere ilikua vigumu kuendelea.Ebu jiulize miaka ya 1776 George Washngton anakata mshahara wa uraisi anajifunga mkanda kuiendeleza marekani jimbo kwa jimbo na maono ya mbali juu ya watu wake,Marekani ingekua hapo ilipo?
 
Kikwete "Bwana Maendeleo" alihitaji kusomeshwa naye, hakuzuka tu.

Kwa akili kama zako..sijui Neo-colonialism utaisha lini?"We produce what we don't consume and we consume what we don't produce"..kweli Mr maendeleo hongera zako
 
vipi kuhusu unemployment huko kijijini kwake? unajua niliwahi kukutana na mnigeria kabila la Ibo, unajua NIgeria wana usemi kuwa Nyerere ni alikuwa raisi mbahili sana ilifikia kiasi mpaka mtoto wake alikuwa anaenda shule peku! sasa haya mambo unayoshangaa wewe baada ya kufika Butiama ndiyo mataifa ya nje yalikuwa yanishangaa Tanzania wakati wa Utawala wake. maana wakija hapa wanakuta hatuna TV! watu wasio na kazi hukamatwa na kutiwa jela! nchi inasimamisha huduma zote za uzalishaji na kutangaza public holiday kwa sababu ya kumpokea mandela! taka taka hazizolewi na jiji la Dar Es Salaam kunuka vibaya sana haswaaa pale kariakoo sokoni!

Ni moja ya maeneo ambapo idadi kubwa ya wananchi wameishia std7,ivyo wengi hawana ajira,bali kutegemea kilimo kwa ajili ya chakula.
 
Charity begin at home. Butiama palitakiwa kuwa paradise ya aden. ni vizuri kwa kujenga kwanza kwenu na kuleta huduma muhimu za jamii ili uonekane unajali huduma za jamii. sasa ndio maana jiji la Dar Es Salaam halijajengeka wala taka zilikuwa hazizolewe kwa miaka 25 ya utawala wa nyerere. Kama yeye ndiye graduate wa master ya mwaka 1950s nilitegemea angejenga maktaba na shule ya secondari kijijini kwakwe lakini hakufanya lolote zaidi ya kuomba pesa za kujenga msikiti kutoka kwa kichaaa qadafi na kuweka matawi ya chama!
kuna usemi semao mtu kwao, wewe unauelewa vipi? hakuna hata raisi mmoja mabye hajajenga vizuri kwao. kweli kabisa nyerer hakuwa FISADI ila kujenga na kujilimbikizia kwao sio ufisadi bali kuwapa sifa kijiji chako kuwa faidikeni na kutoa mtawala wa nchi. wewe nenda kijiji cha mabutu huko zaire au cha samuel Doe huko Liberia, utashangaa na kuzimia kwa hizo lami na nyumba za kitaliii!

Mkuu yaani nakuunga mkono kabisa,kijiji cha Nyerere kilitakiwa kiwe na maendeleo na pajengwe vizuri hasa huduma za jamii ziwe za uhakika.Na kwa kufanya ivyo haimanishi ni ufisadi
 
Back
Top Bottom