Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,009
- 6,763
Hayo maisha ya kule ungekua wa kike usinge andika hivi yaani mwanamke hathaminiki
US Shoga anathaminika mkuu. Tako lake ni halali kuliwa tena kwa ndoa
Hayo maisha ya kule ungekua wa kike usinge andika hivi yaani mwanamke hathaminiki
Miaka ya 1800 huko US mtu mweusi alikuwa anathaminika??Hayo maisha ya kule ungekua wa kike usinge andika hivi yaani mwanamke hathaminiki
Yaani hata siku 3 hawawezi maliza. Nina uhakika huo. Yanayondelea huko ni zaidi ya ujuhaNina uhakika hata waislam wa bongo wakipelekwa kule wanakimbia
Watakua wanatibiwa na nani Sasa?Hii mijamaa haijielewi kabisa,imepiga marufuku wanawake kwenda shule halafu pia inazuia wanawake wasionane na madaktari wa kiume.Huo ni ujingq kabisa.